Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Mafuriko yaua watu zaidi ya 50 nchini Sudan

    Mafuriko yaua watu zaidi ya 50 nchini Sudan

    Aug 14, 2022 02:57

    Makumi ya watu wameaga dunia kufuatia mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali nchini Sudan.

  • Maiti 20 za wahajiri zapatikana katika mpaka wa Libya na Sudan

    Maiti 20 za wahajiri zapatikana katika mpaka wa Libya na Sudan

    Aug 13, 2022 06:54

    Maiti 20 za wahajiri haramu zimepatikana katika jangwa lililoko baina ya Libya na Sudan.

  • Waliopanga mapinduzi ya Sudan wakiri, wameshindwa kufikia malengo yao

    Waliopanga mapinduzi ya Sudan wakiri, wameshindwa kufikia malengo yao

    Aug 04, 2022 20:43

    Mgogoro wa kisiasa na kutoridhika kwa jamii nchini Sudan kumekuwa na taathira kubwa na pana, kwa kadiri kwamba "Mohamed Hamdan Dagalo", anayejulikana kama Hemetti, Makamu wa Rais wa Baraza la Uongozi la Sudan, amekiri kwamba: "Inasikitisha kuwa hatukuweza kufanya mabadiliko yoyote na sasa hali ya Sudan imekuwa mbaya zaidi."

  • Wafanyamapinduzi ya kijeshi wakiri kuwa wameshindwa kuleta mabadiliko Sudan

    Wafanyamapinduzi ya kijeshi wakiri kuwa wameshindwa kuleta mabadiliko Sudan

    Aug 02, 2022 03:11

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utawala nchini Sudan amekiri kuwa mapinduzi ya kijeshi yaliyofanywa nchini humo yameshindwa kuleta mabadiliko.

  • Waliouawa katika mapigano ya kikabila Sudan wapindukia 100

    Waliouawa katika mapigano ya kikabila Sudan wapindukia 100

    Jul 21, 2022 08:12

    Idadi ya watu waliouawa katika machafuko ya kikabila katika jimbo la Blue Nile kusini mashariki mwa Sudan imeongezeka na kufikia watu 105.

  • Ghasia na machafuko ya kikabila yashamiri zaidi Sudan, idadi ya waliouawa ni 79

    Ghasia na machafuko ya kikabila yashamiri zaidi Sudan, idadi ya waliouawa ni 79

    Jul 19, 2022 10:04

    Ghasia machafuko ya kikabila yaliyoanzia katika Jimbo la Blue Nile nchini Sudan yamepanuka zaidi na kuingia katika majimbo kadhaa ya nchi hiyo, huku maelfu ya watu wa kabila la Hausa wakiandamana na kufunga barabara katika maeneo kadhaa kupinga ghasia hizo, ambazo wanasema ziliwalenga wao katika Jimbo la Blue Nile.

  • Kiongozi wa kijeshi wa Sudan awateua wanajeshi watano kuwa mabalozi

    Kiongozi wa kijeshi wa Sudan awateua wanajeshi watano kuwa mabalozi

    Jul 11, 2022 03:18

    Kamanda wa jeshi la Sudan amewateua majenerali watano wa polisi, jeshi na askari usalama kuwa mabalozi wa Khartoum.

  • Kujiondoa kwa Baraza la Kijeshi la Sudan katika mchakato wa mazungumzo na makundi ya kisiasa

    Kujiondoa kwa Baraza la Kijeshi la Sudan katika mchakato wa mazungumzo na makundi ya kisiasa

    Jul 05, 2022 21:56

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Sudan ametangaza kujiondoa kwa Baraza la Kijeshi la nchi hii katika mazungumzo ya moja kwa moja na makundi ya kisiasa.

  • Tisa wauawa Sudan katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi

    Tisa wauawa Sudan katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi

    Jul 01, 2022 05:56

    Takriban waandamanaji tisa waliuawa kwa kupigwa risasi nchini Sudan siku ya Alhamisi, matabibu wamesema, huku umati mkubwa wa watu ukiingia mitaani licha ya ulinzi mkali na kukatika kwa mawasiliano kuandamana dhidi ya utawala wa kijeshi ulionyakua mamlaka miezi minane iliyopita.

  • AU yataka Sudan, Ethiopia ziache makabiliano ya kijeshi mpakani

    AU yataka Sudan, Ethiopia ziache makabiliano ya kijeshi mpakani

    Jun 30, 2022 03:42

    Kamisheni ya Umoja wa Afrika imetoa mwito kwa nchi za Sudan na Ethiopia kujizuia na kutochukua hatua yoyote inayoweza kushadidisha mivutano ya kijeshi katika eneo la al-Fashaqa, lililoko katika mpaka wa pamoja wa nchi mbili hizo jirani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS