Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Rais wa Senegal: Sitagombea muhula mwingine wa urais

    Rais wa Senegal: Sitagombea muhula mwingine wa urais

    Jul 04, 2023 03:25

    Rais Macky Sall wa Senegal amesema hatagombea muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi mkuu ujao unaotazamiwa kufanyika mwaka ujao 2024.

  • UN yabainisha wasiwasi wake kuhusu haki za binadamu huko Senegal

    UN yabainisha wasiwasi wake kuhusu haki za binadamu huko Senegal

    Jun 14, 2023 01:11

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu hali ya haki za binadamu huko Senegal.

  • Ghasia zashtadi Senegal, mitandao ya kijamii yafungwa

    Ghasia zashtadi Senegal, mitandao ya kijamii yafungwa

    Jun 02, 2023 22:04

    Watu kadhaa wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa nchini Senegal, katika maandamano ya ghasia ya wafuasi wa kiongozi wa upinzani nchini humo Ousmane Sonko, ambaye karibuni alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela.

  • Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yaanza Senegal

    Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yaanza Senegal

    Apr 15, 2023 02:55

    Maonyesho makubwa ya Qur'ani Tukufu yameanza Dakar, mji mkuu wa Senegal huko Magharibi mwa Afrika kwa hima na juhudi za Chuo Kikuu cha Al-Mustafa.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal awekwa korokoroni kwa kumuuliza suali Rais Macky Sall

    Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal awekwa korokoroni kwa kumuuliza suali Rais Macky Sall

    Mar 10, 2023 06:47

    Waziri mkuu wa zamani wa Senegal Cheikh Hadjibou Soumare amewekwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kumuuliza Rais Macky Sall kama alimpatia fedha mwanasiasa mmoja wa Ufaransa. Hayo ni kwa mujiibu wa wakili mmoja wa utetezi.

  • Kuwasili nchini Iran ujumbe wa kiuchumi wa Senegal

    Kuwasili nchini Iran ujumbe wa kiuchumi wa Senegal

    Feb 23, 2023 04:07

    Ujumbe wa ngazi ya juu wa kiuchumi wa Senegal ukiongozwa na mshauri mkuu wa rais na mkuu wa chama cha wafanyakazi cha nchi hiyo umeasili mjini Tehran.

  • Ajali ya pili ya barabarani Senegal ndani ya wiki moja yaua watu 19

    Ajali ya pili ya barabarani Senegal ndani ya wiki moja yaua watu 19

    Jan 17, 2023 00:16

    Ndani ya wiki moja tangu ilipotokea ajali mbaya ya barabarani nchini Senegal, ambapo watu 125 waliuawa na kujeruhiwa, ajali nyingine imetokea kaskazini mwa nchi hiyo na kuua watu 19.

  • Senegal yaomboleza vifo vya makumi ya watu katika ajali ya barabarani

    Senegal yaomboleza vifo vya makumi ya watu katika ajali ya barabarani

    Jan 09, 2023 00:39

    Rais Macky Sall wa Senegal ametangaza siku 3 za maombolezo kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyosababisha vifo vya makumi ya watu mapema jana Jumapili.

  • Bunge jipya la Senegal lina idadi kubwa ya wabunge wateule wanawake

    Bunge jipya la Senegal lina idadi kubwa ya wabunge wateule wanawake

    Sep 11, 2022 21:49

    Senegal leo Jumatatu inafungua pazia jipya wakati idadi kubwa ya wabunge wateule katika bunge jipya la nchi hiyo watakapoanza shughuli zao, na hivyo kutoa matumaini ya kujiri mabadiliko katika nchi hiyo ambayo sheria na mitazamo ya mfumo dume imekita mizizi. 

  • Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Jun 01, 2022 03:37

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS