Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Tuhuma mpya dhidi ya Omar al Bashir zaanza kufuatiliwa nchini Sudan

    Tuhuma mpya dhidi ya Omar al Bashir zaanza kufuatiliwa nchini Sudan

    Jun 10, 2020 21:56

    Mkuu wa Kamati ya Kupambana na Ufisadi ambaye pia ni mjumbe wa Baraza la Uongozi la Sudan ametangaza habari ya kuanza kufuatiliwa tuhuma mpya zinazomkabilia rais wa zamani wa nchi hiyo, Jenerali Omar Hassan Ahmad al Bashir.

  • Mahakama ya Kimataifa ya Jinai yamkamata kiongozi wa Janjaweed

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai yamkamata kiongozi wa Janjaweed

    Jun 10, 2020 00:54

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetangaza kuwa, kiongozi wa wanamgambo wa Janjaweed Ali Kosheib ambaye alikuwa mtu wa karibu kwa rais wa zamani wa Sudan, Omar al Bashir amejisalimisha kwa mahakama hiyo na kwamba anakabiliwa na tuhuma za kutenda jinai za kivita katika jimbo la Darfur huko magharibi mwa Sudan tangu mwaka 2003.

  • Ethiopia yaituhumu Misri kuwa imechochea ghasia na machafuko nchini humo

    Ethiopia yaituhumu Misri kuwa imechochea ghasia na machafuko nchini humo

    Jun 04, 2020 07:13

    Afisa wa serikali ya jimbo la Oromia nchini Ethiopia ameituhumu serikali ya Misri kuwa imechochea maandamano na ghasia zilizoshuhudiwa katika siku za hivi karibuni jimboni humo.

  • Ethiopia yatilia mkazo mashauriano ya kidiplomasia ili kutatua hitilafu kati yake na Sudan

    Ethiopia yatilia mkazo mashauriano ya kidiplomasia ili kutatua hitilafu kati yake na Sudan

    May 31, 2020 23:27

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia imetoa taarifa na kusisitiza kufanyika mashauriano ya kidiplomasia ili kuzipatia ufumbuzi hitilafu baina yake na Sudan.

  • Siri ya kutua ndege ya utawala haramu wa Kizayuni kwenye ardhi ya Sudan, yafichuka

    Siri ya kutua ndege ya utawala haramu wa Kizayuni kwenye ardhi ya Sudan, yafichuka

    May 28, 2020 21:53

    Ndege ya utawala haramu wa Israel ambayo hivi karibu ilitua katika ardhi ya Sudan, ilikuwa na lengo la kumuokoa dalali anayefuatilia kuboreshwa uhusiano wa nchi hiyo na Tel Aviv ambaye alikuwa ameambikizwa virusi vya Corona.

  • Wakati Saudia na Imarati zinapoitumia vibaya Sudan na baadaye kuiacha

    Wakati Saudia na Imarati zinapoitumia vibaya Sudan na baadaye kuiacha "solemba"

    May 26, 2020 02:19

    Kwa muda sasa Sudan imebadilisha misimamo yake ya kisiasa kama njia ya kuvutia misaada ya kifedha kutoka kwa nchi kama Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Saudi Arabia lakini nchi hizo hazioneshi utashi wowote wa kuitatulia Khartoum matatizo yake zaidi ya kuitumia tu kufanikishia malengo yao binafsi.

  • Sudan yakaribia

    Sudan yakaribia "kumezwa" na utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 24, 2020 23:26

    Katika hatua nyingine ya kushangaza na ambayo inaashiria jinsi Israel ilivyo na hamu ya kuimeza nchi ya Waislamu ya Sudan, Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni amezungumza kwa simu na mkuu wa Baraza la Uongozi la Sudan na kuitaka Khartoum ijikurubishe zaidi na zaidi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Sudan: Tumeondoa akthari ya askari wetu nchini Yemen

    Sudan: Tumeondoa akthari ya askari wetu nchini Yemen

    May 15, 2020 07:55

    Serikali ya Mpito wa Sudan imetangaza kuwa imewaondoa nchini Yemen aghalabu ya wanajeshi wake waliokuwa wanapigana chini ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • Watu 26 wauawa katika mapigano ya kikabila kusini mwa Sudan

    Watu 26 wauawa katika mapigano ya kikabila kusini mwa Sudan

    May 14, 2020 06:34

    Watu wasiopungua 26 wanaripotiwa kuuawa kusini mwa Sudan na wengine 19 kujeruhiwa baada ya kuibuka mapigano ya kikabila katika jimbo la Kordofan Kusini.

  • Mapigano ya kikabila Darfur, Sudan yaua watu 30

    Mapigano ya kikabila Darfur, Sudan yaua watu 30

    May 07, 2020 03:28

    Kwa akali watu 30 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila baina ya Waarabu na wasiokuwa Waarabu katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS