Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • UN: Makubaliano ya amani ya Sudan Kusini yako hatarini

    UN: Makubaliano ya amani ya Sudan Kusini yako hatarini

    Dec 09, 2021 01:02

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, makubaliano ya amani yaliyofikiwa mwaka 2018 nchini Sudan Kusini yapo katika hatari kubwa kutokana na mwendo wa kinyonga wa kuyatekeleza.

  • Rais Museveni wa Uganda aombwa kupatanisha mizozo ya Sudan Kusini

    Rais Museveni wa Uganda aombwa kupatanisha mizozo ya Sudan Kusini

    Sep 03, 2021 07:13

    Shirika la Maendeleo na Tawala za Kieneo (IGAD) limemuomba Rais wa Uganda Yoweri Museveni atumie hekima na uzoefu wake katika masuala ya uongozi ili kusaidia kutatua tatizo la ukosefu wa usalama nchini Sudan Kusini.

  • UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini

    UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini

    Sep 01, 2021 03:30

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imesema watu zaidi ya 380,000 wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan Kusini.

  • Makamu wa Rais wa Sudan Kusini atoswa na chama chake

    Makamu wa Rais wa Sudan Kusini atoswa na chama chake

    Aug 05, 2021 08:04

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini ameenguliwa kuwa kiongozi wa chama chake na vile vile mkuu wa vikosi vya jeshi alivyokuwa akiviongoza.

  • Sudan Kusini inakumbwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka 2021

    Sudan Kusini inakumbwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka 2021

    Jun 02, 2021 23:25

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema upungufu mkubwa wa nafaka unatarajiwa nchini Sudan Kusini mwaka huu wa 2021, kutokana na athari za mgogoro wa muda mrefu na mafuriko.

  • Wapinzani wenye silaha waondoka katika maeneo yao Sudan Kusini

    Wapinzani wenye silaha waondoka katika maeneo yao Sudan Kusini

    Mar 10, 2021 03:40

    Wapinzani wenye silaha huko Sudan Kusini wameondoka katika maeneo waliyokuwa wakiyadhibiti ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya amani ya nchi hiyo.

  • Sudan Kusini kuwapa chanjo ya Polio watoto milioni 2.8

    Sudan Kusini kuwapa chanjo ya Polio watoto milioni 2.8

    Feb 26, 2021 04:24

    Wizara ya Afya ya Sudan Kusini kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani WHO na Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF inaendesha kampeni ya kuwapa chanjo ya ugonjwa wa kupooza (Polio) watoto milioni 2.8 nchini humo.

  • Machar atoa wito wa maelewano Sudan Kusini

    Machar atoa wito wa maelewano Sudan Kusini

    Dec 17, 2020 08:27

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Bw. Riek Machar ametoa wito wa kuanza mchakato wa upatanishi nchini humo, ili kuwaunganisha watu na kuleta maelewano ili kutekeleza mapatano ya amani ya 2018.

  • UN: Zaidi ya watu 1,000 wameuawa nchini Sudan Kusini

    UN: Zaidi ya watu 1,000 wameuawa nchini Sudan Kusini

    Nov 17, 2020 23:00

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya elfu moja wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miezi sita iliyopita.

  • Mahasimu Sudan Kusini waahidi kutekeleza makubaliano ya amani

    Mahasimu Sudan Kusini waahidi kutekeleza makubaliano ya amani

    Oct 14, 2020 04:25

    Serikali ya Sudan Kusini na makundi ya upinzani zimeahidi kwa mara nyingine kufuata Makubaliano ya Kusitisha Uhasama (COHA) katika mazungumzo ya amani yaliyomalizika hivi karibuni huko Rome.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS