-
UNICEF yatahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda
Jun 29, 2016 13:16Mwakilishi wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF ametahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda.
-
UNICEF yatahadharisha kuhusu hatari ya njaa na utapiamlo inayoikabili Zimbabwe
Mar 16, 2016 03:22Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kushughulikia Watoto (UNICEF) umetahadharisha juu ya hali mbaya ya njaa nchini Zimbabwe na kutangaza kuwa endapo hatua za lazima hazitochukuliwa juu ya suala hilo baa la njaa na utapiamlo vitavuka kiwango cha kuweza kudhibitika.