Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • UNICEF: Watoto Sudan wanakaribia katika ukingo wa madhara yasiyoweza kurekebishwa

    UNICEF: Watoto Sudan wanakaribia katika ukingo wa madhara yasiyoweza kurekebishwa

    Aug 05, 2025 11:11

    Kusimamishwa kwa ufadhili wa kimataifa wa fedha kunakisukuma kizazi chote cha watoto wa Sudan katika ukingo wa madhara yasiyoweza kurekebishwa huku idadi ya watoto walioathiriwa na utapiamlo nchini humo ikiongezeka. Haya ni kwa mujibu wa ripoti ya UNICEF.

  • Njaa yaongezeka katika mji wa al Fashir, Sudan

    Njaa yaongezeka katika mji wa al Fashir, Sudan

    Aug 04, 2025 23:13

    Mamia ya maelfu ya watu waliozingirwa na jeshi la Sudan katika mji wa al Fashir katika jimbo la Darfur wanaishiwa na chakula huku wakikabiliwa na mashambulizi ya mara kwa mara ya droni na makombora.

  • Kwa nini serikali ya Sudan inachukulia uundaji wa serikali hasimu kuwa tishio kubwa?

    Kwa nini serikali ya Sudan inachukulia uundaji wa serikali hasimu kuwa tishio kubwa?

    Jul 29, 2025 07:26

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imelaani vikali tangazo la kuundwa serikali hasimu na Vikosi vya Msaada wa Haraka vinavyoongozwa na "Mohammed Hamdan Dagalo", anayejulikana kwa jina la "Hemedti".

  • Sudan yalaani vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi yake

    Sudan yalaani vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi yake

    Jul 20, 2025 10:37

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imeshutumu vikwazo vipya vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya watu binafsi na mashirika ya Sudan, na kusisitiza kuwa havina "viwango vya uadilifu vya kisheria."

  • UN yalaani mauaji ya raia yaliyofanywa na pande zote mbili katika vita vya Sudan

    UN yalaani mauaji ya raia yaliyofanywa na pande zote mbili katika vita vya Sudan

    Jul 18, 2025 01:58

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, amelaani mauaji ya raia kadhaa yaliyofanywa wiki iliyopita na pande zote mbili husika katika vita vya Sudan, katika mapigano yanayoendelea kwenye eneo la Kordofan.

  • UN: Tuna wasiwasi kutokana na kushtadi mapigano, taharuki Sudan

    UN: Tuna wasiwasi kutokana na kushtadi mapigano, taharuki Sudan

    Jul 16, 2025 09:11

    Wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wamesema wana wasiwasi mkubwa kutokana na kuongezeka kwa mapigano nchini Sudan, hasa mashambulizi ya karibuni katika Jimbo la Kordofan Kaskazini.

  • Wanaharakati Sudan: RSF imeua watu 300 Kordofan Kaskazini

    Wanaharakati Sudan: RSF imeua watu 300 Kordofan Kaskazini

    Jul 15, 2025 00:53

    Wanaharakati wa Sudan wamesema Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) kimeua karibu watu 300 katika wimbi jipya la mashambulizi katika jimbo la Kordofan Kaskazini, magharibi mwa nchi.

  • ICC: Uhalifu wa kivita, jinai dhidi ya binadamu vinaendelea Darfur, Sudan

    ICC: Uhalifu wa kivita, jinai dhidi ya binadamu vinaendelea Darfur, Sudan

    Jul 11, 2025 11:23

    Naibu Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC amesema kuna "sababu za kuamini kwamba uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu" unaendelea kufanywa katika eneo la magharibi mwa Sudan la Darfur,

  • IOM: Mamia ya familia za raia wa Sudan watoroka Kordofan kutoka na vita

    IOM: Mamia ya familia za raia wa Sudan watoroka Kordofan kutoka na vita

    Jul 10, 2025 17:36

    Mapigano kati ya jeshi la Sudan na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) yamelazimisha familia 700 kulikimbia Jimbo la Kordofan Kaskazini, huko kusini mwa Sudan, Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) lilisema hayo jana Alkhamisi.

  • Jumatano, tarehe 9 Julai, 2025

    Jumatano, tarehe 9 Julai, 2025

    Jul 09, 2025 10:37

    Leo ni Jumatano tarehe 13 Mfunguo Nne Muharram 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 9 Julai 2025.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS