Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran alaani hujuma hujuma dhidi ya Syria

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran alaani hujuma hujuma dhidi ya Syria

    Apr 15, 2018 09:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amempigia simu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutoa maelezo kuhusu kushiriki nchi yake katika hujuma ya makombora dhidi ya Syria.

  • Larijani: Mashambulio dhidi ya Syria ni unyama na ni kinyume na sheria za kimataifa

    Larijani: Mashambulio dhidi ya Syria ni unyama na ni kinyume na sheria za kimataifa

    Apr 15, 2018 03:00

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashambulio ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria ni unyama na ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa.

  • Wanasiasa wa Ufaransa walaani kushiriki Macron katika mashambulizi dhidi ya Syia

    Wanasiasa wa Ufaransa walaani kushiriki Macron katika mashambulizi dhidi ya Syia

    Apr 14, 2018 23:29

    Hatua ya Ufaransa ya kushiriki katika mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Syria imekabiliwa na wimbi la malalamiko kutoka kwa wanasiasa wa nchi hiyo.

  • Msimamo mkali wa Russia dhidi ya mashambulizi ya nchi za Magharibi huko Syria

    Msimamo mkali wa Russia dhidi ya mashambulizi ya nchi za Magharibi huko Syria

    Apr 14, 2018 23:27

    Hatimaye nchi za Magharibi zimetekeleza vitisho vyao vya kuishambulia Syria. Alfajiri ya Jumamosi ya jana Marekani, Ufaransa na Uingereza zilishambulia kwa makombora maeneo kadhaa ya Syria.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi dhidi ya Syria ni jinai, Marekani itashindwa

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi dhidi ya Syria ni jinai, Marekani itashindwa

    Apr 14, 2018 12:57

    Mapema leo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja mashambulizi yaliofanywa alfajiri ya leo na nchi za Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria kuwa ni jinai na uhalifu na kusema kuwa: Marais wa Marekani na Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza ni wahalifu waliotenda jinai.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria

    Apr 14, 2018 09:27

    Mapema leo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja mashambulizi yaliofanywa alfajiri ya leo na nchi za Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria kuwa ni jinai na uhalifu na kusema kuwa: Marais wa Marekani na Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza ni wahalifu waliotenda jinai.

  • Nasrullah: Israel imejichimbia kaburi kwa kuishambulia kijeshi Syria

    Nasrullah: Israel imejichimbia kaburi kwa kuishambulia kijeshi Syria

    Apr 14, 2018 03:09

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya makosa makubwa zaidi kwa kuwashambulia wanajeshi wa Iran ulipolenga kituo cha anga cha Syria hivi karibuni.

  • Iran, Russia zatoa onyo kali baada ya US, UK na Ufaransa kuvurumisha makombora Syria

    Iran, Russia zatoa onyo kali baada ya US, UK na Ufaransa kuvurumisha makombora Syria

    Apr 14, 2018 02:45

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zimelaani vikali mashambulizi ya makombora ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria huku zikitoa onyo kali juu ya matokeo mabaya ya hujuma hiyo ya kijeshi dhidi ya nchi huru.

  • Watafiti wa Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali wawasili Syria ili kubaini madai ya Marekani

    Watafiti wa Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali wawasili Syria ili kubaini madai ya Marekani

    Apr 13, 2018 02:46

    Watafiti kutoka Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali, wameingia nchini Syria kwa ajili ya kuanzisha uchunguzi kuhusiana na madai yanayotolewa na Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi juu ya kutumiwa silaha hizo katika mji wa Duma, huko Ghouta Mashariki.

  • White House: Hadi sasa Trump hajachukua maamuzi yoyote kuhusu Syria

    White House: Hadi sasa Trump hajachukua maamuzi yoyote kuhusu Syria

    Apr 12, 2018 23:40

    Msemaji wa Ikulu ya Marekani (White House) Sarah Huckabee Sanders amesema kuwa, hadi sasa rais wa nchi hiyio Donald Trump hajachukua maamuzi ya mwisho kuhusu Syria, licha ya kufanya kikao na timu ya usalama wa taifa katika ikulu ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS