Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Malengo ya Marekani ya kuongeza harakati za kijeshi kwenye mpaka wa Iraq na Syria

    Malengo ya Marekani ya kuongeza harakati za kijeshi kwenye mpaka wa Iraq na Syria

    Jan 04, 2025 12:37

    Vyanzo vya Iraq vimeripoti kuhusu kuweko harakati kubwa za kijeshi za Wamarekani kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria na muendelezo wa uhamishaji wa vifaa na zana za kijeshi kwenye vituo vyao huko Iraq.

  • Ahadi ya Al-Joulani ya kushirikisha Wasyria wote katika uendeshaji nchi imethibiti kuwa ni uongo

    Ahadi ya Al-Joulani ya kushirikisha Wasyria wote katika uendeshaji nchi imethibiti kuwa ni uongo

    Dec 29, 2024 11:02

    Kwa kuanza kwa wimbi la timuatimua ya maafisa wa jamii ya Maalawi katika wizara za serikali ya Syria, imethibiti kuwa ahadi alizokuwa ametoa Abu Muhammad Al-Jolani za kutotengwa tabaka lolote la jamii ya Wasyria katika uendeshaji nchi ni za uongo.

  • Baada ya Israel kuichoma moto hospitali kuu ya kaskazini ya Ghaza, yamkamata mkurugenzi na wafanyakazi wake

    Baada ya Israel kuichoma moto hospitali kuu ya kaskazini ya Ghaza, yamkamata mkurugenzi na wafanyakazi wake

    Dec 28, 2024 14:12

    Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa askari wa jeshi la utawala w Kizayuni wa Israel wamemkamata Hussam Abu Safiya, Mkurugenzi wa Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Ghaza, na wafanyakazi wengine mapema leo, siku moja baada ya askari wa jeshi hilo kuichoma moto hospitali hiyo, ambayo ndicho kituo kikuu pekee cha afya katika eneo hilo.

  • Araqchi: Kuvuka kipindi cha sasa kunahitaji kujiepusha na mifarakano

    Araqchi: Kuvuka kipindi cha sasa kunahitaji kujiepusha na mifarakano

    Dec 28, 2024 07:29

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amewaambia maafisa wakuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwamba: Kuvuka kipindi hiki chenye taharuki nyingi katika eneo la Magharibi mwa Asia kunahitaji busara, ushirikishwaji, ushirikiano na kuepusha mizozo na kujitakia maslahi ya muda mfupi.

  • Rais Putin wa Russia: Ninaamini Mungu. Na Mungu yu pamoja nasi

    Rais Putin wa Russia: Ninaamini Mungu. Na Mungu yu pamoja nasi

    Dec 27, 2024 06:30

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, Mungu yuko pamoja na nchi yake akionyesha kujiamini kwamba Moscow itashinda katika mzozo wake na Ukraine.

  • Araghchi: Syria itashuhudia mabadiko makubwa

    Araghchi: Syria itashuhudia mabadiko makubwa

    Dec 25, 2024 12:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ni mapema mno kutabiri mustakabali wa Syria hasa kwa wale wanaodhani kuwa wameshinda.

  • Telegraph : Marekani imeyasaidia makundi ya wanamgambo kuipindua serikali ya Bashar al Assad

    Telegraph : Marekani imeyasaidia makundi ya wanamgambo kuipindua serikali ya Bashar al Assad

    Dec 22, 2024 03:39

    Gazeti la Telegraph linalochapishwa nchini Uingereza limesema katika ripoti yake kuwa Marekani iliwaunga mkono waasi wa Syria ili kuipindua serikali ya Bashar al Assad.

  • Katibu Mkuu UN: Natiwa wasiwasi na kushtadi mivutano huko Syria

    Katibu Mkuu UN: Natiwa wasiwasi na kushtadi mivutano huko Syria

    Dec 19, 2024 11:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka hali ya mvutano kati ya makundi yenye silaha nchini Syria na wapiganaji wa Kikurdi.

  • Putin: Viongozi wa Magharibi wanadhani wao wanateuliwa na Mungu, japokuwa hawamuamini Mungu

    Putin: Viongozi wa Magharibi wanadhani wao wanateuliwa na Mungu, japokuwa hawamuamini Mungu

    Dec 17, 2024 06:04

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi za Magharibi zinaendelea kufanya mambo kana kwamba ni wawakilishi wa Mungu duniani kwa kujaribu kudumisha ukiritimba wao wa kimataifa kwa kuweka kanuni za kidanganyifu.

  • Ubalozi wa Iran nchini Syria kufunguliwa hivi karibuni

    Ubalozi wa Iran nchini Syria kufunguliwa hivi karibuni

    Dec 16, 2024 07:28

    Hossein Akbari Balozi wa Iran nchini Syria ameeleza kuwa ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu mjini Damascus ambao ulifungwa kufuatia matukio ya karibuni katika nchi hiyo ya Kiarabu utaanza shughuli zake hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS