Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Wakimbizi kutoka Ethiopia waendelea kumiminika Sudan

    Wakimbizi kutoka Ethiopia waendelea kumiminika Sudan

    Jan 06, 2021 04:50

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR linaendelea kuandikisha wakimbizi wapya katika mpaka wa Sudan na Ethiopia ambapo takriban wakimbizi 800 wamevuka kutoka eneo la Tigray nchini Ethiopia na kuingia mashariki mwa Sudan katika siku chache za mwaka huu wa 2021.

  • UN, AU: Kikosi cha UNAMID kimetimiza majukumu Darfur, Sudan

    UN, AU: Kikosi cha UNAMID kimetimiza majukumu Darfur, Sudan

    Jan 01, 2021 23:15

    Viongozi wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa wametoa shukrani zao za dhati kwa kikosi cha kulinda amani cha UNAMID kwa kumaliza kwa mafanikio oparesheni ya kulinda amani huko Darfur, Magharibi mwa Sudan.

  • Ijumaa, 01 Januari, 2021

    Ijumaa, 01 Januari, 2021

    Dec 31, 2020 23:00

    Leo ni Ijumaa tarehe 17 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Januari mwaka 2021 Miladia

  • Jeshi la Sudan ladhibiti maeneo mapya ya waasi katika mpaka na Ethiopia

    Jeshi la Sudan ladhibiti maeneo mapya ya waasi katika mpaka na Ethiopia

    Dec 30, 2020 21:02

    Jeshi la Sudan limedhibiti maeneo mapya yaliyokuwa yakishikiliwa na waasi katika mpaka wake na Ethiopia.

  • Wasudan waandamana kufuatia kifo cha kutatanisha cha mwanaharakati wa kisiasa

    Wasudan waandamana kufuatia kifo cha kutatanisha cha mwanaharakati wa kisiasa

    Dec 30, 2020 12:23

    Mamia ya wananchi wa Sudan wamefanya maandamano katika mji mkuu Khartoum na mji wa Omdourman kulalamikia kifo cha kutatanisha cha mwanaharakati mmoja wa kisiasa.

  • Waziri wa Habari wa Sudan: Kufanya mapatano na Israel hakutaleta amani na utulivu

    Waziri wa Habari wa Sudan: Kufanya mapatano na Israel hakutaleta amani na utulivu

    Dec 29, 2020 04:29

    Waziri wa Habari wa Sudan amesema, ahadi ya kupata amani na utulivu nchi zilizofanya mapatano na utawala wa Kizayuni ni njozi tupu.

  • Viongozi katika jimbo la Darfur watoa radiamali kufuatia kushtadi mapigano magharibi mwa Sudan

    Viongozi katika jimbo la Darfur watoa radiamali kufuatia kushtadi mapigano magharibi mwa Sudan

    Dec 28, 2020 23:32

    Viongozi wa kieneo katika jimbo la Darfur kusini huko Sudan wamesema kuwa wanajeshi kadhaa wametumwa katika eneo hilo ili kukabiliana na mapigano ya kikabila yaliyoshtadi huko magharibi mwa Sudan.

  • Jeshi la Ethiopia lalipiza kisasi, laua wabeba silaha 42 mpakani na Sudan

    Jeshi la Ethiopia lalipiza kisasi, laua wabeba silaha 42 mpakani na Sudan

    Dec 25, 2020 09:45

    Watu 42 waliokuwa wamebeba silaha wameuawa na wanajeshi wa Ethiopia katika eneo la Benishangul-Gumuz, magharibi mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, mpakani na Sudan.

  • Sudan imeyadhibiti maeneo yote ya mpaka wa pamoja na Ethiopia

    Sudan imeyadhibiti maeneo yote ya mpaka wa pamoja na Ethiopia

    Dec 22, 2020 03:48

    Jeshi la Sudan kwa mara nyingine tena limeyadhibiti maeneo yote ya mpaka wa pamoja na Ethiopia; ambayo miaka 25 iliyopita yalikuwa yakishikiliwa na makundi ya wanamgambo yanayoungwa mkono na Ethiopia.

  • Jeshi la Sudan latoa onyo kali kwa Ethiopia

    Jeshi la Sudan latoa onyo kali kwa Ethiopia

    Dec 19, 2020 04:21

    Jeshi la Sudan limesema litatoa jibu kwa hatua za kuvuruga amani katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS