-
Serikali ya Sudan Kusini: Hatuko vitani licha ya mapigano makali
Jan 28, 2026 07:47Serikali ya Sudan jana ilitangaza kuwa haiko vitani licha ya mapigano makali yanayoendelea dhidi ya waasi katika siku za karibuni.
-
Mashambulizi ya mabomu ya mapipa yalazimisha watu wengi kuhama makazi yao Sudan Kusini
Jan 25, 2026 11:36Mapigano mapya nchini Sudan Kusini yamewalazimisha watu zaidi ya 180,000 kuyahama makazi yao, huku mashuhuda wakizungumzia utumiaji holela wa mabomu ya mapipa na raia kukimbilia kwenye vinamasi, huku hali tete ya ukosefu wa amani ikitanda nchini humo.
-
Mafuriko yaua 19 Sudan Kusini, malaki waachwa bila makazi
Oct 04, 2025 05:56Mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Sudan Kusini yamesababisha vifo vya watu 19 na kuathiri wengine karibu 640,000 katika kaunti 26 katika majimbo sita ya nchi hiyo, hayo yamesemwa na Umoja wa Mataifa.
-
Makamu wa Rais wa Sudan Kusini apandishwa kizimbani, ashtakiwa kwa makosa kadhaa ukiwemo uhaini
Sep 22, 2025 12:42Mahakama ya Sudan Kusini leo Jumatatu imeanza kusikiliza kesi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar, ambaye amefutwa kazi na hasimu wake wa miongo kadhaa, Rais Salva Kiir, huku akikabiliwa na mashtaka kadhaa yakiwemo ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu yanayohusishwa na uasi na shambulio lililofanywa na wanamgambo wanaojulikana kama Jeshi Jeupe.
-
Sudan Kusini yamshtaki Makamu wa Rais Machar kwa uhaini, mauaji
Sep 12, 2025 06:46Riek Machar, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini amefunguliwa mashitaka ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu.
-
Utekaji nyara wa wafanyakazi wa misaada huko Sudan Kusini ni zaidi ya maradufu
Sep 11, 2025 11:29Idadi ya wafanyakazi wa misaada waliotekwa nyara nchini Sudan Kusini imeongezeka zaidi ya mara mbili mwaka huu. Takwimu hii imetolewa na maafisa wawili waandamizi wa masuala ya kibinadamu wanaofanya kazi katika makundi ya kimataifa.
-
Rais wa Sudan Kusini atuhumiwa kwa upendeleo baada ya kumteuwa binti yake katika cheo cha juu serikalini
Aug 27, 2025 10:40Adut Salva Kiir, binti wa Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ameteuliwa na baba yake kuwa Mjumbe wa Rais Anayehusika na Mipango Maalumu, kazi ambayo awali ilikuwa inafanywa na Makamu wa Rais wa sasa.
-
Jeshi la Sudan lakanusha kushambulia msafara wa misaada wa WFP katika jimbo la Darfur
Aug 22, 2025 10:03Jeshi la Sudan (SAF) limekanusha madai yaliyotolewa wapiganaji wa Vikosi vya Usaidzi wa Haraka (RSF) kuwa limefanya mashambulizi ya angani dhidi ya msafara wa misaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) uliokuwa unapeleka misaada Darfur.
-
Uhamiaji wa kulazimishwa dhidi ya Wapalestina wa Gaza; kwa nini Israel inaitazama Afrika?
Aug 14, 2025 04:33Katika hali ambayo vita vya Gaza vinaendelea na hali mbaya ya kibinadamu katika ukanda huo imefikia kiasi kwamba makumi ya wakazi wa Gaza wanakufa kila siku, si tu kwa kupigwa risasi na askari wa Israel bali pia kutokana na njaa na kiu kali, Israel inafanya mazungumzo na nchi kadhaa za Kiafrika ili kuwahamishia huko kwa nguvu wakazi wa Gaza.
-
Rais wa Sudan Kusini amuuzulu mkuu wa majeshi baada ya kuhudumu kwa miezi 7 tu
Jul 09, 2025 07:54Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amemfuta kazi mkuu wa majeshi baada ya kuhudumu katika wadhifa huo kwa muda wa miezi saba tu na kumtangaza mkuu mpya atakayeshika nafasi hiyo.