Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Ndege za kivita za Israel zatumia ndege ya abiria kama ngao Syria

    Ndege za kivita za Israel zatumia ndege ya abiria kama ngao Syria

    Feb 07, 2020 23:28

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema ndege za kijeshi za utawala haramu wa Israel zimetumia ndege ya abiria kama ngao ya kujikinga katika uvamizi wake mpya dhidi ya Syria.

  • Mapigano yashtadi kati ya majeshi ya Uturuki na Syria, askari kadhaa wa pande mbili wauawa

    Mapigano yashtadi kati ya majeshi ya Uturuki na Syria, askari kadhaa wa pande mbili wauawa

    Feb 04, 2020 04:10

    Askari kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano kati ya majeshi ya Syria na Uturuki yaliyotokea kwenye eneo la kaskazini ya ardhi ya Syria.

  • Russia yatiwa wasi wasi na mashambulizi ya magaidi katika mkoa wa Idlib, Syria

    Russia yatiwa wasi wasi na mashambulizi ya magaidi katika mkoa wa Idlib, Syria

    Feb 04, 2020 01:15

    Serikali ya Russia imetoa radiamali yake kufuatia baadhi ya ripoti zinazohusu kushambuliwa askari wa Uturuki katika operesheni zinazofanywa na askari wa Syria.

  • Tisho la Erdoğan kuishambulia kijeshi Syria

    Tisho la Erdoğan kuishambulia kijeshi Syria

    Feb 02, 2020 22:59

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kuishambulia kijeshi Syria.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuhusu kushadidi mapigano kaskazini mwa Syria

    Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuhusu kushadidi mapigano kaskazini mwa Syria

    Feb 02, 2020 12:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu kuongezeka mapigano na mivutano ya kijeshi katika maeneo ya kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Kukombolewa Khan Tuman; ushindi muhimu nchini Syria

    Kukombolewa Khan Tuman; ushindi muhimu nchini Syria

    Jan 31, 2020 08:29

    Vikosi vya jeshi la Syria vimelikomboa eneo la Khan Tuman katika operesheni za kuyatimua makundi ya kigaidi katika maeneo ya nchi hiyo yaliyokuwa yamevamiwa na kukaliwa kwa mabavu na makundi hayo.

  • Syria: Ugaidi wa kiuchumi ni mwendelezo wa ugaidi wa kifizikia

    Syria: Ugaidi wa kiuchumi ni mwendelezo wa ugaidi wa kifizikia

    Jan 30, 2020 09:59

    Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa ugaidi wa kiuchumi ni mwendelezo wa hatua zilizo dhidi ya ubinaadamu za kuyatumia makundi ya kigaidi.

  • Ukosoaji wa Umoja wa Mataifa kuhusu uwepo usio wa kijesheria wa majeshi ya kigeni nchini Syria

    Ukosoaji wa Umoja wa Mataifa kuhusu uwepo usio wa kijesheria wa majeshi ya kigeni nchini Syria

    Jan 27, 2020 00:51

    Marekani imekuwepo kijeshi na kinyume cha sheria nchini Syria tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la Daesh (ISIS), ambapo licha ya madai ya Rais Donand Trump ya kuwaondoa askari wa nchi yake kutoka taifa hilo la Kiarabu, lakini hadi leo askari hao wameendelea kuwepo sambamba na kupora mafuta ya Syria.

  • Askari 40 wa Syria wauawa na kundi la kigaidi la Jabhat al-Nusra Idlib

    Askari 40 wa Syria wauawa na kundi la kigaidi la Jabhat al-Nusra Idlib

    Jan 23, 2020 23:22

    Makumi ya wanajeshi wa Syria wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi la Jabhat al-Nusra katika mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa nchi.

  • Tahadhari ya UN kuhusu ukiukwaji wa haki za watoto vitani nchini Syria

    Tahadhari ya UN kuhusu ukiukwaji wa haki za watoto vitani nchini Syria

    Jan 19, 2020 23:24

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, katika muda wa miaka tisa ya vita huko Syria watoto wa kike na wa kiume wa nchi hiyo wamenyimwa haki zao za msingi na haki zao zimekiukwa pakubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS