-
UN yawatuza mamia ya askari wa Uganda walioko Somalia
Sep 01, 2020 03:14Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewapa medali ya heshima wanajeshi 600 wa Uganda wanaolinda taasisi na wafanyakazi wa UN nchini Somalia.
-
Wavuvi Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na maharamia Somalia waachiliwa huru
Aug 21, 2020 22:26Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza kuwa, kundi la mwisho la mabaharia Wairani ambao walitekwa nyara na maharamia wa Somalia mwaka 2015 hatimaye wameachiliwa huru.
-
Watu 19 wauawa katika jaribio la magaidi wa Al Shabab kutoroka gerezani Mogadishu
Aug 12, 2020 06:28Watu 19 wameuawa wakati wafungwa ambao ni wafuasi wa kundi la kigaidi wa Al Shabab walipojaribu kutoroka katika gereza moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Mlipuko watikisa kambi ya jeshi Mogadishu; watu 8 wapoteza maisha
Aug 08, 2020 07:11Mlipuko mkubwa umetokea leo katika kambi ya jeshi huko Mogadishu mji mkuu wa Somalia na kuuwa watu 8 na kujeruhi wengine 14.
-
Kenya yaanzisha uchunguzi baada ya helikopta yake ya kijeshi kuanguka Somalia
Aug 05, 2020 06:26Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limeanzisha uchunguzi baada ya helikopta yake kuanguka kusini mwa Somalia, na kusababisha wanajeshi wake 10 kujeruhiwa.
-
Somalia yaipongeza Uturuki kwa kufungua tena Msikiti wa Hagia Sophia
Jul 27, 2020 03:19Somalia imeipongeza Uturuki kwa hatua yake ya kufungua tena Msikiti wa Hagia Sophia baada ya miaka 86.
-
Bunge la Somalia lapiga kura ya kumuondoa Waziri Mkuu Khayre
Jul 25, 2020 22:12Bunge la Somalia jana Jumamosi lilipiga kura ya kumtimua Waziri Mkuu Hassan Ali Khaire, ambaye amekuwa akikosolewa kuhusu udhaifu wake katika kutatua matatizo ya usalama nchini humo.
-
Wapiganaji 18 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia
Jul 19, 2020 02:22Kwa akali wapiganaji 18 wa kundi la kiigaidi la al-Shabab wameangamizwa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya jeshi la nchi hiyo dhidi ya wanamgambo hao katika mji wa Jilib.
-
Mkuu wa jeshi la Somalia anusurika kifo, raia mmoja auawa katika shambulizi la al Shabab
Jul 13, 2020 22:01Mkuu wa jeshi la Somalia amenusurika jaribio la kumuua lililofanyinwa kwa gari lilikokuwa limeshehena mabomu lililotaka kuvamia msafara wake mjini Mogadishu.
-
Magaidi 5 wa al-Shabaab waangamizwa kusini mwa Somalia
Jul 07, 2020 02:43Jeshi la Kitaifa la Somalia limetangaza habari ya kuangamiza wanachama watano wa kundi la kigaidi la al-Shabaab huko kusini magharibi mwa nchi.