Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Mkuu wa UN atiwa wasiwasi na hali kuzidi kuwa tete Sudan Kusini

    Mkuu wa UN atiwa wasiwasi na hali kuzidi kuwa tete Sudan Kusini

    Mar 28, 2025 07:00

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema anasikitishwa sana na kuendelea kushtadi taharuki na hali ya mambo nchini Sudan Kusini.

  • Muungano wa Madaktari wa Sudan Kusini waitaka serikali kushughulikia mlipuko wa kipindupindu

    Muungano wa Madaktari wa Sudan Kusini waitaka serikali kushughulikia mlipuko wa kipindupindu

    Mar 26, 2025 07:48

    Muungano wa Madaktari wa Sudan Kusini (SSDU) umeitaka serikali kushughulikia mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu unaoongezeka nchini humo. Ugonjwa wa kipindupindu tayari umeenea katika majimbo kadhaa ya Sudan Kusini na hivyo kuyaweka hatarini maisha ya maelfu ya watu.

  • UN yaonya tena: Sudan Kusini inakaribia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe

    UN yaonya tena: Sudan Kusini inakaribia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe

    Mar 26, 2025 02:41

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa Sudan Kusini iko kwenye ukingo wa vita vya wenyewe kwa wenyewe huku ghasia kati ya pande zinazohasimiana zikiongezeka.

  • UNHCR: Ghasia Sudan Kusini zimelazimisha watu 10,000 kukimbilia Ethiopia

    UNHCR: Ghasia Sudan Kusini zimelazimisha watu 10,000 kukimbilia Ethiopia

    Mar 14, 2025 02:29

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema ghasia katika kaunti za kaskazini mwa Sudan za Nasir na Ulang zimeongezeka kwa kasi, na kuwalazimu zaidi ya watu 10,000 kukimbilia nchi jirani ya Ethiopia.

  • Rais wa Sudan Kusini awafuta kazi mawaziri 3

    Rais wa Sudan Kusini awafuta kazi mawaziri 3

    Mar 11, 2025 06:59

    Rais Salva Kiir Mayardit wa Sudan Kusini amewafuta kazi mawaziri watatu jana Jumatatu katika mabadiliko yake ya hivi karibuni ndani ya Baraza la Mawaziri.

  • AU yatiwa wasiwasi na uhasama, taharuki nchini Sudan Kusini

    AU yatiwa wasiwasi na uhasama, taharuki nchini Sudan Kusini

    Mar 09, 2025 11:24

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU), Moussa Faki Mahamat ametoa wito wa kusitishwa mara moja uhasama na mvutano wa kisiasa nchini Sudan Kusini.

  • Rais wa Sudan Kusini ataka utulivu baada ya askari 28 kuuawa

    Rais wa Sudan Kusini ataka utulivu baada ya askari 28 kuuawa

    Mar 08, 2025 07:01

    Jenerali wa Jeshi la Sudan Kusini na makumi ya wanajeshi wameuawa baada ya helikopta ya Umoja wa Mataifa iliyokuwa ikijaribu kuwahamisha askari hao kutoka mji wa kaskazini wa Nasir iliposhambuliwa na genge la wanamgambo.

  • Sudan Kusini yawatia mbaroni 'wapambe' wa Riek Machar

    Sudan Kusini yawatia mbaroni 'wapambe' wa Riek Machar

    Mar 06, 2025 02:27

    Vikosi vya Sudan Kusini vimemkamata Waziri wa Mafuta na maafisa kadhaa wakuu wa kijeshi waitifaki wa Makamu wa Kwanza wa Rais, Riek Machar; huku wanajeshi wakiendele kuizingira nyumba yake katika mji mkuu, Juba.

  • Watu 20 wapoteza maisha katika ajali ya ndege Sudan Kusini

    Watu 20 wapoteza maisha katika ajali ya ndege Sudan Kusini

    Jan 29, 2025 12:43

    Kwa akali watu 20 wameaga dunia katika ajali ya ndege iliyotokea leo Jumatano nchini Sudan Kusini.

  • Polisi: Watu 600 wametoroka kizuizini Sudan Kusini

    Polisi: Watu 600 wametoroka kizuizini Sudan Kusini

    Jan 23, 2025 07:38

    Polisi nchini Sudan Kusini imesema watu 600 waliokuwa wakizuiliwa baada ya kukamatwa kwa kushiriki maandamano ya ghasia na uporaji wa biashara wametoroka katika jela ya kijeshi katika mji mkuu Juba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS