-
UN yalaani machafuko ya karibuni Sudan Kusini
Dec 12, 2023 11:51Umoja wa Mataifa umelaani vikali machafuko ya hivi karibuni katika jimbo la Warrap na katika eneo la Abyei ambayo tangu mwezi uliopita hadi sasa yamesababisha kuuawa makumi ya watu.
-
UN yatoa indhari: Idadi ya wanaokimbilia Sudan Kusini kutoka Sudan imeongezeka
Nov 10, 2023 06:56Mashirika ya kibindamu ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini yametahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la watu wanaorejea na wakimbizi wanaokimbia mzozo na kuelekea kaskazini nchini Sudan.
-
Salva Kiir kuwa mwenyeji wa viongozi wa Sudan kujadili amani
Oct 17, 2023 14:12Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amesema karibuni hivi atakuwa mwenyeji wa mkutano utakaowaleta pamoja viongozi wa pande mbili zinazopigana nchini Sudan, yaani Jeshi la Taifa la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF)
-
Watoto milioni 3 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini
Jul 28, 2023 12:05Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wamesema mamilioni ya watoto nchini humo wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na mgogoro wa njaa unaolikabili taifa hilo changa zaidi barani Afrika.
-
Kadhaa wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini
Jun 09, 2023 01:24Watu wasiopungua 13 wameuawa katika mapigano mapya ya kikabila katika nchi ya Sudan Kusini.
-
Baraza la Usalama laongeza muda wa kikosi cha kulinda amani Sudan Kusini
Mar 16, 2023 10:00Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha uamuzi wa kuongezea muda wa Operesheni Maalumu ya Kulinda Amani ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) kwa mwaka mmoja, hadi tarehe 15, Machi mwaka 2024.
-
UNHCR: Dola bilioni 1.3 zinahitajika kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini
Feb 22, 2023 13:22Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, pamoja na mashirika 108 ya utoaji wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dola bilioni 1.3 ili kusaidia wakimbizi kutoka Sudan Kusini na jamii zinazowahifadhi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, Ethiopia, Kenya, Sudan na Uganda.
-
Sudan Kusini yatangaza kutuma wanajeshi 750 mashariki mwa Kongo
Dec 29, 2022 08:10Sudan Kusini imetangaza kutumwa wanajeshi wake 750 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Akizungumza katika hafa ya kuwaaga wanajeshi hao huko Juba, Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewahimiza askari hao kutii sheria na kuwalinda raia.
-
UN: Raia 160 wameuawa katika mapigano Sudan Kusini
Dec 16, 2022 02:26Umoja wa Mataifa umesema raia wasiopungua 166 wameuawa katika mapigano yaliyoshuhudiwa kaskazini mwa Sudan Kusini katika kipindi cha miezi minne iliyopita.
-
Walioaga dunia kwa mafuriko Nigeria wapindukia 500, Sudan Kusini 62
Oct 13, 2022 10:44Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mafuriko huko nchini Nigeria imeongezeka na kufikia watu 500.