Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Mtu mmoja auawa katika maandamano ya Wasudan eneo la Darfur

    Mtu mmoja auawa katika maandamano ya Wasudan eneo la Darfur

    May 05, 2019 09:54

    Mtu mmoja amepoteza maisha hii leo kutokana na majeraha ya risasi aliyofyatuliwa hapo jana katika maandamano ya wananchi wa Sudan, ya kulishinikiza Baraza la Mpito la Kijeshi likabidhi madaraka kwa raia.

  • Baraza la Kijeshi Sudan lakataa pendekezo la muundo wa Baraza la Utawala wa Mpito

    Baraza la Kijeshi Sudan lakataa pendekezo la muundo wa Baraza la Utawala wa Mpito

    May 04, 2019 10:49

    Baraza la Kijeshi linalotawala nchini Sudan limekataa pendekezo la muundo wa Baraza la Utawala litakalokuwa na wanajeshi watatu na raia saba kwa ajili ya kuongoza kipindi cha mpito.

  • Wapinzani Sudan: Baraza la Kijeshi linafanya jitihada za kung'ang'ania madaraka

    Wapinzani Sudan: Baraza la Kijeshi linafanya jitihada za kung'ang'ania madaraka

    May 02, 2019 09:07

    Makundi ya kisiasa nchini Sudan yamelituhumu Baraza la Kijeshi la Mpito kwamba linakusudia kuendelea kushikilia madaraka kwa kisingizio cha kudhamini usalama wa nchi hiyo.

  • Onyo la Baraza la Kijeshi la Sudan kwa wapinzani

    Onyo la Baraza la Kijeshi la Sudan kwa wapinzani

    Apr 30, 2019 22:03

    Naibu mkuu wa Baraza la Kijeshi la Mpito la Sudan amesema kuwa kuna wanachama wa makundi ya wabeba silaha wanaoshiriki katika maandamano yanayoendelea nchini Sudan dhidi ya baraza hilo na kuonya kwamba subira ya baraza hilo ina mwisho wake.

  • Je, kuundwa Baraza la Utawala nchini Sudan ni hatua kuelekea raia kukabidhiwa madaraka?

    Je, kuundwa Baraza la Utawala nchini Sudan ni hatua kuelekea raia kukabidhiwa madaraka?

    Apr 29, 2019 02:21

    Baada ya wiki kadhaa za malalamiko ya wananchi nchini Sudan na kushindwa Baraza la Kijeshi la nchi hiyo kuhitimisha malalamiko hayo, hatimaye kikao cha kwanza cha Baraza la Kijeshi nchini humo kimefanyika kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa makundi ya upinzani na viongozi wa waandamanaji.

  • Kiongozi wa upinzani Sudan ataka nchi hiyo ijiunge na ICC

    Kiongozi wa upinzani Sudan ataka nchi hiyo ijiunge na ICC

    Apr 27, 2019 23:20

    Kiongozi wa upinzani nchini Sudan amesema nchi hiyo inapaswa kujiunga na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) mara moja.

  • Wasudan waendeleza maandamano ya kushinikiza utawala wa kiraia

    Wasudan waendeleza maandamano ya kushinikiza utawala wa kiraia

    Apr 26, 2019 09:52

    Maelfu ya wananchi wa Sudan wamesali Sala ya Ijumaa nje ya makao makuu ya jeshi la nchi hiyo mjini Khartoum, siku moja baada ya maandamano makubwa kushuhudiwa katika kona mbalimbali za mji mkuu huo, kulishinikiza jeshi likabidhi madaraka kwa raia.

  • Wakuu wa Baraza la Mpito la Kijeshi la Sudan wajiuzulu

    Wakuu wa Baraza la Mpito la Kijeshi la Sudan wajiuzulu

    Apr 25, 2019 03:17

    Viongozi watatu kati ya 10 wa Baraza la Mpito la Kijeshi la Sudan wametangaza kujiuzulu, huku wananchi wa nchi hiyo wakitazamiwa kuendelea na maandamano yao leo Alkhamisi, kulishinikiza jeshi likabidhi madaraka kwa raia.

  • Takwa la Wasudan la kutaka Baraza la Kijeshi Sudan liondoe askari wa nchi hiyo vitani Yemen

    Takwa la Wasudan la kutaka Baraza la Kijeshi Sudan liondoe askari wa nchi hiyo vitani Yemen

    Apr 22, 2019 23:49

    Wananchi wa Sudan wameandamana wakilalamikia hatua ya nchi yao kushiriki katika muungano wa Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) dhidi ya Yemen.

  • Viongozi wa maandamano Sudan wasimamisha mazungumzo na jeshi

    Viongozi wa maandamano Sudan wasimamisha mazungumzo na jeshi

    Apr 22, 2019 02:52

    Viongozi wa maandamano ya wananchi nchini Sudan wamesema wamesimamisha mazungumzo na Baraza la Mpito la Kijeshi huku wakitoa wito kwa Wasudan kuendeleza maandamano nje ya makao makuu ya jeshi mjini Khartoum na miji mingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS