-
Rais Museveni wa Uganda aombwa kupatanisha mizozo ya Sudan Kusini
Sep 03, 2021 11:43Shirika la Maendeleo na Tawala za Kieneo (IGAD) limemuomba Rais wa Uganda Yoweri Museveni atumie hekima na uzoefu wake katika masuala ya uongozi ili kusaidia kutatua tatizo la ukosefu wa usalama nchini Sudan Kusini.
-
UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini
Sep 01, 2021 08:00Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imesema watu zaidi ya 380,000 wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan Kusini.
-
Makamu wa Rais wa Sudan Kusini atoswa na chama chake
Aug 05, 2021 12:34Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini ameenguliwa kuwa kiongozi wa chama chake na vile vile mkuu wa vikosi vya jeshi alivyokuwa akiviongoza.
-
Sudan Kusini inakumbwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka 2021
Jun 03, 2021 03:55Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema upungufu mkubwa wa nafaka unatarajiwa nchini Sudan Kusini mwaka huu wa 2021, kutokana na athari za mgogoro wa muda mrefu na mafuriko.
-
Wapinzani wenye silaha waondoka katika maeneo yao Sudan Kusini
Mar 10, 2021 07:10Wapinzani wenye silaha huko Sudan Kusini wameondoka katika maeneo waliyokuwa wakiyadhibiti ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya amani ya nchi hiyo.
-
Sudan Kusini kuwapa chanjo ya Polio watoto milioni 2.8
Feb 26, 2021 07:54Wizara ya Afya ya Sudan Kusini kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani WHO na Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF inaendesha kampeni ya kuwapa chanjo ya ugonjwa wa kupooza (Polio) watoto milioni 2.8 nchini humo.
-
Machar atoa wito wa maelewano Sudan Kusini
Dec 17, 2020 11:57Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Bw. Riek Machar ametoa wito wa kuanza mchakato wa upatanishi nchini humo, ili kuwaunganisha watu na kuleta maelewano ili kutekeleza mapatano ya amani ya 2018.
-
UN: Zaidi ya watu 1,000 wameuawa nchini Sudan Kusini
Nov 18, 2020 02:30Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya elfu moja wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
-
Mahasimu Sudan Kusini waahidi kutekeleza makubaliano ya amani
Oct 14, 2020 07:55Serikali ya Sudan Kusini na makundi ya upinzani zimeahidi kwa mara nyingine kufuata Makubaliano ya Kusitisha Uhasama (COHA) katika mazungumzo ya amani yaliyomalizika hivi karibuni huko Rome.
-
Sudan Kusini kufungua tena shule baada ya kupungua kesi za Covid-19
Sep 30, 2020 04:40Huku nchi kadhaa za Afrika zikiendelea kulegeza sheria kali za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona kutokana na kupungua kwa kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19, serikali ya Sudan Kusini imetangaza kuwa shule nchini humo zitaanza kufunguliwa kuanzia mwezi ujao wa Oktoba.