Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • UN yataka kuongezwa misaada ya kibinadamu nchini Sudan

    UN yataka kuongezwa misaada ya kibinadamu nchini Sudan

    May 16, 2018 09:10

    Umoja wa Mataifa umeitaka jamii ya kimataifa kuongeza misaada ya kibinadamu kwa Sudan kutokana na hali ya kimaisha kuzidi kuwa mbaya nchini humo.

  • Rais al-Bashir wa Sudan alifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri

    Rais al-Bashir wa Sudan alifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri

    May 14, 2018 03:12

    Rais Omar Hassan al-Bashir amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri kufuatia mgogoro wa kiuchumi unaoikabili nchi hiyo.

  • Serikali ya Sudan: Watakaohalifu mpango wa kukusanya silaha watahukumiwa kifo

    Serikali ya Sudan: Watakaohalifu mpango wa kukusanya silaha watahukumiwa kifo

    May 08, 2018 12:25

    Makamu wa Rais wa Sudan Hassabu Mohamed Abdalrahman ameonya kuwa wapinzani wa mpango wa kukusanya silaha katika maeneo yenye mapigano na wale watakaohalifu kutekeleza mpango huo watashtakiwa na kuhukumiwa kifo.

  • Sudan: Mpango wa kukusanya silaha utaendelea kutekelezwa

    Sudan: Mpango wa kukusanya silaha utaendelea kutekelezwa

    May 06, 2018 12:09

    Serikali ya Sudan imetangaza kuwa, mpango wa kukusanya silaha kama moja ya njia za kurejesha amani na uthabiti wa nchi hiyo utaendelea kutekelezwa.

  • Sudan kufunga balozi zake 13 nje ya nchi

    Sudan kufunga balozi zake 13 nje ya nchi

    May 03, 2018 02:34

    Rais Omar al Bashir wa Sudan ameagiza kuandaliwa upya muundo wa kitaasisi wa mabalozi wanaoiwakilisha nchi hiyo nje ya nchi na kufungwa balozi 13 za nchi hiyo kutokana na nchi hiyo kukabiliwa na mgogoro wa fedha.

  • Maji yaifika shingoni Sudan, yatafakari kuhusu uwepo wa askari wake Yemen

    Maji yaifika shingoni Sudan, yatafakari kuhusu uwepo wa askari wake Yemen

    May 02, 2018 21:18

    Siku chache baada ya wabunge wa upinzani nchini Sudan kumtaka rais wa nchi hiyo Omar al Bashir awaondoe wanajeshi wa nchi hiyo huko Yemen, Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo ya amesema wanatafakari kuhusu uwezekano wa kuwarejesha nyumba wanajeshi wa nchi hiyo walioko Yemen.

  • Wabunge wa Sudan wataka wanajeshi wa nchi hiyo waondoke Yemen

    Wabunge wa Sudan wataka wanajeshi wa nchi hiyo waondoke Yemen

    May 01, 2018 02:58

    Wabunge nchini Sudan wamemtaka rais wa nchi hiyo Omar al Bashir achukue hatua za haraka kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo walioko katika muungano wa kijeshi wa Saudia ambao unatekeleza hujuma dhidi ya Yemen.

  • Chama cha Umma chawataka Wasudan kumuondoa madarakani al Bashir

    Chama cha Umma chawataka Wasudan kumuondoa madarakani al Bashir

    Apr 27, 2018 03:36

    Chama kikuu cha upinzani nchini Sudan kimewataka wananchi na wafuasi wake kumiminika mitaani na kumuondoa madarakani Rais Omar al Bashir wa nchi hiyo.

  • Mamluki wa Saudia raia wa Sudan waendelea kuangamizwa Yemen

    Mamluki wa Saudia raia wa Sudan waendelea kuangamizwa Yemen

    Apr 22, 2018 09:26

    Makumi ya mamluki wa Sudan waliokodishwa na Saudi Arabia wameuawa na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen katika eneo la Asir, lililoko katika mpaka wa kusini magharibi mwa Saudia.

  • Siku moja baada ya 'kumwaga mtama', Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan auzuliwa

    Siku moja baada ya 'kumwaga mtama', Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan auzuliwa

    Apr 19, 2018 23:52

    Rais Omar al Bashir wa Sudan amemwachisha kazi waziri wake wa mambo ya nje Ibrahim Ghandour.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS