-
Kupamba moto vita vya nishati barani Ulaya
Sep 01, 2022 21:57Suala la kudhaminiwa mahitaji ya gesi kwa nchi za Ulaya sasa limekuwa tatizo sugu kwa nchi hizo. Nchi za Ulaya, ambazo ziliamua kuiwekea Russia vikwazo vya kila aina ili kuishinikiza katika vita vya Ukraine, sasa zinaituhumu Moscow kwamba inaitumia gesi kama silaha ya vita.
-
Maandamano makubwa kila pembe ya Marekani na mwito wa kuchukuliwa hatua kali zaidi za kudhibiti silaha moto
Jun 13, 2022 02:32Ongezeko kubwa la matukio ya ufyatuaji risasi dhidi ya halaiki nchini Marekani na kuongezeka pia idadi ya watu wanaouawa kwa mashambulio ya utumiaji wa silaha hizo kunakotokana na upuuzaji wa viongozi wa White House na mashinikizo ya lobi za watengezaji silaha, vimeibua wimbi kubwa la maandamano ya malalamiko ya raia wa nchi hiyo.
-
Wasiwasi wa kuongezeka utumiaji mabavu unaotokana na ubebaji silaha
May 31, 2022 20:49Sambamba na kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu vinavyotokana na umiliki kiholela na ubebaji silaha nchini Marekani, kumeibuka wasiwasi mkubwa katika mataifa jirani na Marekani.
-
Mkuu wa maulamaa wa Iraq: Marekani inadhamini 85% ya silaha za DAESH (ISIS)
May 25, 2022 06:09Mkuu wa Muungano wa Maulamaa wa Kiislamu Iraq amesema, Marekani ndiyo inayodhamini asilimia 85 ya silaha za kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS).
-
Tukio la karibuni la ufyatuaji risasi nchini Marekani; kuendelea vurugu, hofu na ukatili
Apr 14, 2022 05:23Vurugu zinazotokana na uhuru wa kubeba silaha na mauaji ya kikatili zinaendelea nchini Marekani, ambapo hivi karibuni watu 29 walijeruhiwa kwa risasi, baadhi yao wakiwa katika hali mbaya, zilizofyatuliwa Jumanne asubuhi katika kituo cha njia ya treni ya chini kwa chini huko Brooklyn mjini New York.
-
Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu
Jan 26, 2022 23:07Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 2.5 kwa Misri licha ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kuendelea kuandamwa na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Kuongezeka vitendo vya ukatili nchini Marekani; 400 wauawa katika siku nne za mwanzo wa mwaka 2022
Jan 06, 2022 05:11Vitendo vya ukatili na utumiaji mabavu vinatishia kwa kiwango kikubwa sana maisha ya raia wa Marekani na ripoti zinassma kuwa, Wamarekani 400 wameuawa kwa kupigwa risasi katika siku nne tu za mwanzo za mwaka huu mpya wa 2022 na wengine 277 wamejeruhiwa.
-
Ilhan Omar: Uamuzi wa Marekani kuiuzia silaha Saudi Arabia haukubaliki
Nov 11, 2021 22:53Mbunge wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, hatua ya nchi hiyo kuiuzia silaha Saudi Arabia haikubaliki kutokana na silaha hizo kutumika kuulia raia wa Yemen.
-
Riyadh yaomba msaada wa silaha wa Marekani ili kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la Yemen
Oct 29, 2021 00:17Ripoti imefichua kuwa Saudi Arabia imeiomba Marekani iipatie silaha ili iboreshe mifumo yake ya makombora na hivyo kuweza kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la Yemen.
-
Kongresi kuzuia mauzo ya silaha kwa tawala za Saudi Arabia na Israel
Sep 20, 2021 03:31Mbunge wa Kongresi ya Marekani amebuni muswada unaopiga marufuku uuzaji wa silaha za nchi hiyo kwa tawala za Saudi Arabia na Israel.