-
Amri ya Rais Putin ya kuondoka vikosi vya jeshi la Russia nchini Syria
Mar 15, 2016 12:16Rais Vladimir Putin wa Russia jana alitoa amri ya kuanza kuondoka vikosi vya jeshi la nchi hiyo vilivyoko nchini Syria.
-
Zarif: Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria, ishara nzuri
Mar 15, 2016 11:27Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametaja hatua ya Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria kuwa ni ishara nzuri.
-
Assad na Putin wakubaliana kupunguzwa vituo vya anga vya Russia nchini Syria
Mar 15, 2016 03:37Ofisi ya Rais wa Syria imetangaza kuwa marais wa Russia na Syria wamekubaliana kupunguzwa idadi ya vituo vya anga vya vya jeshi la Russia nchini humo.
-
Magaidi wakamatwa na silaha za Israel nchini Syria
Mar 11, 2016 23:03Vyombo vya usalama vya nchini Syria vimetangaza kuwa vimekamata magaidi kadhaa waliokuwa na silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo.
-
Mwangwi wa ushindi wa jeshi la Syria dhidi ya makundi ya kigaidi
Mar 09, 2016 13:10Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa njama za baadhi ya nchi za Magharibi na za Kiarabu za kuigawa Syria zimegonga mwamba.
-
Mpwa wa Kennedy: Sababu ya Marekani ya kutaka kumpindua Rais wa Syria ni bomba la gesi la Qatar
Mar 03, 2016 23:19Mpwa wa Rais wa zamani wa Marekani, John F. Kennedy ambaye ni mwanasheria amesema kuwa, sababu iliyoifanya Marekani ishiriki katika kampeni za kumpindua Rais halali wa Syria aliyechaguliwa kidemokrasia, ni mradi wa gesi wa Qatar.
-
Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria
Mar 02, 2016 03:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametaka kuchukuliwe hatua za kuzuia magendo ya silaha kutoka Uturuki kwenda Syria ambako zinatumiwa na makundi ya kigaidi.
-
Magaidi 450 wa Daesh waangamizwa Aleppo, Syria
Mar 01, 2016 23:19Mamia kadhaa ya magaidi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameangamizwa katika operesheni ya mashambulio iliyofanywa na jeshi la Syria katika kiunga cha mji wa Aleppo.
-
Saudia, Uturuki ni waungaji mkono wakuu wa ISIS
Feb 26, 2016 23:32Mshauri wa Rais wa Syria amesema kuwa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh linaweza kuangamizwa haraka iwapo baadhi ya nchi za eneo hasa Uturuki na Saudi Arabia zitaacha kuliunga mkono kifedha na kisiasa kundi hilo la wakufurishaji.
-
Russia: Wasyria wenyewe watainisha hatima ya nchi yao
Feb 25, 2016 23:36Spika wa Bunge la Duma la Russia amesema kuwa hakuna nchi yenye haki ya kuainisha hatima ya Syria badala ya Wasyria wenyewe.