Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • UN yalaani machafuko ya karibuni Sudan Kusini

    UN yalaani machafuko ya karibuni Sudan Kusini

    Dec 12, 2023 11:51

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali machafuko ya hivi karibuni katika jimbo la Warrap na katika eneo la Abyei ambayo tangu mwezi uliopita hadi sasa yamesababisha kuuawa makumi ya watu.

  • UN yatoa indhari: Idadi ya wanaokimbilia Sudan Kusini kutoka Sudan imeongezeka

    UN yatoa indhari: Idadi ya wanaokimbilia Sudan Kusini kutoka Sudan imeongezeka

    Nov 10, 2023 06:56

    Mashirika ya kibindamu ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini yametahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la watu wanaorejea na wakimbizi wanaokimbia mzozo na kuelekea kaskazini nchini Sudan.

  • Salva Kiir kuwa mwenyeji wa viongozi wa Sudan kujadili amani

    Salva Kiir kuwa mwenyeji wa viongozi wa Sudan kujadili amani

    Oct 17, 2023 14:12

    Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amesema karibuni hivi atakuwa mwenyeji wa mkutano utakaowaleta pamoja viongozi wa pande mbili zinazopigana nchini Sudan, yaani Jeshi la Taifa la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF)

  • Watoto milioni 3 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini

    Watoto milioni 3 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini

    Jul 28, 2023 12:05

    Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wamesema mamilioni ya watoto nchini humo wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na mgogoro wa njaa unaolikabili taifa hilo changa zaidi barani Afrika.

  • Kadhaa wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Kadhaa wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Jun 09, 2023 01:24

    Watu wasiopungua 13 wameuawa katika mapigano mapya ya kikabila katika nchi ya Sudan Kusini.

  • Baraza la Usalama laongeza muda wa kikosi cha kulinda amani Sudan Kusini

    Baraza la Usalama laongeza muda wa kikosi cha kulinda amani Sudan Kusini

    Mar 16, 2023 10:00

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha uamuzi wa kuongezea muda wa Operesheni Maalumu ya Kulinda Amani ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) kwa mwaka mmoja, hadi tarehe 15, Machi mwaka 2024.

  • UNHCR: Dola bilioni 1.3 zinahitajika kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini

    UNHCR: Dola bilioni 1.3 zinahitajika kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini

    Feb 22, 2023 13:22

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, pamoja na mashirika 108 ya utoaji wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dola bilioni 1.3 ili kusaidia wakimbizi kutoka Sudan Kusini na jamii zinazowahifadhi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, Ethiopia, Kenya, Sudan na Uganda.

  • Sudan Kusini yatangaza kutuma  wanajeshi 750 mashariki mwa Kongo

    Sudan Kusini yatangaza kutuma wanajeshi 750 mashariki mwa Kongo

    Dec 29, 2022 08:10

    Sudan Kusini imetangaza kutumwa wanajeshi wake 750 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Akizungumza katika hafa ya kuwaaga wanajeshi hao huko Juba, Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewahimiza askari hao kutii sheria na kuwalinda raia.

  • UN: Raia 160 wameuawa katika mapigano Sudan Kusini

    UN: Raia 160 wameuawa katika mapigano Sudan Kusini

    Dec 16, 2022 02:26

    Umoja wa Mataifa umesema raia wasiopungua 166 wameuawa katika mapigano yaliyoshuhudiwa kaskazini mwa Sudan Kusini katika kipindi cha miezi minne iliyopita.

  • Walioaga dunia kwa mafuriko Nigeria wapindukia 500, Sudan Kusini 62

    Walioaga dunia kwa mafuriko Nigeria wapindukia 500, Sudan Kusini 62

    Oct 13, 2022 10:44

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mafuriko huko nchini Nigeria imeongezeka na kufikia watu 500.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS