Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Waziri Mkuu wa Sudan aghadhabishwa na mkutano wa Burhan na Netanyahu

    Waziri Mkuu wa Sudan aghadhabishwa na mkutano wa Burhan na Netanyahu

    Feb 05, 2020 21:49

    Waziri Mkuu wa Sudan amekosoa vikali mkutano wa Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan, Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Juhudi za utawala haramu wa Israel za kutafuta washirika barani Afrika

    Juhudi za utawala haramu wa Israel za kutafuta washirika barani Afrika

    Feb 05, 2020 03:25

    Ikiwa ni katika kuendeleza juhudi zake za kuwa na ushawishi na kutafuta washirika kwa minajili ya kutekeleza siasa zake za kivamizi, Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala haramu amekutana na kufanya mazungumzo mjini Entebe Uganda na Luteni Jenerali Abdul-Fattah al-Burhan, Kiongozi wa Baraza la Utawala la Sudan.

  • Kirusi cha Corona chafika Imarati, Taiwan na Sudan, idadi ya waliofariki dunia inaongezeka

    Kirusi cha Corona chafika Imarati, Taiwan na Sudan, idadi ya waliofariki dunia inaongezeka

    Jan 29, 2020 10:45

    Kirusi hatari cha Corona kimeripotiwa kufika katika nchi za Imarati na Taiwan huku idadi ya watu wanaofariki dunia na kuambukizwa kirusi hicho ikiongezeka kwa kasi.

  • Wasudan wapinga kuwepo kwa raia wa nchi hiyo katika vita vya Libya na Yemen

    Wasudan wapinga kuwepo kwa raia wa nchi hiyo katika vita vya Libya na Yemen

    Jan 26, 2020 02:28

    Wasudani wamepinga uingiliaji wa Imarati katika masuala ya ndani ya nchi nyingine na mikakati ya Abu Dhabi ya kuwataka raia wa kigeni wanaoishi Imarati wakiwemo Wasudani kushiriki katika vita na mapigano yanayoendelea huko Libya na Yemen.

  • Sudan yasaini makubaliano ya amani na kundi la waasi la SPLM-N

    Sudan yasaini makubaliano ya amani na kundi la waasi la SPLM-N

    Jan 25, 2020 04:14

    Baraza la Utawala la Sudan limesaini mapatano ya awali ya amani na kundi moja la waasi, ikiwa ni juhudi za kurejesha utulivu nchini humo.

  • Mkuu wa Shirika la Usalama wa Taifa la Sudan afutwa kazi baada ya uasi

    Mkuu wa Shirika la Usalama wa Taifa la Sudan afutwa kazi baada ya uasi

    Jan 17, 2020 09:14

    Mkuu wa Shirika la Usalama wa Taifa la Sudan amefutwa kazi baada ya jaribio lililofeli la mapinduzi ambalo lilitekelezwa na maafisa kadhaa wa usalama

  • Jeshi la Sudan lazima uasi wa maafisa wa zamani wa utawala wa Al-Bashir

    Jeshi la Sudan lazima uasi wa maafisa wa zamani wa utawala wa Al-Bashir

    Jan 15, 2020 04:34

    Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amesema, anga ya nchi hiyo imefunguliwa tena na majengo yote ya Shirika la Intelijensia hivi sasa yanadhibitiwa na jeshi, kufuatia uasi uliofanywa na maafisa wa zamani wa usalama wa utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Omar al-Bashir.

  • Mazungumzo kuhusu bwawa la al-Nahdha yavunjika nchini Ethiopia

    Mazungumzo kuhusu bwawa la al-Nahdha yavunjika nchini Ethiopia

    Jan 11, 2020 01:20

    Wizara ya Maji ya Misri imetangaza kuwa, mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea huko Addis Ababa kati ya nchi hiyo, Ethiopia na Sudan kuhusiana na bwawa na al-Nahdha yamevunjika baada ya pande husika kushindwa kufikia makubaliano.

  • Serikali ya Sudan yatwaa mali za chama cha rais wa zamani wa nchi hiyo, al Bashir

    Serikali ya Sudan yatwaa mali za chama cha rais wa zamani wa nchi hiyo, al Bashir

    Jan 09, 2020 04:32

    Serikali ya Sudan imetwaa mali za chama kilichovunjwa cha rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir kilichovunjwa na kupigwa marufuku nchini humo.

  • Ndege ya kijeshi yaanguka Darfur, Sudan na kuua watu 18

    Ndege ya kijeshi yaanguka Darfur, Sudan na kuua watu 18

    Jan 03, 2020 08:59

    Watu 18 wameaga dunia baada ya ndege ya kijeshi kuanguka katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS