Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Jeshi la Syria lanasa silaha za Israel ilizowapa magaidi wakufurishaji

    Jeshi la Syria lanasa silaha za Israel ilizowapa magaidi wakufurishaji

    May 04, 2018 09:16

    Jeshi la Syria limepata idadi kubwa ya silaha, zikiwemo za kemikali, ambazo utawala haramu wa Israeli, ulikuwa umewapa magaidi wakufurishaji nchini humo.

  • Misri: Inawezekana kutuma nchini Syria vikosi vya Kiarabu

    Misri: Inawezekana kutuma nchini Syria vikosi vya Kiarabu

    May 04, 2018 09:04

    Misri imesema kuwa mazungumzo yanaendelea kufanyika baina ya maafisa wa nchi kadhaa kujadili pendekezo la Marekani la kuunda jeshi la Kiarabu litakalochukua nafasi ya wanajeshi wa Marekani waliopo Syria.

  • Muungano wa Marekani wafanya maauaji mengine ya umati nchini Syria

    Muungano wa Marekani wafanya maauaji mengine ya umati nchini Syria

    May 03, 2018 23:40

    Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani ambao unadai kupambana na magaidi wa Daeshi (ISIS) nchini Syria umefanya mauaji mengine ya umati dhidi ya raia wa mashariki mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Boroujerdi: Kama vikwazo dhidi ya Iran vitarejeshwa hakutakuwa na haja ya kuendelea na JCPOA

    Boroujerdi: Kama vikwazo dhidi ya Iran vitarejeshwa hakutakuwa na haja ya kuendelea na JCPOA

    May 02, 2018 21:17

    Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kama vikwazo vitarejeshwa, hakutakuwa na kitu chochote cha kuweza kuwakinaisha wananchi, Serikali na Bunge la Iran na kuwafanya wakubali kuendelea kuwemo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Makumi ya magaidi nchini Syria wajisalimisha

    Makumi ya magaidi nchini Syria wajisalimisha

    Apr 29, 2018 22:10

    Makumi ya magaidi nchini Syria wameripotiwa kujisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ikiwa ni kuzidi kupata pigo magaidi hao na waungaji mkono wao.

  • Zarif:  Mchakato wa Astana ndio njia pekee ya kupatikana amani endelevu Syria

    Zarif: Mchakato wa Astana ndio njia pekee ya kupatikana amani endelevu Syria

    Apr 28, 2018 23:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema Mchakato wa Amani wa Astana hivi sasa ni harakati pekee ambayo kwa ushirikiano na Umoja wa Mataifa na wengine inaweza kupelekea kupatikana amani adilifu na endelevu nchini Syria.

  • Russia yakosoa picha na video bandia zinazodai kujiri shambulizi la kemikali Syria

    Russia yakosoa picha na video bandia zinazodai kujiri shambulizi la kemikali Syria

    Apr 27, 2018 23:27

    Mwakilishi wa Russia katika Shirika la Kuzuia silaha za Kemikali, amekosoa kitendo cha kuenezwa picha na video zisizo na ukweli wowote zinazoonyesha kwamba kulijiri shambulizi la silaha za kemikali mjini Douma, Ghouta Mashariki nchini Syria.

  • Syria yagundua silaha za kemikali za magaidi, zimetengenezwa Ujerumani na UK

    Syria yagundua silaha za kemikali za magaidi, zimetengenezwa Ujerumani na UK

    Apr 26, 2018 23:58

    Jeshi la serikali ya Syria limegundua ghala la sihala za kemikali zilizotongenezwa Ujerumani na Uingereza zilizoachwa nyuma na magaidi katika mji wa Douma.

  • Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuwepo umoja huko Syria

    Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuwepo umoja huko Syria

    Apr 25, 2018 23:20

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuwepo umoja na uthabiti nchini Syria ni jambo lenye udharura.

  • Zarif: Uingiliaji wa maajinabi umechelewesha kupatikana suluhu na amani nchini Syria

    Zarif: Uingiliaji wa maajinabi umechelewesha kupatikana suluhu na amani nchini Syria

    Apr 25, 2018 22:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema, uingiliaji wa maajinabi umechelewesha kupatikana suluhu na amani nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS