-
Silaha za magaidi zilizoundwa katika nchi wanachama wa Nato zanaswa Syria
May 21, 2018 09:52Vyombo vya habari vya Russia vimeripoti kuwa shehena ya silaha za magaidi zimenaswa katika mkoa wa Homs nchini Syria; silaha ambazo imebainika kuwa ziliundwa katika nchi wanachama wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato).
-
Syria: Tunairuhusu Iran kuweza kuendesha shughuli zake katika hatua ya ukarabati wa nchi
May 18, 2018 03:33Waziri Mkuu wa Syria amekutana mjini Damascus na Abbas Ahmad Akhoundi, Waziri wa Barabara, Makazi na Ujenzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, nchi yake imejiandaa Iran kila aina ya suhula na kuondoa vizuizi kwa ajili ya kuiwezesha Tehran kushiriki katika awamu ya ukarabati wa nchi hiyo
-
Jeshi la Syria lafanikiwa kudhibiti barabara zote za mawasiliano za nchi hiyo
May 18, 2018 03:26Sambamba na kuondoka magaidi eneo la kaskazini mwa mkoa wa Homs na kusini mwa mkoa wa Hama na kadhalika kufunguliwa barabara ya mkoa wa Homs kuelekea Damascus, mji mkuu wa Syria, jeshi la serikali limefanikiwa kudhibiti barabara zote zinazoiunganisha nchi hiyo.
-
Majibu makali ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani
May 12, 2018 02:38Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa tamko kali la kujibu vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake na kusema kuwa, vikwazo hivyo vya serikali ya Donald Trump dhidi ya Moscow vinatokana na hamaki za Washington za kushindwa mashambulizi yake ya tarehe 14 Aprili nchini Syria.
-
Mtaalamu wa masuala ya kijeshi: Jeshi la Syria limeuchorea mstari mwekundu utawala wa Kizayuni
May 11, 2018 03:31Mtaalamu wa masuala ya kistratijia na kijeshi Profesa Oun al-Himsi, amesema kuwa hatua ya jeshi la Syria kuvishambulia kwa makombora vituo vya kijeshi vya utawala haramu wa Israel katika miinuko ya Golan sambamba na kuvunja ngao ya kiulinzi ya utawala huo, imebadili kikamilifu mlingano wa nguvu na kwamba jeshi la Syria limechora mstari mwekundu kuhusu chokochoko za Israel dhidi yake.
-
Rais Assad: Kazi pekee ya Marekani Syria ni kuwasaidia magaidi wa ISIS
May 10, 2018 23:18Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kazi pekee ya Marekani nchini Syria ni kuwasaidia magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh.
-
Jeshi la Syria latoa jibu kali kwa chokochoko za Israel, Wazayuni wapatwa na kiwewe
May 10, 2018 02:49Jeshi la Syria limetoa jibu kali kwa chokochoko za utawala haramu wa Israel kwa kushambulia kwa makombora maeneo ya utawala huo yaliyo katika miinuko ya Golan nchini Syria.
-
Israel yatangaza hali ya hatari, nao muqawama wa Palestina wasema wataingia vitani kuisaidia Syria
May 10, 2018 02:37Jeshi la Israel limetangaza hali ya hatari katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu kufuatia jibu kali la mashambulizi ya jeshi la Syria lililoyalenga maeneo muhimu yakiwemo maeneo ya kijeshi ya utawala huo.
-
Tofauti na mapigano katika safu ya magaidi nchini Syria
May 06, 2018 06:06Sambamba na kusonga mbele jeshi la Syria kwa kushirikiana na muqawama, watetezi wa haki za binaadamu nchini humo wameelezea kuanza mapigano kati ya makundi mawili ya wabeba silaha na yanayoungwa mkono na Marekani kaskazini mwa mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Msalaba Mwekundu: Takribani nusu ya hospitali za Yemen zimebomolewa
May 05, 2018 22:04Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kuwa, katika kipindi cha miaka miwili iliyopita zaidi ya mashambulio 1,200 yametekelezwa dhidi ya hospitali, vifaa vya tiba na timu za watoaji huduma za matibabu katika maeneo mbalimbali duniani hususan nchini Yemen.