-
Sudan yatishia kumfukua mwakilishi wa kudumu wa UN, kisa, anaingilia mambo ya ndani
Apr 02, 2022 02:49Kamanda wa jeshi la Sudan ametishia kumfukuza mwakilishi wa kudumu wa Umoja wa Mataifa mjini Khartoum.
-
Mapigano ya kikabila Darfur yasababisha vifo vya makumi ya watu
Apr 01, 2022 05:55Mapigano makali kati ya makundi hasimu huko Darfur nchini Sudan yamesababisha takriban watu 45 kuuawa, huku viongozi wa kikabila wakiripoti kwamba mapigano hayo ni sehemu ya ghasia za kikabila zinazoendelea katika eneo hilo.
-
HRW: Polisi ya Misri inawakandamiza wakimbizi wa Sudan
Mar 28, 2022 06:35Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeishutumu polisi kwa kuwazuilia kinyume cha sheria na kuwatesa makumi ya wakimbizi wa Sudan.
-
Sudan yakadhibisha madai ya kuwepo mamluki wa Russia nchini humo
Mar 22, 2022 22:14Serikali ya Sudan imepuuzilia mbali madai ya Wamagharibi wanaodai kuwa, kuna mamluki wa Kundi la Wagner la Russia katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Maandamano ya Wasudani milioni moja kufanyika leo, wanapinga utawala wa kijeshi
Mar 21, 2022 04:17Makundi yanayopinga utawala wa kijeshi nchini Sudan yameitisha maandamano ya watu milioni moja leo Jumatatu, ambayo wamesema yataelekea katika ikulu ya rais katikati mwa mji mkuu, Khartoum. Maandamano ya leo ya Wasudani yanafuatia yale yaliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika miji mingine kadhaa ya Sudan.
-
Jeshi la Sudan: Tutakabidhi madaraka kwa serikali itakayochaguliwa
Mar 19, 2022 23:23Naibu kiongozi wa baraza la uongozi la Sudan amesisitiza kuwa, utawala wa mpito wa kijeshi nchini humo utakabidhi madaraka kwa serikali itakayochaguliwa.
-
WFP yatahadharisha kuhusu hatari ya njaa nchini Sudan Kusini
Mar 12, 2022 09:41Katika taarifa yake mpya, Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umetahadharisha kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya wananchi wa Sudan Kusini mwaka huu wa 2022 wanakabiliwa na hatari ya njaa.
-
Watu 16 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan
Mar 09, 2022 06:52Watu wasiopungua 16 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.
-
Wasudan waandamana tena kupinga utawala wa kijeshi, 50 wajeruhiwa
Mar 04, 2022 08:47Zaidi ya watu 50 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum na miji mingine mikubwa ya nchi hiyo.
-
Wapinzani wa utawala wa kijeshi Sudan wataka kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo katika vita vya Yemen
Feb 28, 2022 10:22Kamati za wanamapambano wa Sudan zimetoa wito wa kurejeshwa nyumbani wanajeshi wa nchi hityo wanaoshirikiana na Saudi Arabia katika vita dhidi ya taifa la Yemen.