Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Jun 27, 2022 22:21

    Jeshi la Sudan limelitumu jeshi la Ethiopia kuwa limewanyonga wanajeshi 7 na raia mmoja wa Sudan waliokuwa wafungwa nchini humo, jambo ambalo limekanushwa na maafisa rasmi wa Ethiopia, wakieleza kuwa Addis Ababa itatoa tamko rasmi la kujibu madai hayo ya Sudan.

  • Mvutano baina ya Ethiopia na Sudan: Jeshi la Ethiopia latuhumiwa kuwaua Wasudan wanane

    Mvutano baina ya Ethiopia na Sudan: Jeshi la Ethiopia latuhumiwa kuwaua Wasudan wanane

    Jun 27, 2022 03:26

    Sudan imesema, jeshi la Ethiopia limeua raia wanane wa nchi hiyo.

  • UN: Thuluthi moja ya Wasudan wanakabiliwa na njaa

    UN: Thuluthi moja ya Wasudan wanakabiliwa na njaa

    Jun 17, 2022 06:52

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema zaidi ya asilimia 30 ya wananchi wa Sudan wanasumbuliwa na mgogoro mkubwa wa chakula uliosababishwa na mabadiliko ya tabianchi, mzozo wa kisiasa na kupanda bei za chakula katika soko la dunia.

  • UN: Mauaji mapya ya kikabila nchini Sudan yameua watu 145

    UN: Mauaji mapya ya kikabila nchini Sudan yameua watu 145

    Jun 15, 2022 07:19

    Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watu waliouawa katika wimbi jipya la mapigano ya kikabila huko Sudan imeongezeka na kufikia 145.

  • Jumanne, Juni 14, 2022

    Jumanne, Juni 14, 2022

    Jun 13, 2022 20:45

    Leo ni Jumanne mwezi 14 Mfunguo Pili Dhulqaad, 1443 Hijiria inayosadifiana na 14 Juni 2022 Milaadia.

  • Idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila Sudan yafikia 100

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila Sudan yafikia 100

    Jun 13, 2022 03:28

    Imeelezwa kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila ya hivi karibuni huko Darfur magharibi Sudan imeongezeka na kufikia wahanga 100.

  • Watu wasiopungua 27 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    Watu wasiopungua 27 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    Jun 07, 2022 23:09

    Watu wasiopungua 27 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika mapigano yaliyotokea kwenye maeneo ya magharibi na kusini ya Sudan.

  • Mtaalamu wa UN ataka kuharakishwa uchunguzi wa mauaji ya baada ya mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Mtaalamu wa UN ataka kuharakishwa uchunguzi wa mauaji ya baada ya mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Jun 05, 2022 03:36

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu nchini Sudan ametaka kuharakishwa uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji pamoja na jinai zingine zilizofanywa katika nchi hiyo, huku idadi ya vifo vilivyotokea tangu yalipofanyika mapinduzi ya kijeshi mwaka uliopita ikikaribia watu 100.

  • Makundi ya kisiasa Sudan yabeza kuondolewa sheria ya hali ya hatari

    Makundi ya kisiasa Sudan yabeza kuondolewa sheria ya hali ya hatari

    Jun 04, 2022 08:18

    Makundi mbalimbali ya kisiasa nchini Sudan likiwemo la muungano wa vyama vya wafanyakazi yamesema, kufutwa sheria ya hali ya hatari nchini humo hakuna faida yoyote kwa sababu ukatili na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama ungali unaendelea.

  • Genge lenye silaha lashambulia kambi ya wakimbizi nchini Sudan

    Genge lenye silaha lashambulia kambi ya wakimbizi nchini Sudan

    May 08, 2022 21:54

    Genge moja lenye silaha limevamia na kushambulia kambi moja ya wakimbizi katika jimbo la Darfur la magharibi mwa Sudan na kuua na kujeruhi watu wasiopungua 7.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS