Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Katibu Mkuu wa UN alitaka jeshi Sudan liache kushambulia waandamanaji

    Katibu Mkuu wa UN alitaka jeshi Sudan liache kushambulia waandamanaji

    Jan 04, 2022 09:16

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amevisihi vikosi vya usalama nchini Sudan vizingatie wajibu wao juu ya uhuru na haki ya kuandamana na kujieleza, kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya tarehe 25 mwezi Oktoba mwaka uliopita wa 2021.

  • Hatimaye Waziri Mkuu wa Sudan atangaza rasmi kujiuzulu

    Hatimaye Waziri Mkuu wa Sudan atangaza rasmi kujiuzulu

    Jan 03, 2022 04:14

    Abdalla Hamdok, Waziri Mkuu wa Sudan ambaye hivi karibuni alitishia kujiuzulu, hatimaye ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo mbele ya waandishi wa habari.

  • Askari wa Sudan watawanya maandamano kwa kutumia gesi ya kutoa machozi, raia wawili wauawa Khartoum

    Askari wa Sudan watawanya maandamano kwa kutumia gesi ya kutoa machozi, raia wawili wauawa Khartoum

    Jan 02, 2022 23:07

    Askari usalama wa Sudan jana Jumapili waliwatawanya waandamanaji kwa kutumia gesi ya kutoa machozi huku huduma ya inteneti ikivurugika.

  • Jumamosi, Mosi Januari, 2022

    Jumamosi, Mosi Januari, 2022

    Dec 31, 2021 23:24

    Leo ni Jumamosi tarehe 27 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1443 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Januari 2022 Miladia.

  • Waandamanaji wanne wauawa Sudan wakidai utawala wa kiraia, UN yalaani

    Waandamanaji wanne wauawa Sudan wakidai utawala wa kiraia, UN yalaani

    Dec 31, 2021 04:48

    Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan (UNITAMS), ameeleza kuchukizwa kwake mno kutokana na ripoti kwamba waandamanaji 4 waliuawa katika maandamano yaliyofanyika jana Alkhamisi nchini Sudan ambako wanachi wanaendelea kupinga utawala wa kijeshi.

  • 38 waaga dunia baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka Sudan

    38 waaga dunia baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka Sudan

    Dec 29, 2021 04:21

    Makumi ya watu wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi wa dhahabu nchini Sudan.

  •  Hamdok aweka wazi nia yake ya kujiuzulu kiti cha Waziri Mkuu wa Sudan

    Hamdok aweka wazi nia yake ya kujiuzulu kiti cha Waziri Mkuu wa Sudan

    Dec 28, 2021 08:09

    Waziri Mkuu wa Sudan ametangaza kuwa hana hamu ya kuendelea kufanya kazi na ametaka kuteuliwa Waziri Mkuu mwingine kwa ajili ya nchi hiyo.

  • Wanawake nchini Sudan waandamana, wapinga kubakwa waandamanaji wa kike

    Wanawake nchini Sudan waandamana, wapinga kubakwa waandamanaji wa kike

    Dec 24, 2021 12:22

    Hali ya taharuki imetanda katika duru za Sudan kwa siku kadhaa sasa, huku habari zikisambaa kuwa idadi kubwa ya vijana wa kike walibakwa na kunyanyaswa walipokuwa wakishiriki maandamano Jumapili iliyopita dhidi ya utawala wa kijeshi.

  • Kuendelea mgogoro nchini Sudan sambamba na kukandamizwa wapinzani

    Kuendelea mgogoro nchini Sudan sambamba na kukandamizwa wapinzani

    Dec 21, 2021 06:05

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ungali unaendelea. Akthari ya raia wa Sudan wameendelea kujitokeza katika barabara na mitaa ya miji mbalimbali ya nchi hiyo wakionyesha upinzani wao dhidi ya utawala wa kijeshi na kusisitiza kueendeleza maandamano hadi demokrasia itakapochukua mkondo wake.

  • Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Sudan

    Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Sudan

    Dec 15, 2021 23:24

    Licha ya kupita wiki kadhaa tokea aliporejea madarakani Abdalla Hamdok kama waziri mkuu wa Sudan, na jeshi la nchi hiyo kuafiki aunde serikali isiyo ya kijeshi lakini mgogoro wa kisiasa bado haujamalizika, kwani wananchi wanaendeleza maandamano mitaani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS