Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Ndege isiyo na rubani yatunguliwa karibu na makazi ya Mkuu wa Baraza la Uongozi Sudan

    Ndege isiyo na rubani yatunguliwa karibu na makazi ya Mkuu wa Baraza la Uongozi Sudan

    Mar 29, 2020 21:55

    Wakuu wa Sudan wametangaza habari ya kutunguliwa ndege moja isiyo na rubani (droni) juu ya anga ya makazi ya Mkuu wa Baraza la Uongozi la nchi hiyo.

  • Tripoli yaitaka Khartoum kuwaondoa mamluki wa Kisudani nchini Libya

    Tripoli yaitaka Khartoum kuwaondoa mamluki wa Kisudani nchini Libya

    Mar 21, 2020 07:17

    Mjumbe katika Baraza la Utawala la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya, Muhammad Ammari amesema Libya ingali inasubiri ufafanuzi wa Serikali ya Sudan kuhusu uwepo wa mamluki wa Kisudani katika safu za wapiganaji wa jenerali muasi, Khalifa Haftar wanaoendelea kuhujumu mji wa Tripoli.

  • Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali yaamuru kukamatwa waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Sudan

    Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali yaamuru kukamatwa waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Sudan

    Mar 18, 2020 23:15

    Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Sudan imetoa waranti wa kutiwa nguvuni waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo na kuzuiliwa mali zake.

  • Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Sudan atembelea Misri kupunguza wasiwasi wa kutokea vita

    Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Sudan atembelea Misri kupunguza wasiwasi wa kutokea vita

    Mar 15, 2020 03:16

    Duru za habari zimeripoti kuwa, afisa mmoja wa ngazi za juu wa kijesi wa Sudan ametembelea Misri kwa ajili ya kufanya mazungumzo kuhusu bwawa la al Nahdha la Ethiopia na kupunguza wasiwasi wa kutokea vita baina ya nchi hizo mbili.

  • The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    Mar 12, 2020 23:20

    Ripoti iliyoandikwa na gazeti la Guardian la Uingereza imefichua kuwa, nchi ya Umoja wa Falme wa Kiarabu (Imarati) imempatia jenerali mstaafu wa Libya, Khalifa Haftar tani elfu tano za silaha tangu mwezi Januari mwaka huu.

  • Washukiwa wa jaribio la mauaji dhidi ya Waziri Mkuu wa Sudan watiwa nguvuni

    Washukiwa wa jaribio la mauaji dhidi ya Waziri Mkuu wa Sudan watiwa nguvuni

    Mar 12, 2020 10:53

    Waziri wa Utamaduni na Vyombo vya Habari wa Sudan ametangaza kuwa, vyombo vya usalama vya nchi hiyo vimewatia nguvuni washukiwa wa jaribio la mauaji ya Waziri Mkuu wa muda wa nchi hiyo.

  • Sudan yaunda taasisi mpya ya usalama wa ndani baada ya waziri mkuu kunusurika kuuawa

    Sudan yaunda taasisi mpya ya usalama wa ndani baada ya waziri mkuu kunusurika kuuawa

    Mar 12, 2020 04:38

    Msemaji wa Baraza la Uongozi la Sudan ametangaza habari ya kuundwa taasisi Mpya ya usalama wa ndani kwa shabaha ya kupambana na vitendo vya kigaidi nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa walaani jaribio la kumuua waziri mkuu wa Sudan

    Umoja wa Mataifa walaani jaribio la kumuua waziri mkuu wa Sudan

    Mar 11, 2020 01:17

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali jaribio la kumuua Waziri Mkuu wa Sudan.

  • AU yalaani jaribio la mauaji dhidi ya Waziri Mkuu wa Sudan

    AU yalaani jaribio la mauaji dhidi ya Waziri Mkuu wa Sudan

    Mar 10, 2020 04:46

    Umoja wa Afrika umelaani shambulizi la bomu dhidi ya Waziri Mkuu wa Sudan, Abdulla Hamdok ambaye alinusurika kifo jana kufuatia mlipuko wa bomu uliolenga gari lake katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.

  • Waziri Mkuu wa Sudan anusurika kifo katika shambulio la bomu

    Waziri Mkuu wa Sudan anusurika kifo katika shambulio la bomu

    Mar 09, 2020 06:45

    Waziri Mkuu wa Sudan Abdulla Hamdok amenusurika kifo leo kufuatia mlipuko wa gari uliolenga gari lake katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS