-
Katibu Mkuu wa UN alitaka jeshi Sudan liache kushambulia waandamanaji
Jan 04, 2022 09:16Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amevisihi vikosi vya usalama nchini Sudan vizingatie wajibu wao juu ya uhuru na haki ya kuandamana na kujieleza, kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya tarehe 25 mwezi Oktoba mwaka uliopita wa 2021.
-
Hatimaye Waziri Mkuu wa Sudan atangaza rasmi kujiuzulu
Jan 03, 2022 04:14Abdalla Hamdok, Waziri Mkuu wa Sudan ambaye hivi karibuni alitishia kujiuzulu, hatimaye ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo mbele ya waandishi wa habari.
-
Askari wa Sudan watawanya maandamano kwa kutumia gesi ya kutoa machozi, raia wawili wauawa Khartoum
Jan 02, 2022 23:07Askari usalama wa Sudan jana Jumapili waliwatawanya waandamanaji kwa kutumia gesi ya kutoa machozi huku huduma ya inteneti ikivurugika.
-
Jumamosi, Mosi Januari, 2022
Dec 31, 2021 23:24Leo ni Jumamosi tarehe 27 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1443 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Januari 2022 Miladia.
-
Waandamanaji wanne wauawa Sudan wakidai utawala wa kiraia, UN yalaani
Dec 31, 2021 04:48Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan (UNITAMS), ameeleza kuchukizwa kwake mno kutokana na ripoti kwamba waandamanaji 4 waliuawa katika maandamano yaliyofanyika jana Alkhamisi nchini Sudan ambako wanachi wanaendelea kupinga utawala wa kijeshi.
-
38 waaga dunia baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka Sudan
Dec 29, 2021 04:21Makumi ya watu wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi wa dhahabu nchini Sudan.
-
Hamdok aweka wazi nia yake ya kujiuzulu kiti cha Waziri Mkuu wa Sudan
Dec 28, 2021 08:09Waziri Mkuu wa Sudan ametangaza kuwa hana hamu ya kuendelea kufanya kazi na ametaka kuteuliwa Waziri Mkuu mwingine kwa ajili ya nchi hiyo.
-
Wanawake nchini Sudan waandamana, wapinga kubakwa waandamanaji wa kike
Dec 24, 2021 12:22Hali ya taharuki imetanda katika duru za Sudan kwa siku kadhaa sasa, huku habari zikisambaa kuwa idadi kubwa ya vijana wa kike walibakwa na kunyanyaswa walipokuwa wakishiriki maandamano Jumapili iliyopita dhidi ya utawala wa kijeshi.
-
Kuendelea mgogoro nchini Sudan sambamba na kukandamizwa wapinzani
Dec 21, 2021 06:05Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ungali unaendelea. Akthari ya raia wa Sudan wameendelea kujitokeza katika barabara na mitaa ya miji mbalimbali ya nchi hiyo wakionyesha upinzani wao dhidi ya utawala wa kijeshi na kusisitiza kueendeleza maandamano hadi demokrasia itakapochukua mkondo wake.
-
Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Sudan
Dec 15, 2021 23:24Licha ya kupita wiki kadhaa tokea aliporejea madarakani Abdalla Hamdok kama waziri mkuu wa Sudan, na jeshi la nchi hiyo kuafiki aunde serikali isiyo ya kijeshi lakini mgogoro wa kisiasa bado haujamalizika, kwani wananchi wanaendeleza maandamano mitaani.