Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • WFP: Wahanga wa mafuriko Sudan Kusini wanahitaji misaada

    WFP: Wahanga wa mafuriko Sudan Kusini wanahitaji misaada

    Sep 29, 2020 12:14

    Mvua kubwa za msimu ambazo zimesababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali huko Sudan Kusini zimewaathiri watu zaidi ya laki saba nchini humo.

  • Mafuriko yasababisha watu laki sita kukosa makazi Sudan Kusini

    Mafuriko yasababisha watu laki sita kukosa makazi Sudan Kusini

    Sep 26, 2020 02:46

    Mafuriko makubwa huko Sudan Kusini yamesababisha watu zaidi ya laki sita kuhama makazi yao tangu mwezi Julai mwaka huu. Umoja wa Mataifa jana Ijumaa ulitoa tahadhari baada ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kwa miezi kadhaa sasa kusababisha kingo za Mto Nile kupasuka.

  • Sudan Kusini yaomba mkopo wa dola milioni 150 wa kukabiliana na athari mbaya za corona

    Sudan Kusini yaomba mkopo wa dola milioni 150 wa kukabiliana na athari mbaya za corona

    Aug 25, 2020 11:43

    Serikali ya Sudan Kusini imesema kuwa, imeiomba Banki ya Afrika ya Uingizaji na Usafirishaji Nje Bidhaa (Afreximbank) iipe mkopo nchi hiyo wa kuweza kukabiliana na athari mbaya za COVID-19.

  • Waliofariki dunia katika ajali ya ndege Sudan Kusini wafika 17

    Waliofariki dunia katika ajali ya ndege Sudan Kusini wafika 17

    Aug 23, 2020 07:45

    Watu wasiopungua 17 wamepoteza maisha baada ya ndege ya mizigo kuanguka, muda mfupi baada ya kupaa angani ikitokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Juba nchini Sudan Kusini.

  • Idadi ya watu waliouawa kwenye ghasia nchini Sudan Kusini yaongezeka

    Idadi ya watu waliouawa kwenye ghasia nchini Sudan Kusini yaongezeka

    Aug 15, 2020 03:00

    Idadi ya vifo vya watu waliouawa katika machafuko ya jimbo la Warrap huko Sudan Kusini imeongezeka na kufikia 148 kufuatia mapigano yaliyojiri majuzi katika zoezi la kukusanya silaha zinazomilikiwa na wananchi.

  • Mkosoaji wa Rais wa Sudan akimbilia Marekani baada ya Rais Kiir kuamuru auawe

    Mkosoaji wa Rais wa Sudan akimbilia Marekani baada ya Rais Kiir kuamuru auawe

    Jul 24, 2020 13:48

    Mchumi mashuhuri na mkubwa wa Sudan Kusini amekimbilia nchini Marekani bakidai kuwa, Rais Salva Kiir alikuwa ametoa amri ya kuuliwa kwake au kutekwa nyara akiwa Nairobi nchini Kenya.

  • Askari wa Uganda na Sudan Kusini wafyatuliana risasi, 4 wauawa

    Askari wa Uganda na Sudan Kusini wafyatuliana risasi, 4 wauawa

    Jun 03, 2020 03:54

    Kwa akali wanajeshi wanne wa Sudan Kusini wameuawa katika makabiliano ya risasi na wenzao wa Uganda mpakani mwa nchi mbili hizo jirani.

  • Watu 287 wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Watu 287 wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    May 21, 2020 07:50

    Mamia ya watu wameuawa katika mapigano ya kikabila katika jimbo la Jonglei, mashariki mwa Sudan Kusini.

  • Makamu wa Rais na Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini wapatwa na corona

    Makamu wa Rais na Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini wapatwa na corona

    May 19, 2020 07:41

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar na mkewe Angelina Teny ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo wamekumbwa na ugonjwa wa Covid-19, huku kesi za maambukizi ya virusi vya corona barani Afrika zikiendelea kuongezeka.

  • WHO yatangaza mlipuko wa homa ya njano Sudan Kusini

    WHO yatangaza mlipuko wa homa ya njano Sudan Kusini

    Apr 14, 2020 13:10

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya mlipuko wa homa ya njano katika maeneo ya kusini mwa Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS