Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulio

  • Majibu ya kutapatapa ya Trump baada ya Iran kupiga kwa makombora kambi za Marekani + Video

    Majibu ya kutapatapa ya Trump baada ya Iran kupiga kwa makombora kambi za Marekani + Video

    Jan 09, 2020 10:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza kivitendo ahadi yake ya kutoa jibu kali kwa jinai ya Marekani ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.

  • UN yapinga madai ya Marekani na Saudi Arabia kuhusu kuhusika Iran katika shambulio la Aramco

    UN yapinga madai ya Marekani na Saudi Arabia kuhusu kuhusika Iran katika shambulio la Aramco

    Dec 12, 2019 07:42

    Shambulio lililofanywa na vikosi vya muqawama vya Yemen katika taasisi za Shirika la Mafuta la Aramco mashariki mwa Saudi Arabia ni pigo kubwa kwa uwezo wa mafuta wa Saudia; kiasi kwamba lilipelekea utawala wa Saudia na mutifaki wake mkuu Marekani kuituhumu Iran kuwa ilihusika na shambulio hilo ili kuhalalisha kushindwa utawala huo huko Yemen.

  • Burundi: Waasi wa Rwanda ndio wamewaua askari wetu 8 na kuwajeruhi wengine

    Burundi: Waasi wa Rwanda ndio wamewaua askari wetu 8 na kuwajeruhi wengine

    Nov 19, 2019 16:26

    Wizara ya Ulinzi pamoja na duru za kijeshi za Burundi zimetangaza kwamba askari wanane wa nchi hiyo wameuawa katika shambulio lililotokea karibu na mpaka wa Rwanda.

  • Makeke ya Trump mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Makeke ya Trump mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Oct 22, 2019 11:50

    Donald Trump Rais wa Marekani mwenye kubwabwaja sana tangu aingie ikulu ya White House amechukua mkondo wa sera za chuki na uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na utendaji wake umejikita katika mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Tehran ili kwa njia hiyo aweze kulifanya taifa hili lisalimu amri na kukubali matakwa ya Washington.

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la bomu Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la bomu Somalia

    Sep 19, 2019 13:41

    Watu watatu wamethibitishwa kupoteza maisha katika shambulizi la bomu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Hujuma dhidi ya Waislamu zimeongeza nchini Marekani katika kipindi cha uongozi wa Trump

    Hujuma dhidi ya Waislamu zimeongeza nchini Marekani katika kipindi cha uongozi wa Trump

    Sep 18, 2019 07:48

    Baraza la Uhusiano wa Kiislamu la Marekani limetangaza kuwa, hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu nchini humo yameongezeka mno katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump.

  • Watu kadhaa wauawa katika maombolezo ya siku ya Ashura nchini Nigeria

    Watu kadhaa wauawa katika maombolezo ya siku ya Ashura nchini Nigeria

    Sep 10, 2019 14:37

    Waislamu kadhaa waliokuwa katika maombolezo ya Siku ya Ashura (tarehe 10 Muharram) wakikumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) wameuawa leo kwa kupigwa risasi nchini Nigeria.

  • Gazeti la Al-Quds Al-Arabi: Saudia na Israel zinachochea migogoro katika eneo

    Gazeti la Al-Quds Al-Arabi: Saudia na Israel zinachochea migogoro katika eneo

    Jun 15, 2019 04:41

    Gazeti la Al-Quds Al-Arabi linalochapishwa London, Uingereza limeandika kuwa, baadhi ya pande katika eneo la Asia Magharibi hususan Saudi Arabia na utawala haramu wa Israel, zinahusika kushadidisha migogoro katika eneo.

  • Watu 3 wauawa katika shambulio la Daesh (ISIS) kusini mwa Libya

    Watu 3 wauawa katika shambulio la Daesh (ISIS) kusini mwa Libya

    May 09, 2019 12:17

    Kwa mara nyingine tena kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) limetumia mwanya uliosababishwa na mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya, kutekeleza shambulio kusini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Askari 10 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya jeshi la Mali

    Askari 10 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya jeshi la Mali

    Apr 21, 2019 13:46

    Watu wenye silaha wameua askari wasiopungua 10 wa jeshi la Mali baada ya kushambulia kambi moja ya jeshi hilo mapema leo katika eneo la Guire katikati mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS