Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Msamaha Duniani

  • Amnesty International yaikosoa Ufaransa kwa kuendelea kuziuzia silaha Saudia na Imarati

    Amnesty International yaikosoa Ufaransa kwa kuendelea kuziuzia silaha Saudia na Imarati

    Sep 01, 2019 13:01

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeikosoa vikali serikali ya Ufaransa kutokana na hatua yake ya kuendelea kuziuzia silaha Saudi Arabia na Imarati.

  • Amnesty: Wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula, wanaishi katika hali mbaya

    Amnesty: Wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula, wanaishi katika hali mbaya

    Aug 01, 2019 02:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula katika mojawapo ya jela za nchi hiyo.

  • Amnesty International: Mahakama za Denmark hazichukui hatua kali kwa kesi za ubakaji

    Amnesty International: Mahakama za Denmark hazichukui hatua kali kwa kesi za ubakaji

    Mar 14, 2019 02:31

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali udhaifu wa vyombo vya usalama na mahakama vya Denmark katika kukabiliana na ongezeko la vitendo vya ukatili wa kijinsia na ubakaji nchini humo.

  • AI yataka kusititishwa shughuli za mashirika manne katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni huko Palestina

    AI yataka kusititishwa shughuli za mashirika manne katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni huko Palestina

    Jan 30, 2019 07:32

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limetaka kusimamishwa shughuli za mashirika manne ya kitalii ndani ya vitongoji vya walowezi wa Kizayuni au kushirikiana nao.

  • Amnesty: Maisha ya raia wa al Hudaidah, Yemen yamo hatarini

    Amnesty: Maisha ya raia wa al Hudaidah, Yemen yamo hatarini

    Nov 08, 2018 03:12

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu mapigano makali yanayoendelea katika mkoa wa al Hudaidah huko kwenye pwani ya magharibi mwa Yemen na kusema kuwa, maisha ya raia katika eneo hilo yanakabiliwa na hatari kubwa.

  • Amnesty International yalaani kifungo cha maisha dhidi ya Sheikh Ali Salman

    Amnesty International yalaani kifungo cha maisha dhidi ya Sheikh Ali Salman

    Nov 05, 2018 07:13

    Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International, limetoa taarifa likilaani hukumu ya kifungo cha maisha iliyotolewa na watawala wa Bahrain dhidi ya Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya al-Wifaaq.

  • Amnesty International yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu jinai za Saudia huko Yemen

    Amnesty International yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu jinai za Saudia huko Yemen

    Oct 24, 2018 16:38

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limekosoa hatua ya serikali na taasisi za kimataifa za kunyamazia kimya jinai ya mauaji ya raia wa Yemen yanayofanywa na Saudi Arabia.

  • Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen

    Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen

    Sep 18, 2018 03:58

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Uhispania iache kuiuzia silaha Saudi Arabia ili isitangazwe kuwa mmoja wa washirika wa utawala wa Aal Saud katika jinai za kivita huko nchini Yemen.

  • Indhari ya Amnesty International kwa EU juu ya ushiriki wake katika mashambulizi ya anga ya Marekani

    Indhari ya Amnesty International kwa EU juu ya ushiriki wake katika mashambulizi ya anga ya Marekani

    Apr 29, 2018 13:15

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limezionya nchi za Ulaya ambazo zina mpango wa kushiriki katika mashambulizi ya ndege zisizo na rubani ya Marekani, kutokana na kutekelezwa mauaji ya raia katika hujuma hizo.

  • Indhari ya Amnesty International kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu Mauritania

    Indhari ya Amnesty International kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu Mauritania

    Mar 27, 2018 02:29

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limetahadharisha kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Mauritania na kulaani kukandamizwa watetezi wa haki za binadamu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS