-
Watu watano wauawa katika hujuma za kigaidi Somalia
Jul 04, 2020 23:19Watu wasiopungua watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia hujuma za kigaidi nchini Somalia jana Jumamosi.
-
Jumatano tarehe Mosi Julai mwaka 2020
Jul 01, 2020 03:41Leo ni tarehe 9 Dhulqaada 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe Mosi Julai mwaka 2020.
-
Kamanda wa al Shabab aangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia
Jun 26, 2020 02:13Redio ya serikali ya Somalia imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kumuangamiza kamanda wa wanamgambo wa kundi la al Shabab.
-
Kituo cha kijeshi cha Uturuki nchini Somalia chashambuliwa, 2 wauawa
Jun 23, 2020 23:21Kwa akali raia wawili wamepoteza maisha katika shambulizi la kigaidi lililolenga kambi ya kijeshi ya Uturuki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Jeshi la Somalia laangamiza makumi ya wanamgambo wa al-Shabaab
Jun 22, 2020 07:48Wanachama wasiopungua 27 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameuawa katika operesheni kadhaa zilizofanywa na jeshi la Somalia katika eneo la Shebelle Kusini mwa nchi.
-
UN yataka Somalia isaidiwe kukabiliana na COVID-19
Jun 21, 2020 23:33Mjumbe maalum wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ametoa wito wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa Somalia ili kuisaidia kukabiliana na janga la COVID-19 au corona.
-
Mashambulizi pacha ya mabomu yaua raia na askari kadhaa nchini Somalia
Jun 21, 2020 10:23Kwa akali watu saba wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti ya mabomu yanayoaminika kufanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab huko kusini na katikati mwa Somalia ndani ya masaa 24.
-
Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 37 wa al-Shabaab
Jun 07, 2020 22:09Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza kuwa limefanikiwa kuua makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab huko kusini mwa nchi.
-
UN: Somalia imekumbwa na majanga ya COVID-19, mafuriko na uvamizi wa nzige
Jun 04, 2020 21:56Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Kibinadamu (OCHA) limetangaza kuwa Somalia inakabiliwa na majanga yaliyosababshwa na mafuriko, uvamizi wa nzige wa jangwani na ugonjwa wa COVID-19.
-
7 wauawa katika mripuko wa bomu karibu na Mogadishu, Somalia
May 31, 2020 07:08Kwa akali watu saba wamepoteza maisha baada ya basi dogo lililokuwa limewabeba kukanyaga bomu la kutegwa ardhini kando ya barabara moja katika kijiji cha Hawa Abdi viungani mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.