Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Homa ya Dengue yaua makumi ya watu nchini Sudan

    Homa ya Dengue yaua makumi ya watu nchini Sudan

    Nov 24, 2022 06:54

    Mamlaka za afya nchini Sudan zimetangaza habari ya kuaga dunia makumi ya watu kutokana na mripuko wa homa ya Dengi (Dengue) nchini humo.

  • Wasudan waandamana kupinga uingiliaji wa wageni katika masuala ya ndani ya nchi yao

    Wasudan waandamana kupinga uingiliaji wa wageni katika masuala ya ndani ya nchi yao

    Nov 20, 2022 06:21

    Wafuasi wa chama tawala cha zamani nchini Sudan na baadhi ya vyama vya kisiasa wameandamana mjini Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo, kupinga uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya Sudan.

  • Vyama na makundi mbalimbali yatia saini hati maalumu ya kisiasa nchini Sudan

    Vyama na makundi mbalimbali yatia saini hati maalumu ya kisiasa nchini Sudan

    Nov 14, 2022 02:59

    Vyama na makundi kadhaa ya kisiasa ambayo ni wanachama wa Muungano wa Uhuru na Mabadiliko wa Sudan yametia saini hati maalumu ya kisiasa inayokamilisha katiba mpya ya nchi hiyo

  • Kuendelea mgogoro wa Sudan; kuongezeka uingiliaji wa kigeni na malalamiko ya wananchi

    Kuendelea mgogoro wa Sudan; kuongezeka uingiliaji wa kigeni na malalamiko ya wananchi

    Nov 09, 2022 21:53

    Mgogoro wa Sudan umezidi kupanuka na kuchukua wigo mpana huku maandamano ya wananchi yakiendelea kushuhudiwa kila leo katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Wanafunzi wa vyuo vikuu Sudan wataka walioanzisha mapigano Blue Nile wahukumiwe

    Wanafunzi wa vyuo vikuu Sudan wataka walioanzisha mapigano Blue Nile wahukumiwe

    Oct 29, 2022 23:34

    Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu katika jimbo la Blue Nile nchini Sudan imefanya mgomo katika vyuo vikuu na taasisi nyingine za elimu ya juu mjini Khartoum ikitaka kusitishwa mapigano katika jimbo hilo.

  • Watu 230 wauawa, 200 wajeruhiwa katika mapigano ya kikabila Sudan

    Watu 230 wauawa, 200 wajeruhiwa katika mapigano ya kikabila Sudan

    Oct 27, 2022 04:28

    Waziri wa Afya wa Sudan amesema watu wasiopungua 230 wameuawa huku wengine zaidi ya 200 wakijeruhiwa katika mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya vijiji kadhaa vya jimbo la Blue Nile, kusini magharibi mwa nchi.

  • Wasudani waendeleza mandamano kupinga utawala wa kijeshi

    Wasudani waendeleza mandamano kupinga utawala wa kijeshi

    Oct 26, 2022 04:07

    Maandamano makubwa dhidi ya serikali ya kijeshi nchini Sudan kwa mara nyingine tena yamesababisha mapigano makali kati ya askari usalama na waandamanaji.

  • Wasudani wapinga mwenendo wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Wasudani wapinga mwenendo wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Oct 17, 2022 07:30

    Katika kikao kinachofanyika mjini Khartoum kuhusu suala la Palestina, makundi ya Kiislamu ya Sudan yametahadharisha kuhusu hatua ya Waarabu ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • 14 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    14 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    Oct 16, 2022 08:03

    Kwa akali watu watano wameuawa huku wengine tisa wakijeruhiwa katika mapigano mapya ya kikabila katika eneo la Kordofan Magharibi nchini Sudan.

  • Al-Burhan: Inawezekana kufikia makubaliano kuhusu Bwawa la Renaissance

    Al-Burhan: Inawezekana kufikia makubaliano kuhusu Bwawa la Renaissance

    Oct 16, 2022 03:28

    Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan ambaye pia ni kamanda wa jeshi la nchi hiyo amesema, kuna uwezekano wa kufikiwa mapatano kuhusu Bwawa na Renaissance.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS