-
UN: Makubaliano ya amani ya Sudan Kusini yako hatarini
Dec 09, 2021 01:02Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, makubaliano ya amani yaliyofikiwa mwaka 2018 nchini Sudan Kusini yapo katika hatari kubwa kutokana na mwendo wa kinyonga wa kuyatekeleza.
-
Rais Museveni wa Uganda aombwa kupatanisha mizozo ya Sudan Kusini
Sep 03, 2021 07:13Shirika la Maendeleo na Tawala za Kieneo (IGAD) limemuomba Rais wa Uganda Yoweri Museveni atumie hekima na uzoefu wake katika masuala ya uongozi ili kusaidia kutatua tatizo la ukosefu wa usalama nchini Sudan Kusini.
-
UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini
Sep 01, 2021 03:30Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imesema watu zaidi ya 380,000 wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan Kusini.
-
Makamu wa Rais wa Sudan Kusini atoswa na chama chake
Aug 05, 2021 08:04Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini ameenguliwa kuwa kiongozi wa chama chake na vile vile mkuu wa vikosi vya jeshi alivyokuwa akiviongoza.
-
Sudan Kusini inakumbwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka 2021
Jun 02, 2021 23:25Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema upungufu mkubwa wa nafaka unatarajiwa nchini Sudan Kusini mwaka huu wa 2021, kutokana na athari za mgogoro wa muda mrefu na mafuriko.
-
Wapinzani wenye silaha waondoka katika maeneo yao Sudan Kusini
Mar 10, 2021 03:40Wapinzani wenye silaha huko Sudan Kusini wameondoka katika maeneo waliyokuwa wakiyadhibiti ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya amani ya nchi hiyo.
-
Sudan Kusini kuwapa chanjo ya Polio watoto milioni 2.8
Feb 26, 2021 04:24Wizara ya Afya ya Sudan Kusini kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani WHO na Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF inaendesha kampeni ya kuwapa chanjo ya ugonjwa wa kupooza (Polio) watoto milioni 2.8 nchini humo.
-
Machar atoa wito wa maelewano Sudan Kusini
Dec 17, 2020 08:27Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Bw. Riek Machar ametoa wito wa kuanza mchakato wa upatanishi nchini humo, ili kuwaunganisha watu na kuleta maelewano ili kutekeleza mapatano ya amani ya 2018.
-
UN: Zaidi ya watu 1,000 wameuawa nchini Sudan Kusini
Nov 17, 2020 23:00Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya elfu moja wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
-
Mahasimu Sudan Kusini waahidi kutekeleza makubaliano ya amani
Oct 14, 2020 04:25Serikali ya Sudan Kusini na makundi ya upinzani zimeahidi kwa mara nyingine kufuata Makubaliano ya Kusitisha Uhasama (COHA) katika mazungumzo ya amani yaliyomalizika hivi karibuni huko Rome.