Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Pande hasimu Sudan zafikia makubaliano mapya ya usitishaji vita ya saa 72

    Pande hasimu Sudan zafikia makubaliano mapya ya usitishaji vita ya saa 72

    Jun 18, 2023 07:49

    Pande mbili zinazopigana nchini Sudan, jeshi la taifa SAF na kikosi cha uusaidizi wa haraka (RSF), zimekubaliana kusitisha mapigano kwa saa 72 kuanzia Jumapili ya leo.

  • Waliouawa katika mapigano ya Sudan wapindukia 3,000

    Waliouawa katika mapigano ya Sudan wapindukia 3,000

    Jun 18, 2023 04:03

    Wizara ya Afya ya Sudan imetangaza kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa nchini humo ni zaidi ya elfu tatu.

  • UN: Zaidi ya 100 wameuawa katika mapigano Darfur Kaskazini, Sudan

    UN: Zaidi ya 100 wameuawa katika mapigano Darfur Kaskazini, Sudan

    Jun 16, 2023 04:12

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema watu zaidi ya 100 wameuawa kwenye mapigano katika jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

  • Sudan yakabiliwa na mgogoro mkubwa wa mahitaji muhimu huku vita vikiingia mwezi wa tatu

    Sudan yakabiliwa na mgogoro mkubwa wa mahitaji muhimu huku vita vikiingia mwezi wa tatu

    Jun 15, 2023 23:00

    Vita kati ya majenerali hasimu huko Sudan jana Alhamisi viliingia katika mwezi wake wa tatu na haijulikani lini vitamalizika. Ndege za kivita za jeshi la Sudan jana Alkhamisi zilifanya mashambulizi kwa mara ya kwanza katika mji wa kusini mwa nchi hiyo wa El- Obeid' na kuvituhumu Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kuwa ndivyo vilivyomteka nyara na kumuuwa Gavana wa Darfur.

  • Vikosi vya RSF viyawateka nyara wanajeshi wa Sudan zaidi ya 300

    Vikosi vya RSF viyawateka nyara wanajeshi wa Sudan zaidi ya 300

    Jun 14, 2023 04:20

    Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vimewateka nyara askari wa jeshi la nchi hiyo katika jimbo la Darfur Kusini.

  • Viongozi wa Igad wanakutana leo Djibouti kujadili mapigano ya ndani Sudan

    Viongozi wa Igad wanakutana leo Djibouti kujadili mapigano ya ndani Sudan

    Jun 12, 2023 04:49

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD) inafanya mkutano wa kilele nchini Djibouti leo Jumatatu ili kuzishawishi pande mbili katika mgogoro wa Sudan kufanya mazungumzo ya kumaliza mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, wakati huu ambapo mji mkuu Khartoum unashuhudia mapigano makali.

  • Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo

    Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo

    Jun 11, 2023 08:58

    Mgogoro wa kisiasa na vita vya kuwania madaraka vinaendelea kutokota nchini Sudan licha ya jitihada zote za kimataifa na kikanda zinazofanyika kwa ajili ya kurejesha amani nchini huko. Katika hatua ya karibuni, Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imemfukuza Volker Perthes aliyekuwa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa na kumtaja kuwa mtu asiyetakikana nchini humo.

  • Watoto 300 waliokwama waokolewa kutoka katika kituo cha mayatima huko Sudan

    Watoto 300 waliokwama waokolewa kutoka katika kituo cha mayatima huko Sudan

    Jun 09, 2023 03:16

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa Unicef limeeleza kuwa, watoto wasiopungua 300 wa rika mbalimbali wakiwemo wachanga wameokolewa kutoka katika kituo cha kulelea mayatima huko Khartoum mji mkuu wa Sudan baada ya kutelekezwa huko huku mapigano yakiendelea nchini humo.

  • DRC: Jeshi la Sudan limeua raia wetu 10 mjini Khartoum

    DRC: Jeshi la Sudan limeua raia wetu 10 mjini Khartoum

    Jun 06, 2023 03:02

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema raia kumi wa nchi hiyo wameuawa katika mashambulizi ya Jeshi la Sudan ndani ya Chuo Kikuu kimoja mjini Khartoum, huku mapigano yakishtadi nchini Sudan kati ya jeshi na wapiganaji wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • Jeshi la Sudan limesema limesitisha mazungumzo na vikosi pinzani

    Jeshi la Sudan limesema limesitisha mazungumzo na vikosi pinzani

    May 31, 2023 22:40

    Msemaji wa jeshi la Sudan jana alieleza kuwa jeshi hilo limesitisha kushiriki katika mazungumzo na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) ambavyo limekuwa likipigana navyo kwa wiki kadhaa sasa kwa ajili ya kuidhibiti Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS