Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Yafichuka! Waziri Mkuu wa Sudan anaunga mkono kuwepo uhusiano baina ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni

    Yafichuka! Waziri Mkuu wa Sudan anaunga mkono kuwepo uhusiano baina ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni

    Mar 02, 2020 22:57

    Msemaji wa Baraza la Utawala nchini Sudan amefichua kwamba, mazungumzo ya Mkuu wa Baraza hilo, Abdul Fattah al Burhan na Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu mapema mwezi uliopita yalifanyika kwa ushirikiano na Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ya Sudan.

  • Chama cha Congress cha Sudan chamtimulia mbali mwanachama wake mwandamizi kwa kutembelea Israel

    Chama cha Congress cha Sudan chamtimulia mbali mwanachama wake mwandamizi kwa kutembelea Israel

    Mar 01, 2020 08:39

    Mwanachama mmoja mwanadamizi wa chama cha Congress ya Taifa cha Sudan amefukuzwa na kumtimuliwa mbali na chama hicho baada ya kutembelea Israel.

  • PLO yaitahadharisha Sudan isifanye uhusiano na utawala haramu wa Israel

    PLO yaitahadharisha Sudan isifanye uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Feb 24, 2020 03:05

    Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) ameitahadharisha Sudan kuhusu jitihada zake za kutaka kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waziri Mkuu wa Sudan aunda tume ya kuchunguza ukandamizaji dhidi ya raia

    Waziri Mkuu wa Sudan aunda tume ya kuchunguza ukandamizaji dhidi ya raia

    Feb 22, 2020 09:11

    Waziri Mkuu wa Sudan ametangaza kuwa ameunda tume ya kuchunguza vitendo vya ukandamizaji vilivyofanywa na vikosi vya usalama vya nchi hiyo Alkhamisi na Ijumaa ya jana.

  • Chama cha Umma nchini Sudan chaitahadharisha serikali juu ya kufanya mapatano na Israel

    Chama cha Umma nchini Sudan chaitahadharisha serikali juu ya kufanya mapatano na Israel

    Feb 17, 2020 07:57

    Mkuu wa Chama cha Umma cha nchini Sudan ametahadharisha kuhusiana na suala la kufanyika mapatano na utawala haramu wa Kizayuni na kubainisha kuwa jambo hilo halitakuwa na maslahi yoyote kwa serikali ya Khartoum wala kupelekea iondolewe vikwazo.

  • Vijana wa Sudan wasimulia jinsi Abu Dhabi ilivyowapeleka kupigana vita Libya

    Vijana wa Sudan wasimulia jinsi Abu Dhabi ilivyowapeleka kupigana vita Libya

    Feb 15, 2020 23:21

    Vijana wa Kisudan waliorejea makwao hivi karibuni wamesimulia jinsi walivyohadaiwa na kampuni ya Black Shield Security Services iliyowaahaidi kuwapa kazi za ulinzi na badala yake walijikuta wakipewa mafunzo ya kijeshi yasiyooana na kazi zao na kupelekwa bila ya kujua huko Libya na Yemen kupigana vita.

  • Sudan imekubali kuzilipa fidia familia za wahanga wa meli ya kivita ya USS Cole

    Sudan imekubali kuzilipa fidia familia za wahanga wa meli ya kivita ya USS Cole

    Feb 13, 2020 23:10

    Sudan imekubali kuzilipa fidia familia za mabaharia waliouawa katika mashambulizi ya al Qaida dhidi ya meli ya kivita ya Marekani ya USS Cole miaka 20 iliyopita. Hayo yalielezwa jana na shirika la habari la Sudan, SUNA. Sudan imechukua hatua hiyo ikiwa ni katika juhudi za serikali za kuitoa nchi hiyo kwenye orodha ya nchi zinazodaiwa kufadhili ugaidi.

  • Uamuzi wa Sudan wa kumkabidhi al Bashir kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC)

    Uamuzi wa Sudan wa kumkabidhi al Bashir kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC)

    Feb 13, 2020 00:04

    Wakuu wa serikali ya mpito ya Sudan hatimaye wamechukua uamuzi wa kumkabidhi rais wa zamani wa nchi hiyo kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Serikali ya Sudan na wapinzani wa Darfur wakubaliana kuwakabidhi watenda jinai kwa mahakama ya ICC

    Serikali ya Sudan na wapinzani wa Darfur wakubaliana kuwakabidhi watenda jinai kwa mahakama ya ICC

    Feb 11, 2020 23:28

    Serikali ya Sudan na viongozi wa makundi ya upinzani katika eneo la Darfur wamefikia makubaliano ya kuwakabidhi watenda jinai za kivita katika eneo hilo lililoko magharibi mwa Sudan kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) akiwemo rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir.

  • Wanajeshi wa Sudan waanza kuondoka taratibu nchini Yemen

    Wanajeshi wa Sudan waanza kuondoka taratibu nchini Yemen

    Feb 10, 2020 02:53

    Waziri wa Utamaduni na Habari wa Sudan amesema kuwa wanajeshi wa nchi hiyo wameanza kuondoka taratibu nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS