-
Raia mwingine auawa na vikosi vya usalama katika maandamano nchini Sudan
May 06, 2022 07:41Maandamano nchini Sudan yameendelea kushuhudiwa sambamba na ukandamizaji unaofanywa na vikosi vya usalama dhidi ya waandamanaji ambapo raia mwingine ameuawa katika maandamano hayo.
-
Polisi washambulia waandamanaji nchini Sudan
May 01, 2022 03:47Polisi nchini Sudan wamewashambulia waandamanaji ambao walikuwa wamekusanyika katika mji mkuu, Khartoum na miji mingine wakipinga utawala wa kijeshi sambamba na kuadhimisha mwaka wa tatu wa mauaji ya waandamanaji.
-
Viongozi wa Sudan wapiga marufuku maandamano ya aina yoyote
Apr 30, 2022 06:55Viongozi wa Sudan wametangaza kupiga marufuku maandamano yoyote yale kwa mnasaba wa miaka mitatu ya maandamano ya kulalamikia madaraka ya nchi kutwaliwa na wanajeshi wa nchi hiyo.
-
Watu 200 wauawa katika jimbo la Darfur, jeshi la Sudan linatuhumiwa kuhusika
Apr 26, 2022 23:18Zaidi ya watu 200 wameuawa huko Darfur, magharibi mwa Sudan kwenye mpaka wa nchi hiyo na Chad, katika mapigano mapya ambayo yalianza hapa na pale katika eneo hilo na baadaye yakageuka kuwa mapigano makali.
-
Watu 160 wauawa katika mapigano mapya Darfur, Sudan
Apr 25, 2022 06:10Watu wasiopungua 160 wameuawa katika jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan baada ya kuibuka mapigano baina ya makundi mawili hasimu.
-
Walinda amani zaidi ya 500 wa kimataifa wa Ethiopia waomba hifadhi nchini Sudan
Apr 24, 2022 23:32Shirika la habari la Ufaransa limeripoti kuwa, zaidi ya walinda amani 500 wa Umoja wa Mataifa kutoka eneo la Tigray nchini Ethiopia wameomba hifadhi nchini Sudan.
-
Sudan yaitaka jamii ya kimataifa kuiwajibisha Israel baada ya kuvamia al Aqsa
Apr 18, 2022 08:38Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imelaani vikali mashambulizi ya wanajeshi wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa na shambulio dhidi ya waumini wa Kipalestina wasio na ulinzi waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala ya Alfajiri katika eneo hilo.
-
Mahakama ya Sudan yamwachia huru Al-Ghandour na wenzake 12, walikabiliwa na tuhuma za ugaidi
Apr 07, 2022 22:54Mahakama ya Sudan imemwachia huru Mkuu wa Chama cha National Congress Party (chama tawala zamani), Ibrahim Al-Ghandour na wengine 12 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kuhujumu utaratibu wa kikatiba na kufadhili ugaidi. Uamuzi wa mahakama hiyo umetajwa kuwa wa mwisho usioweza kukatiwa rufaa.
-
Wasudan waandamana usiku kucha dhidi ya serikali ya kijeshi
Apr 07, 2022 02:09Wananchi wa Sudan wameendelea kuandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum na katika miji mingine ya nchi hiyo dhidi ya serikali ya kijeshi.
-
Ujumbe wa Israel wakutana na wakuu wa jeshi la Sudan mjini Khartoum
Apr 03, 2022 22:05Maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya safari ya siri mjini Khartoum, na kukutana na maafisa wa ngazi za juu wa jeshi la Sudan.