-
Homa ya Dengue yaua makumi ya watu nchini Sudan
Nov 24, 2022 06:54Mamlaka za afya nchini Sudan zimetangaza habari ya kuaga dunia makumi ya watu kutokana na mripuko wa homa ya Dengi (Dengue) nchini humo.
-
Wasudan waandamana kupinga uingiliaji wa wageni katika masuala ya ndani ya nchi yao
Nov 20, 2022 06:21Wafuasi wa chama tawala cha zamani nchini Sudan na baadhi ya vyama vya kisiasa wameandamana mjini Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo, kupinga uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya Sudan.
-
Vyama na makundi mbalimbali yatia saini hati maalumu ya kisiasa nchini Sudan
Nov 14, 2022 02:59Vyama na makundi kadhaa ya kisiasa ambayo ni wanachama wa Muungano wa Uhuru na Mabadiliko wa Sudan yametia saini hati maalumu ya kisiasa inayokamilisha katiba mpya ya nchi hiyo
-
Kuendelea mgogoro wa Sudan; kuongezeka uingiliaji wa kigeni na malalamiko ya wananchi
Nov 09, 2022 21:53Mgogoro wa Sudan umezidi kupanuka na kuchukua wigo mpana huku maandamano ya wananchi yakiendelea kushuhudiwa kila leo katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.
-
Wanafunzi wa vyuo vikuu Sudan wataka walioanzisha mapigano Blue Nile wahukumiwe
Oct 29, 2022 23:34Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu katika jimbo la Blue Nile nchini Sudan imefanya mgomo katika vyuo vikuu na taasisi nyingine za elimu ya juu mjini Khartoum ikitaka kusitishwa mapigano katika jimbo hilo.
-
Watu 230 wauawa, 200 wajeruhiwa katika mapigano ya kikabila Sudan
Oct 27, 2022 04:28Waziri wa Afya wa Sudan amesema watu wasiopungua 230 wameuawa huku wengine zaidi ya 200 wakijeruhiwa katika mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya vijiji kadhaa vya jimbo la Blue Nile, kusini magharibi mwa nchi.
-
Wasudani waendeleza mandamano kupinga utawala wa kijeshi
Oct 26, 2022 04:07Maandamano makubwa dhidi ya serikali ya kijeshi nchini Sudan kwa mara nyingine tena yamesababisha mapigano makali kati ya askari usalama na waandamanaji.
-
Wasudani wapinga mwenendo wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel
Oct 17, 2022 07:30Katika kikao kinachofanyika mjini Khartoum kuhusu suala la Palestina, makundi ya Kiislamu ya Sudan yametahadharisha kuhusu hatua ya Waarabu ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
14 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan
Oct 16, 2022 08:03Kwa akali watu watano wameuawa huku wengine tisa wakijeruhiwa katika mapigano mapya ya kikabila katika eneo la Kordofan Magharibi nchini Sudan.
-
Al-Burhan: Inawezekana kufikia makubaliano kuhusu Bwawa la Renaissance
Oct 16, 2022 03:28Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan ambaye pia ni kamanda wa jeshi la nchi hiyo amesema, kuna uwezekano wa kufikiwa mapatano kuhusu Bwawa na Renaissance.