Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Assad: Kufanya mazungumzo na Marekani ni kupoteza wakati

    Assad: Kufanya mazungumzo na Marekani ni kupoteza wakati

    Jun 23, 2018 09:27

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema ni kupoteza wakati kufanya mazungumzo na utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mgogoro katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Syria: Riyadh ingali inawazuia raia wetu kwenda kufanya Hija

    Syria: Riyadh ingali inawazuia raia wetu kwenda kufanya Hija

    Jun 23, 2018 02:55

    Serikali ya Syria imeukosoa vikali utawala wa Aal-Saud kwa kuingiza siasa katika amali tukufu ya Hija, ambapo Riyadh imewazuia raia wa Syria kwenda kutekeleza ibada hiyo kwa mwaka wa saba mfululizo.

  • Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq

    Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq

    Jun 22, 2018 09:37

    Sambamba na operesheni ya kuyasafisha maeneo mapana ya jangwa la Syria, hasa eneo la al-Badiya kutoka mikononi mwa mabaki ya wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), jeshi la Syria limezingira ngome ya askari vamizi wa Marekani katika eneo la al-Tanf lililopo katika mpaka wa nchi hiyo na Iraq.

  • Russia yatahadharisha kuhusu njama mpya ya silaha za kemikali Syria

    Russia yatahadharisha kuhusu njama mpya ya silaha za kemikali Syria

    Jun 21, 2018 02:04

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulizi mapya ya silaha za kemikali nchini Syria kwa shabaha ya kuituhumu serikali ya Damascus na baadaye kuishambulia nchi hiyo.

  • Russia yatuma manowari zake mbili zilizobeba makombora ya cruise kwenye pwani ya Syria

    Russia yatuma manowari zake mbili zilizobeba makombora ya cruise kwenye pwani ya Syria

    Jun 19, 2018 03:06

    Jeshi la Russia limetangaza kuwa manowari mbili za jeshi hilo zilizobeba makombora aina ya cruise zimetumwa kuelekea bahari ya Mediterania na pwani ya Syria.

  • Tamko la kinagaubaga la Assad; uhusiano wa Iran na Syria haurubuniki

    Tamko la kinagaubaga la Assad; uhusiano wa Iran na Syria haurubuniki

    Jun 15, 2018 22:28

    Rais wa Syria amesema kuhusu pendekezo la Saudi Arabia la kuirubuni nchi hiyo ivunje uhusiano wake na Iran na kuwa tayari kuipatia hongo serikali ya Damascus kwamba: "Si Syria wala si Iran ambayo inatangaza mnada kuhusu uhusiano huu katika soko la kisiasa la kimataifa hata pahitajike mahali pa kufanyia muamala huo."

  • Assad: Vikosi vya Israel na Uturuki vilivyoko Syria ni vamizi

    Assad: Vikosi vya Israel na Uturuki vilivyoko Syria ni vamizi

    Jun 14, 2018 03:26

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel, Uturuki, Marekani na Ufaransa vilivyoko nchi humo ni vikosi vamizi.

  • Mashambulizi mapya ya anga ya US yaua raia 12 nchini Syria

    Mashambulizi mapya ya anga ya US yaua raia 12 nchini Syria

    Jun 12, 2018 23:27

    Mashambulizi mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kijeshi za Marekani yameua raia wasiopungua 12 na kujeruhi wengine wengi katika mkoa wa Hasakah, kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Rais Assad: Wanajeshi wa Marekani na Uingereza ni wavamizi nchini Syria

    Rais Assad: Wanajeshi wa Marekani na Uingereza ni wavamizi nchini Syria

    Jun 10, 2018 03:22

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kuwa, madola ya Magharibi hayawezi kuiainishia nchi hiyo mustakbali wake na kusisitiza kuwa, wanajeshi wa Uingereza na Marekani walioko nchini humo ni wavamizi.

  • Spika wa Lebanon: Kama Hizbullah isingekwenda Syria, Daesh ingefika hadi ndani ya ardhi yetu

    Spika wa Lebanon: Kama Hizbullah isingekwenda Syria, Daesh ingefika hadi ndani ya ardhi yetu

    Jun 07, 2018 11:02

    Spika wa Bunge la Lebanon amesema, laiti kama Hizbullah isingekuweko Syria, magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) wangekuwa wameshafika ndani ya ardhi ya Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS