-
Assad: Kufanya mazungumzo na Marekani ni kupoteza wakati
Jun 23, 2018 09:27Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema ni kupoteza wakati kufanya mazungumzo na utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mgogoro katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Syria: Riyadh ingali inawazuia raia wetu kwenda kufanya Hija
Jun 23, 2018 02:55Serikali ya Syria imeukosoa vikali utawala wa Aal-Saud kwa kuingiza siasa katika amali tukufu ya Hija, ambapo Riyadh imewazuia raia wa Syria kwenda kutekeleza ibada hiyo kwa mwaka wa saba mfululizo.
-
Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq
Jun 22, 2018 09:37Sambamba na operesheni ya kuyasafisha maeneo mapana ya jangwa la Syria, hasa eneo la al-Badiya kutoka mikononi mwa mabaki ya wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), jeshi la Syria limezingira ngome ya askari vamizi wa Marekani katika eneo la al-Tanf lililopo katika mpaka wa nchi hiyo na Iraq.
-
Russia yatahadharisha kuhusu njama mpya ya silaha za kemikali Syria
Jun 21, 2018 02:04Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulizi mapya ya silaha za kemikali nchini Syria kwa shabaha ya kuituhumu serikali ya Damascus na baadaye kuishambulia nchi hiyo.
-
Russia yatuma manowari zake mbili zilizobeba makombora ya cruise kwenye pwani ya Syria
Jun 19, 2018 03:06Jeshi la Russia limetangaza kuwa manowari mbili za jeshi hilo zilizobeba makombora aina ya cruise zimetumwa kuelekea bahari ya Mediterania na pwani ya Syria.
-
Tamko la kinagaubaga la Assad; uhusiano wa Iran na Syria haurubuniki
Jun 15, 2018 22:28Rais wa Syria amesema kuhusu pendekezo la Saudi Arabia la kuirubuni nchi hiyo ivunje uhusiano wake na Iran na kuwa tayari kuipatia hongo serikali ya Damascus kwamba: "Si Syria wala si Iran ambayo inatangaza mnada kuhusu uhusiano huu katika soko la kisiasa la kimataifa hata pahitajike mahali pa kufanyia muamala huo."
-
Assad: Vikosi vya Israel na Uturuki vilivyoko Syria ni vamizi
Jun 14, 2018 03:26Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel, Uturuki, Marekani na Ufaransa vilivyoko nchi humo ni vikosi vamizi.
-
Mashambulizi mapya ya anga ya US yaua raia 12 nchini Syria
Jun 12, 2018 23:27Mashambulizi mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kijeshi za Marekani yameua raia wasiopungua 12 na kujeruhi wengine wengi katika mkoa wa Hasakah, kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Rais Assad: Wanajeshi wa Marekani na Uingereza ni wavamizi nchini Syria
Jun 10, 2018 03:22Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kuwa, madola ya Magharibi hayawezi kuiainishia nchi hiyo mustakbali wake na kusisitiza kuwa, wanajeshi wa Uingereza na Marekani walioko nchini humo ni wavamizi.
-
Spika wa Lebanon: Kama Hizbullah isingekwenda Syria, Daesh ingefika hadi ndani ya ardhi yetu
Jun 07, 2018 11:02Spika wa Bunge la Lebanon amesema, laiti kama Hizbullah isingekuweko Syria, magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) wangekuwa wameshafika ndani ya ardhi ya Lebanon.