Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

silaha

  • Maandamano makubwa kila pembe ya Marekani na mwito wa kuchukuliwa hatua kali zaidi za kudhibiti silaha moto

    Maandamano makubwa kila pembe ya Marekani na mwito wa kuchukuliwa hatua kali zaidi za kudhibiti silaha moto

    Jun 13, 2022 07:02

    Ongezeko kubwa la matukio ya ufyatuaji risasi dhidi ya halaiki nchini Marekani na kuongezeka pia idadi ya watu wanaouawa kwa mashambulio ya utumiaji wa silaha hizo kunakotokana na upuuzaji wa viongozi wa White House na mashinikizo ya lobi za watengezaji silaha, vimeibua wimbi kubwa la maandamano ya malalamiko ya raia wa nchi hiyo.

  • Wasiwasi wa kuongezeka utumiaji mabavu unaotokana na ubebaji silaha

    Wasiwasi wa kuongezeka utumiaji mabavu unaotokana na ubebaji silaha

    Jun 01, 2022 01:19

    Sambamba na kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu vinavyotokana na umiliki kiholela na ubebaji silaha nchini Marekani, kumeibuka wasiwasi mkubwa katika mataifa jirani na Marekani.

  • Mkuu wa maulamaa wa Iraq: Marekani inadhamini 85% ya silaha za DAESH (ISIS)

    Mkuu wa maulamaa wa Iraq: Marekani inadhamini 85% ya silaha za DAESH (ISIS)

    May 25, 2022 10:39

    Mkuu wa Muungano wa Maulamaa wa Kiislamu Iraq amesema, Marekani ndiyo inayodhamini asilimia 85 ya silaha za kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS).

  • Tukio la karibuni la ufyatuaji risasi nchini Marekani; kuendelea vurugu, hofu na ukatili

    Tukio la karibuni la ufyatuaji risasi nchini Marekani; kuendelea vurugu, hofu na ukatili

    Apr 14, 2022 09:53

    Vurugu zinazotokana na uhuru wa kubeba silaha na mauaji ya kikatili zinaendelea nchini Marekani, ambapo hivi karibuni watu 29 walijeruhiwa kwa risasi, baadhi yao wakiwa katika hali mbaya, zilizofyatuliwa Jumanne asubuhi katika kituo cha njia ya treni ya chini kwa chini huko Brooklyn mjini New York.

  • Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu

    Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu

    Jan 27, 2022 02:37

    Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 2.5 kwa Misri licha ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kuendelea kuandamwa na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Kuongezeka vitendo vya ukatili nchini Marekani; 400 wauawa katika siku nne za mwanzo wa mwaka 2022

    Kuongezeka vitendo vya ukatili nchini Marekani; 400 wauawa katika siku nne za mwanzo wa mwaka 2022

    Jan 06, 2022 08:41

    Vitendo vya ukatili na utumiaji mabavu vinatishia kwa kiwango kikubwa sana maisha ya raia wa Marekani na ripoti zinassma kuwa, Wamarekani 400 wameuawa kwa kupigwa risasi katika siku nne tu za mwanzo za mwaka huu mpya wa 2022 na wengine 277 wamejeruhiwa.

  • Ilhan Omar: Uamuzi wa Marekani kuiuzia silaha Saudi Arabia haukubaliki

    Ilhan Omar: Uamuzi wa Marekani kuiuzia silaha Saudi Arabia haukubaliki

    Nov 12, 2021 02:23

    Mbunge wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, hatua ya nchi hiyo kuiuzia silaha Saudi Arabia haikubaliki kutokana na silaha hizo kutumika kuulia raia wa Yemen.

  • Riyadh yaomba msaada wa silaha wa Marekani ili kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la Yemen

    Riyadh yaomba msaada wa silaha wa Marekani ili kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la Yemen

    Oct 29, 2021 03:47

    Ripoti imefichua kuwa Saudi Arabia imeiomba Marekani iipatie silaha ili iboreshe mifumo yake ya makombora na hivyo kuweza kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la Yemen.

  • Kongresi kuzuia mauzo ya silaha kwa tawala za Saudi Arabia na Israel

    Kongresi kuzuia mauzo ya silaha kwa tawala za Saudi Arabia na Israel

    Sep 20, 2021 08:01

    Mbunge wa Kongresi ya Marekani amebuni muswada unaopiga marufuku uuzaji wa silaha za nchi hiyo kwa tawala za Saudi Arabia na Israel.

  • Palestine Action yavamia kiwanda cha kuzalisha silaha cha Israel nchini Uingereza

    Palestine Action yavamia kiwanda cha kuzalisha silaha cha Israel nchini Uingereza

    Aug 23, 2021 12:50

    Kama sehemu ya kampeni yao ya kitaifa dhidi ya kiwanda kinachotengeneza silaha za Israeli, wanaharakati wanaounga mkono Palestina nchini Uingereza wamefanya maandamano nje ya kiwanda cha kampuni hiyo kwenye eneo Oldham na kuvamia paa la kiwanda hicho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS