Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Silaha za magaidi zilizoundwa katika nchi wanachama wa Nato zanaswa Syria

    Silaha za magaidi zilizoundwa katika nchi wanachama wa Nato zanaswa Syria

    May 21, 2018 09:52

    Vyombo vya habari vya Russia vimeripoti kuwa shehena ya silaha za magaidi zimenaswa katika mkoa wa Homs nchini Syria; silaha ambazo imebainika kuwa ziliundwa katika nchi wanachama wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato).

  • Syria: Tunairuhusu Iran kuweza kuendesha shughuli zake katika hatua ya ukarabati wa nchi

    Syria: Tunairuhusu Iran kuweza kuendesha shughuli zake katika hatua ya ukarabati wa nchi

    May 18, 2018 03:33

    Waziri Mkuu wa Syria amekutana mjini Damascus na Abbas Ahmad Akhoundi, Waziri wa Barabara, Makazi na Ujenzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, nchi yake imejiandaa Iran kila aina ya suhula na kuondoa vizuizi kwa ajili ya kuiwezesha Tehran kushiriki katika awamu ya ukarabati wa nchi hiyo

  • Jeshi la Syria lafanikiwa kudhibiti barabara zote za mawasiliano za nchi hiyo

    Jeshi la Syria lafanikiwa kudhibiti barabara zote za mawasiliano za nchi hiyo

    May 18, 2018 03:26

    Sambamba na kuondoka magaidi eneo la kaskazini mwa mkoa wa Homs na kusini mwa mkoa wa Hama na kadhalika kufunguliwa barabara ya mkoa wa Homs kuelekea Damascus, mji mkuu wa Syria, jeshi la serikali limefanikiwa kudhibiti barabara zote zinazoiunganisha nchi hiyo.

  • Majibu makali ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani

    Majibu makali ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani

    May 12, 2018 02:38

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa tamko kali la kujibu vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake na kusema kuwa, vikwazo hivyo vya serikali ya Donald Trump dhidi ya Moscow vinatokana na hamaki za Washington za kushindwa mashambulizi yake ya tarehe 14 Aprili nchini Syria.

  • Mtaalamu wa masuala ya kijeshi: Jeshi la Syria limeuchorea mstari mwekundu utawala wa Kizayuni

    Mtaalamu wa masuala ya kijeshi: Jeshi la Syria limeuchorea mstari mwekundu utawala wa Kizayuni

    May 11, 2018 03:31

    Mtaalamu wa masuala ya kistratijia na kijeshi Profesa Oun al-Himsi, amesema kuwa hatua ya jeshi la Syria kuvishambulia kwa makombora vituo vya kijeshi vya utawala haramu wa Israel katika miinuko ya Golan sambamba na kuvunja ngao ya kiulinzi ya utawala huo, imebadili kikamilifu mlingano wa nguvu na kwamba jeshi la Syria limechora mstari mwekundu kuhusu chokochoko za Israel dhidi yake.

  • Rais Assad: Kazi pekee ya Marekani Syria ni kuwasaidia magaidi wa ISIS

    Rais Assad: Kazi pekee ya Marekani Syria ni kuwasaidia magaidi wa ISIS

    May 10, 2018 23:18

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kazi pekee ya Marekani nchini Syria ni kuwasaidia magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh.

  • Jeshi la Syria latoa jibu kali kwa chokochoko za Israel, Wazayuni wapatwa na kiwewe

    Jeshi la Syria latoa jibu kali kwa chokochoko za Israel, Wazayuni wapatwa na kiwewe

    May 10, 2018 02:49

    Jeshi la Syria limetoa jibu kali kwa chokochoko za utawala haramu wa Israel kwa kushambulia kwa makombora maeneo ya utawala huo yaliyo katika miinuko ya Golan nchini Syria.

  • Israel yatangaza hali ya hatari, nao muqawama wa Palestina wasema wataingia vitani kuisaidia Syria

    Israel yatangaza hali ya hatari, nao muqawama wa Palestina wasema wataingia vitani kuisaidia Syria

    May 10, 2018 02:37

    Jeshi la Israel limetangaza hali ya hatari katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu kufuatia jibu kali la mashambulizi ya jeshi la Syria lililoyalenga maeneo muhimu yakiwemo maeneo ya kijeshi ya utawala huo.

  • Tofauti na mapigano katika safu ya magaidi nchini Syria

    Tofauti na mapigano katika safu ya magaidi nchini Syria

    May 06, 2018 06:06

    Sambamba na kusonga mbele jeshi la Syria kwa kushirikiana na muqawama, watetezi wa haki za binaadamu nchini humo wameelezea kuanza mapigano kati ya makundi mawili ya wabeba silaha na yanayoungwa mkono na Marekani kaskazini mwa mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Msalaba Mwekundu: Takribani nusu ya hospitali za Yemen zimebomolewa

    Msalaba Mwekundu: Takribani nusu ya hospitali za Yemen zimebomolewa

    May 05, 2018 22:04

    Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kuwa, katika kipindi cha miaka miwili iliyopita zaidi ya mashambulio 1,200 yametekelezwa dhidi ya hospitali, vifaa vya tiba na timu za watoaji huduma za matibabu katika maeneo mbalimbali duniani hususan nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS