-
Pande hasimu Sudan zafikia makubaliano mapya ya usitishaji vita ya saa 72
Jun 18, 2023 07:49Pande mbili zinazopigana nchini Sudan, jeshi la taifa SAF na kikosi cha uusaidizi wa haraka (RSF), zimekubaliana kusitisha mapigano kwa saa 72 kuanzia Jumapili ya leo.
-
Waliouawa katika mapigano ya Sudan wapindukia 3,000
Jun 18, 2023 04:03Wizara ya Afya ya Sudan imetangaza kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa nchini humo ni zaidi ya elfu tatu.
-
UN: Zaidi ya 100 wameuawa katika mapigano Darfur Kaskazini, Sudan
Jun 16, 2023 04:12Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema watu zaidi ya 100 wameuawa kwenye mapigano katika jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.
-
Sudan yakabiliwa na mgogoro mkubwa wa mahitaji muhimu huku vita vikiingia mwezi wa tatu
Jun 15, 2023 23:00Vita kati ya majenerali hasimu huko Sudan jana Alhamisi viliingia katika mwezi wake wa tatu na haijulikani lini vitamalizika. Ndege za kivita za jeshi la Sudan jana Alkhamisi zilifanya mashambulizi kwa mara ya kwanza katika mji wa kusini mwa nchi hiyo wa El- Obeid' na kuvituhumu Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kuwa ndivyo vilivyomteka nyara na kumuuwa Gavana wa Darfur.
-
Vikosi vya RSF viyawateka nyara wanajeshi wa Sudan zaidi ya 300
Jun 14, 2023 04:20Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vimewateka nyara askari wa jeshi la nchi hiyo katika jimbo la Darfur Kusini.
-
Viongozi wa Igad wanakutana leo Djibouti kujadili mapigano ya ndani Sudan
Jun 12, 2023 04:49Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD) inafanya mkutano wa kilele nchini Djibouti leo Jumatatu ili kuzishawishi pande mbili katika mgogoro wa Sudan kufanya mazungumzo ya kumaliza mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, wakati huu ambapo mji mkuu Khartoum unashuhudia mapigano makali.
-
Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo
Jun 11, 2023 08:58Mgogoro wa kisiasa na vita vya kuwania madaraka vinaendelea kutokota nchini Sudan licha ya jitihada zote za kimataifa na kikanda zinazofanyika kwa ajili ya kurejesha amani nchini huko. Katika hatua ya karibuni, Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imemfukuza Volker Perthes aliyekuwa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa na kumtaja kuwa mtu asiyetakikana nchini humo.
-
Watoto 300 waliokwama waokolewa kutoka katika kituo cha mayatima huko Sudan
Jun 09, 2023 03:16Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa Unicef limeeleza kuwa, watoto wasiopungua 300 wa rika mbalimbali wakiwemo wachanga wameokolewa kutoka katika kituo cha kulelea mayatima huko Khartoum mji mkuu wa Sudan baada ya kutelekezwa huko huku mapigano yakiendelea nchini humo.
-
DRC: Jeshi la Sudan limeua raia wetu 10 mjini Khartoum
Jun 06, 2023 03:02Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema raia kumi wa nchi hiyo wameuawa katika mashambulizi ya Jeshi la Sudan ndani ya Chuo Kikuu kimoja mjini Khartoum, huku mapigano yakishtadi nchini Sudan kati ya jeshi na wapiganaji wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).
-
Jeshi la Sudan limesema limesitisha mazungumzo na vikosi pinzani
May 31, 2023 22:40Msemaji wa jeshi la Sudan jana alieleza kuwa jeshi hilo limesitisha kushiriki katika mazungumzo na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) ambavyo limekuwa likipigana navyo kwa wiki kadhaa sasa kwa ajili ya kuidhibiti Sudan.