Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Wafuasi 23 wa Omar al Bashir watiwa mbaroni nchini Sudan

    Wafuasi 23 wa Omar al Bashir watiwa mbaroni nchini Sudan

    May 01, 2020 09:10

    Polisi nchini Sudan wamewatia mbaroni wafuasi 23 wa rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir.

  • Indhari ya Kiongozi wa Baraza la Utawala la Sudan kuhusu kufanyika mapinduzi nchini humo

    Indhari ya Kiongozi wa Baraza la Utawala la Sudan kuhusu kufanyika mapinduzi nchini humo

    Apr 27, 2020 02:12

    Baada ya kupita takribani mwaka mmoja tangu yalipotokea mageuzi ya kisiasa nchini Sudan yaliyopelekea kuondolewa madarakani aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Omar Hassan al-Bashir, nchi hiyo ingali inakabiliwa na hali kisiasa inayolegalega.

  • Serikali ya Mpito Sudan: Jamaa wa al Bashir wanapanga njama ya mapinduzi

    Serikali ya Mpito Sudan: Jamaa wa al Bashir wanapanga njama ya mapinduzi

    Apr 26, 2020 20:12

    Mkuu wa Baraza la Utawala nchini Sudan ametangaza kuwa, watu wa karibu na rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir wanapanga njama ya mapinduzi dhidi ya serikali ya mpito ya nchi hiyo.

  • Ripoti: UAE inashirikiana na Sudan kuunga mkono waasi wa Haftar nchini Libya

    Ripoti: UAE inashirikiana na Sudan kuunga mkono waasi wa Haftar nchini Libya

    Apr 25, 2020 06:34

    Gazeti moja la Libya limefichua kuhusu mapatano mapya ya Sudan na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa lengo la kumuunga mkono kinara wa waasi Libya, Jenerali Khalifa Haftar.

  • Mapatano ya serikali ya Sudan na makundi ya wabeba silaha Darfur

    Mapatano ya serikali ya Sudan na makundi ya wabeba silaha Darfur

    Apr 24, 2020 23:35

    Serikali ya Sudan imefikia mpatano na makundi ya wabeba silaha katika eneo la Darfur magharibi mwa nchi hiyo. Kwa mujibu wa mapatano hayo, viti vinne chini ya anwani ya 'Kamati ya Amani' vitaongozewa Baraza la Mpito la Sudan.

  • Afisa mmoja wa ubalozi wa Marekani ashambuliwa kwa risasi mjini Khartoum Sudan

    Afisa mmoja wa ubalozi wa Marekani ashambuliwa kwa risasi mjini Khartoum Sudan

    Apr 24, 2020 02:38

    Ubalozi wa Marekani nchini Sudan umetangaza kuwa, afisa mmoja wa ubalozi huo amesalimika kifo baada ya kushambuliwa kwa risasi mjini Kharotum.

  • Mali za viongozi wa zama za Omar al-Bashir nchini Sudan zataifishwa

    Mali za viongozi wa zama za Omar al-Bashir nchini Sudan zataifishwa

    Apr 20, 2020 07:22

    Serikali ya Sudan imetangaza kuwa, mali za viongozi wa zamani katika kipindi cha uongozi wa Omar Hassan al-Bashir Rais wa zamani wa nchi hiyo zimetaifishwa na kufanywa kuwa mali ya umma.

  • Corona, Sudan yaomba msaada wa matibabu kutoka China

    Corona, Sudan yaomba msaada wa matibabu kutoka China

    Apr 15, 2020 20:13

    Serikali ya Sudan imeiomba serikali ya China iisaidie nchi hiyo dawa na vifaa vya matibabu kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa COVID-19.

  • Sudan yaipa Sudan Kusini msaada mwingine wa kijeshi kudhamini utekelezaji wa makubaliano ya amani

    Sudan yaipa Sudan Kusini msaada mwingine wa kijeshi kudhamini utekelezaji wa makubaliano ya amani

    Apr 06, 2020 08:42

    Serikali ya Sudan imetuma msaada wa tatu wa kijeshi kwa jirani yake wa kusini, Sudan Kusini ikiwa ni sehemu ya juhudi za kudhamini utekelezaji wa makubaliano ya amani baina ya serikali ya Juba na wapinzani.

  • Kuendelea uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Sudan

    Kuendelea uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Sudan

    Apr 04, 2020 02:43

    Uingiliaji wa Marekani katika nchi za Afrika kwa njia ya moja kwa moja na isiyo ya moja kwa moja, ungali unaendelea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS