Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Wananchi wa Sudan Kusini wanataabika na mafuriko

    Wananchi wa Sudan Kusini wanataabika na mafuriko

    Dec 24, 2024 02:32

    Mafuriko ya msimu yaliyoiathiri Sudan Kusini, ambayo hapo huko nyuma yalikuwa yanatabirika na yalikuwa ni sehemu ya maisha ya watu wa maeneo hayo, sasa yamekuwa janga la kila mwaka, na kuwalazimisha mamia ya maelfu ya watu kuyahama makazi yao.

  • Sudan Kusini na UN zatoa chanjo ya kipindupindu huku maambukizi yakiongezeka nchini

    Sudan Kusini na UN zatoa chanjo ya kipindupindu huku maambukizi yakiongezeka nchini

    Dec 11, 2024 07:29

    Serikali ya Sudan Kusini, kwa ushirikiano na mashirika ya Umoja wa Mataifa imeanza kutekeleza kampeni ya utoaji chanjo ili kukabiliana na mlipuko wa kipindupindu.

  • Watoto 36 wapoteza maisha kwa malaria Sudan Kusini katika muda wa wiki 2

    Watoto 36 wapoteza maisha kwa malaria Sudan Kusini katika muda wa wiki 2

    Nov 06, 2024 02:29

    Afisa wa ngazi ya juu wa serikali ya Sudan Kusini jana Jumanne alithibitisha kupoteza maisha watu 41 kutokana na ugonjwa wa malaria ,36 wakiwa ni watoto katika mji wa Pibor nchini humo.

  • Sudan Kusini: Mahakama ya Kijeshi yawahukumu vifungo jela wanajeshi wanane kwa hatia ya mauaji, ubakaji

    Sudan Kusini: Mahakama ya Kijeshi yawahukumu vifungo jela wanajeshi wanane kwa hatia ya mauaji, ubakaji

    Sep 04, 2024 14:21

    Mahakama ya Kijeshi ya Marid nchini Sudan Kusini imewahukumu wanajeshi wanane kwa mauaji na makosa mengine.

  • UN:80% ya Wasudan Kusini wanahitaji ulinzi, msaada wa kibinadamu

    UN:80% ya Wasudan Kusini wanahitaji ulinzi, msaada wa kibinadamu

    Aug 15, 2024 02:45

    Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayozidi kuzorota nchini Sudan Kusini, huku takriban asilimia 80 ya wananchi wa nchi hiyo wakihitaji kudhaminiwa usalama na ulinzi na vile vile kupewa msaada wa kibinadamu.

  • Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yanakabiliwa na hatari ya kuvunjika

    Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yanakabiliwa na hatari ya kuvunjika

    Jul 10, 2024 12:21

    Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini ambayo kwa kiasi kikubwa yalikuwa yanakaribia kukamilika, yamekumbwa na mkwamo baada ya makundi ya upinzani ya nchi hiyo kutaka kufutwa kwa muswada mpya uliopasishwa unaoruhusu kuwekwa kizuizini watu bila kwanza kutolewa hati ya kukamatwa.

  • Sekta ya mafuta ya Sudan Kusini yaathiriwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan

    Sekta ya mafuta ya Sudan Kusini yaathiriwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan

    Mar 27, 2024 11:55

    Machafuko na ukosefu wa usalama vinaweza kushtadi huko Sudan Kusini baada ya moja ya mabomba yake makuu ya mafuta linaloelekea katika masoko ya kimataifa kupitia nchi jirani ya Sudan kuathirika mwezi uliopita. Haya ni kwa mujibu wa wataalamu wa masuala ya uchumi. Wamesema kuwa kusitishwa uzalishaji wa mafuta huko Sudan Kusini kunaweza kuchochea pakubwa ghasia na ukosefu wa usalama nchini humo.

  • Taharuki yatanda Sudan Kusini baada ya watu 15 kuuawa Pibor

    Taharuki yatanda Sudan Kusini baada ya watu 15 kuuawa Pibor

    Mar 21, 2024 02:54

    Hali ya wasi wasi imetanda nchini Sudan Kusini kufuatia mauaji ya watu 15 yaliyotokea katika eneo la Pibor, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Sudan Kusini: Madola makubwa yanatumia vikwazo kubinya nchi zinazoendelea

    Sudan Kusini: Madola makubwa yanatumia vikwazo kubinya nchi zinazoendelea

    Mar 02, 2024 11:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan Kusini amesema moja ya changamoto kuu zinazozikabili nchi maskini za ulimwengu wa tatu ni vikwazo vya madola makubwa duniani dhidi yazo.

  • Kadhaa wauawa Abyei mpakani mwa Sudan na Sudan Kusini

    Kadhaa wauawa Abyei mpakani mwa Sudan na Sudan Kusini

    Jan 01, 2024 12:20

    Kwa akali watu sita wameuawa katika shambulizi linaloamini ni la ulipizaji kisasi katika eneo linalozozaniwa la Abyei, kwenye mpaka wa Sudan na Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS