Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Rais Kiir na Machar warefusha kipindi cha mpito Sudan Kusini kwa miaka 2

    Rais Kiir na Machar warefusha kipindi cha mpito Sudan Kusini kwa miaka 2

    Aug 05, 2022 11:27

    Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na makamu wake ambaye wamekuwa wakivutana na kuhitalifiana kwa muda mrefu sasa Riek Machar wametangaza kuwa wataendelea kuiongoza Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa miaka miwili zaidi, mara tu kipindi cha mpito kitakapomalizika.

  • Askari 12 wa Sudan Kusini wauawa katika jimbo lenye utajiri wa mafuta

    Askari 12 wa Sudan Kusini wauawa katika jimbo lenye utajiri wa mafuta

    Jul 23, 2022 11:23

    Wanajeshi wasiopungua 12 wa Sudan Kusini wameuawa huku wengine 13 wakijeruhiwa katika shambulio la waasi kaskazini mwa nchi.

  • Jumamosi, Julai 9, 2022

    Jumamosi, Julai 9, 2022

    Jul 09, 2022 02:20

    Leo ni Jumamosi tarehe 9 Dhul-Hijja mwaka 1443 Hijria, inayosadifiana na tarehe 9 Julai mwaka 2022 Miladia.

  • Ndoa za utotoni Sudan Kusini zaendelea kuwa changamoto kwa jamii ya nchi hiyo

    Ndoa za utotoni Sudan Kusini zaendelea kuwa changamoto kwa jamii ya nchi hiyo

    Jun 23, 2022 07:57

    Ripoti zinasema kuwa, baadhi ya mabinti wadogo nchini Sudan Kusini wangali wanapigwa mnada kuingia katika ndoa mkabala wa waoaji kutoa mahari ya mifugo ya ng'ombe kwa familia za mabinti wanaoolewa.

  • Watu zaidi ya milioni 7.7 wanakabiliwa na mgogoro wa chakula Sudan Kusini

    Watu zaidi ya milioni 7.7 wanakabiliwa na mgogoro wa chakula Sudan Kusini

    Apr 10, 2022 11:06

    Mapigano ya silaha, mafuriko na ukame huko Sudan Kusini vimesababisha mgogoro wa chakula kwa watu zaidi ya milioni 7.7 ambao ni sawa na asilimia 63 ya jamii ya watu wote wa nchi hiyo.

  • UN: Raia 440 wameuawa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    UN: Raia 440 wameuawa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    Mar 02, 2022 13:50

    Umoja wa Mataifa umesema, raia wasiopungua 440 wameuawa katika mapigano makali kati ya pande hasimu kusini-magharibi ya Sudan Kusini ndani ya kipindi cha miezi michache katika mwaka uliopita.

  • Watu 32 wauawa katika mapigano ya makabila hasimu Sudan Kusini

    Watu 32 wauawa katika mapigano ya makabila hasimu Sudan Kusini

    Jan 26, 2022 07:30

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kwa akali watu 32 wameuawa katika mapigano baina ya makabila hasimu katika nchi ya Sudan Kusini.

  • Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Jan 25, 2022 07:59

    Watu wasiopungua 30 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini.

  • Mafuriko yaikumba Sudan Kusini

    Mafuriko yaikumba Sudan Kusini

    Dec 13, 2021 12:40

    Mvua kubwa zilizonyesha huko Sudan Kusini zimesababisha mafuriko nchini humo.

  • UN: Makubaliano ya amani ya Sudan Kusini yako hatarini

    UN: Makubaliano ya amani ya Sudan Kusini yako hatarini

    Dec 09, 2021 04:32

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, makubaliano ya amani yaliyofikiwa mwaka 2018 nchini Sudan Kusini yapo katika hatari kubwa kutokana na mwendo wa kinyonga wa kuyatekeleza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS