Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Waislamu milioni 1.4 wameshawasili Saudia kutekeleza Ibada ya Hija

    Waislamu milioni 1.4 wameshawasili Saudia kutekeleza Ibada ya Hija

    Aug 25, 2017 03:14

    Zaidi ya Waislamu milioni 1.4 wameshawasili Saudi Arabia hadi hivi sasa kwa ajili ya kutekeleza ibada ya kila mwaka ya Hija ambayo inaanza wiki ijayo.

  • Raia 35 wauawa katika mashambulio ya kijeshi ya Saudia nchini Yemen

    Raia 35 wauawa katika mashambulio ya kijeshi ya Saudia nchini Yemen

    Aug 23, 2017 09:32

    Kwa akali watu 35 wameuawa nchini Yemen na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya anga ya ndege za kijeshi za utawala vamizi wa Saudi Arabia katika mji mkuu Sana'a.

  • Makumi ya watu wauawa Yemen katika shambulio la anga la Saudia dhidi ya maeneo ya raia

    Makumi ya watu wauawa Yemen katika shambulio la anga la Saudia dhidi ya maeneo ya raia

    Aug 23, 2017 03:35

    Watu wasiopungua 30 wameripotiwa kuuawa katika mashambulio yaliyofanywa na ndege za kivita za utawala vamizi wa Saudi Arabia katika eneo la makaazi ya raia katika mkoa wa Sana'a mji mkuu wa Yemen.

  • Zarif: Iran inakaribisha kubadilika sera za kieneo za Saudi Arabia

    Zarif: Iran inakaribisha kubadilika sera za kieneo za Saudi Arabia

    Aug 23, 2017 03:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Ikiwa Saudi Arabia itaangalia upya siasa na sera zake za eneo la Mashariki ya Kati itapata jibu na radiamali chanya ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Qatar: Tunaishitaki Saudia kwa kutishia kushambulia ndege zetu za abiria

    Qatar: Tunaishitaki Saudia kwa kutishia kushambulia ndege zetu za abiria

    Aug 21, 2017 03:53

    Serikali ya Qatar imetangaza kuwa imekusudia kuishitaki Saudi Arabia katika Umoja wa Mataifa kutokana na nchi hiyo kutishia kuzishambulia ndege zake za abiria.

  • Qatar yafichua nyaraka za uungaji mkono wa Saudia na Imarati kwa magaidi wa Al-Qaeda nchini Yemen

    Qatar yafichua nyaraka za uungaji mkono wa Saudia na Imarati kwa magaidi wa Al-Qaeda nchini Yemen

    Aug 20, 2017 21:57

    Qatar imefichua nyaraka zinazoonyesha kuwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zinawaunga mkono magaidi wa mtandao wa Al-Qaeda na kundi la kitakfiri la Daesh (ISIS) nchini Yemen.

  • Chuo Kikuu cha Queen Mary: Saudia inaeneza kipindupindu Yemen

    Chuo Kikuu cha Queen Mary: Saudia inaeneza kipindupindu Yemen

    Aug 19, 2017 23:52

    Utafiti uliofanywa na taasisi moja ya Uingereza umebaini kuwa, muungano unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya watu wa Yemen ndio unaohusika na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Yemen kwa kuzuia misaada ya kibinadamu na kuyazingira maeneo yaliyokumbwa na ugonjwa huo.

  • Vita vya Saudi Arabia dhidi ya watoto wa Yemen

    Vita vya Saudi Arabia dhidi ya watoto wa Yemen

    Aug 19, 2017 04:40

    Utangulizi wa ripoti iliyotayarishwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kuhusu ukiukwaji wa haki za watoto katika migogoro ya vita umeutuhumu muungano vamizi dhidi ya Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia kuwa umekiuka haki za watoto.

  • UN: Hujuma za Saudi zimesababisha nusu ya vifo vya watoto Yemen

    UN: Hujuma za Saudi zimesababisha nusu ya vifo vya watoto Yemen

    Aug 18, 2017 03:38

    Umoja wa Mataifa umesema asilimia 51 ya vifo na majeraha ya watoto wadogo nchini Yemen mwaka uliopita, yamesababishwa na mashambulio ya anga yanayofanywa na ndege za muungano wa kijeshi unaoongozwa na utawala vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake.

  • Askari wa Saudia waharibu kikamilifu eneo la al-Masoorah la mji wa Al-Awamiyah

    Askari wa Saudia waharibu kikamilifu eneo la al-Masoorah la mji wa Al-Awamiyah

    Aug 16, 2017 22:08

    Viongozi wa utawala wa kidikteta wa Saudia Arabia wametangaza kuharibiwa kikamilifu eneo la Waislamu wa madhehebu ya Shia la al-Masoorah katika mji wa Al-Awamiyah jimbo la Qatif nchini Saudia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS