Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Bin Salman aitaka Iraq iwe mpatanishi katika mgogoro wa Iran na Saudia

    Bin Salman aitaka Iraq iwe mpatanishi katika mgogoro wa Iran na Saudia

    Aug 13, 2017 23:05

    Qasim al-Araji, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iraq amesema mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na mwana wa mfalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman amemuomba awe mpatanishi katika mgogoro kati ya Saudia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • HRW: Vikosi vya Saudia vimeuzingiria kikamilifu mji wa al-Awamiya

    HRW: Vikosi vya Saudia vimeuzingiria kikamilifu mji wa al-Awamiya

    Aug 13, 2017 09:16

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limefichua kuwa vikosi vya usalama vya utawala wa kifalme wa Aal-Saud vimeuzingira kikamilifu mji wa al-Awamiya, ulioko mashariki mwa Saudi Arabia.

  • Muungano wa Februari 14: Mahakama za Saudia hazina tofauti na utendaji wa Daesh

    Muungano wa Februari 14: Mahakama za Saudia hazina tofauti na utendaji wa Daesh

    Aug 12, 2017 23:25

    Muungano wa Februari 14 nchini Bahrain umelaani hukumu za kidhalimu zinazotolewa na mahakama za utawala wa Saudia dhidi ya wasomi wa kidini na kutangaza kuwa, hazina tofauti yoyote na mahakama za kundi la kigaidi la Daesh.

  • Mahakama ya Saudia yamhukumu kifo mwanaharakati wa Kiislamu

    Mahakama ya Saudia yamhukumu kifo mwanaharakati wa Kiislamu

    Aug 11, 2017 21:52

    Mahakama ya Saudi Arabia imetoa hukumu ya kifo kwa mwanaharakati wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia anayepinga sera za utawala wa kifalme wa nchi hiyo huku serikali ya Riyadh ikiendelea kuwakandamiza wafuasi wa madhehebu hiyo, wapinzani wa kisiasa na watetezi wa demokrasia.

  • Hatimaye UN yavunja kimya chake, yaitaka Saudia iheshimu haki za binadamu

    Hatimaye UN yavunja kimya chake, yaitaka Saudia iheshimu haki za binadamu

    Aug 11, 2017 02:38

    Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia kukomesha jinai na mashambulio dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa nchi hiyo.

  • Baadhi ya duru za habari: Saudia imebadili ghafla msimamo wake kuhusu Syria

    Baadhi ya duru za habari: Saudia imebadili ghafla msimamo wake kuhusu Syria

    Aug 06, 2017 11:53

    Kanali ya televisheni ya Al-Alam imeinukuu televisheni ya Russia Al-Yaum ikitangaza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia Adel al-Jubeir amebadili ghafla msimamo kuhusu Rais Bashar Al-Assad wa Syria.

  • Amnesty International: Saudia isiwanyonge wapinzani 14 wa serikali ya Riyadh

    Amnesty International: Saudia isiwanyonge wapinzani 14 wa serikali ya Riyadh

    Aug 05, 2017 22:39

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Saudi Arabia itupilie mbali uamuzi wa kuwanyonga wapinzani 14 wa serikali ya nchi hiyo waliolazimishwa kukiri makosa ambayo hawajafanya kutokana na mateso na manyanyaso.

  • Saudia yawafukuza maelfu ya vibarua Waethoipia kutokana na matatizo ya kiuchumi

    Saudia yawafukuza maelfu ya vibarua Waethoipia kutokana na matatizo ya kiuchumi

    Aug 02, 2017 09:51

    Utawala wa Aal Saud umewafukuza maelfu ya wafanyakazi za vibarua raia wa Ethiopia kutokana na matatizo ya kifedha yanayoikabili nchi hiyo.

  • Mauaji ya silaha za kibiolojia dhidi ya Wayemen, kilele cha unyama wa Marekani na Saudia

    Mauaji ya silaha za kibiolojia dhidi ya Wayemen, kilele cha unyama wa Marekani na Saudia

    Aug 02, 2017 03:34

    Kila siku moja inayopita ya vita vya Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen, kunadhihirika sura mpya na ya kikatili zaidi ya mauaji ya kimbari yanayofanyika nchini humo, na sasa baada ya kutumia silaha zilizopigwa marufuku kama zile za vishada kuua raia wasio na hatia wa Yemen, Aal Saud na washirika wao wanatumia silaha ya kibiolojia kufanya maangamizi ya wanadamu.

  • Al-Ahd: Saudia na Israel ni washirika wakubwa katika kutenda jinai ndani ya nchi za Kiislamu

    Al-Ahd: Saudia na Israel ni washirika wakubwa katika kutenda jinai ndani ya nchi za Kiislamu

    Jul 31, 2017 03:12

    Mtandao wa habari wa al-Ahd wa nchini Lebanon umeandika kuwa, utawala wa Aal-Saud na utawala wa Kizayuni wa Israel ni washirika wawili wanaotenda jinai kubwa dhidi ya binadamu katika nchi za Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS