-
Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa
Jul 06, 2018 22:50Jeshi la Syria limewatimua magaidi na kukomboa kikamilifu vijiji kadhaa katika mkoa wa kusini magharibi wa Daraa karibu na mpaka wa Jordan kwa lengo la kufungua kituo cha kistratijia cha Nasib.
-
Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria
Jul 05, 2018 05:22Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.
-
Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria
Jul 05, 2018 02:46Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.
-
Syria: Magaidi wanashirikiana na Wazayuni kubomoa nyumba za Wapalestina wanaoishi Syria
Jul 03, 2018 03:13Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Faisal Miqdad amesema kuwa wanachama wa makundi ya kigaidi na ukufurishaji kwa uungaji mkono wa utawala haramu wa Kizayuni, wanabomoa nyumba za Wapalestina walioko Syria.
-
Uungaji mkono wa Russia kuhusu kuendelea nafasi chanya ya Iran nchini Syria
Jul 02, 2018 02:56Mikhail Bogdanov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Mjumbe wa Rais Vladmir Putin wa Russia katika masuala ya Mashariki ya Kati, ameitaja nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria kuwa chanya.
-
Bashar al Ja'far: Nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahahu kupambana na ugaidi
Jun 28, 2018 03:19Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa ametetea oparesheni zinazofanywa na jeshi la nchi yake dhidi ya magaidi kusini mwa nchi na kueleza kuwa nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahau kupambana dhidi ya ugaidi.
-
Jeshi la Syria latungua makombora mawili ya Israel yaliyolenga uwanja wa ndege wa Damascus
Jun 26, 2018 03:02Televisheni ya Syria imetangaza leo kuwa ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimefanya hujuma ya kuushambuliwa kwa makombora Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Damascus.
-
Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria
Jun 25, 2018 23:51Ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani zimewasafarisha makamanda wawili wa kundi la kigaidi la Daesh kutoka eneo a Tuimin hadi katika kituo cha Marekani kilichoko katika mji wa al Shaddadah mkoani Hasakah nchini Syria.
-
Libya yafurahishwa na uamuzi wa kuanzishwa tena safari za ndege baina yake na Syria
Jun 24, 2018 10:41Waziri wa Uchumi na Viwanda wa Libya amepongeza uamuzi uliotangazwa na Waziri wa Usafiri na Uchukuzi wa Syria kuhusu kuanzishwa tena safari za ndege baina ya nchi hizo mbili.
-
Jeshi la Iraq laangamiza magaidi 45 wa Daesh Syria
Jun 24, 2018 02:37Shambulizi la anga lililotekelezwa na jeshi la Iraq limeangamiza wananchama 45 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.