-
Ukosoaji wa Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan kuhusu kutowekwa wazi makubaliano ya Marekani na Taleban
Mar 08, 2020 10:33Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afghanistan amesema kuwa makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marekani na kundi la Taleban hayajulikani vyema.
-
Hatimaye serikali ya Afghanistan na kundi la Taleban zakubaliana kuanza mazungumzo ya amani
Feb 29, 2020 17:15Duru za habari nchini Afghanistan zimearifu kwamba serikali ya Kabul na kundi la Taleban zimekubaliana kuanza mazungumzo ya amani baina yao.
-
Kuvunjika mazungumzo kati ya kundi la Taliban na Marekani
Jan 20, 2020 03:18Msemaji wa ikulu ya Afghanistan ametangaza habari ya kutofikiwa mapatano katika mazungumzo kati ya kundi la Taliban na Marekani nchini Qatar.
-
Mazungumzo eti ya amani kati ya Marekani na Taleban huko Qatar yavunjika
Jan 18, 2020 02:55Waziri wa Serikali Katika Masuala ya Afghanistan, amesema kuwa mazungumzo eti ya 'amani' kati ya Marekani na kundi la Taleban yanayofanyika nchini Qatar, yamevunjika.
-
Taliban yataka kutekelezwa vipengee vya makubaliano ya Qatar
Oct 19, 2019 05:40Msemaji wa Idara ya Siasa ya kundi la Talibal la Afghanistan amesema kuwa Marekani inakwamisha utekelezwaji wa makubaliano ya Qatar.
-
Indhari kuhusu kujiunga viongozi wa Taliban na kundi la Daesh huko Afghanistan
Oct 06, 2019 08:01Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Afghanistan ametahadharisha kuhusu kujiunga viongozi wa kundi la Taliban na kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.
-
Ijumaa, Septemba 27, 2019
Sep 27, 2019 02:37Leo ni Ijumaa tarehe 27 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria sawa na Septemba 27 mwaka 2019 Milaadia.
-
Trump afutilia mbali kikao cha siri na Taliban
Sep 09, 2019 06:03Katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa rais wa Marekani, Rais Donald Trump wa nchi hiyo aliahidi kuwaondoa askari wote wa Marekani wanaohudumu Afghanistan.
-
Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan
Aug 31, 2019 06:38Miaka 18 iliyopita Marekani iliishambulia na kuivamia kijeshi Afghanistan na kisha ikaikalia kwa mabavu nchi hiyo kwa kisingizio cha kulipiza kisasi cha mashambulio ya Septemba 11, mwaka 2001 na pia kupambana na ugaidi nchini humo. Wakati rais wa sasa wa Marekani Donald Trump alipokuwa kwenye kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2016 na baada ya kuingia Ikulu ya White House aliahidi kwamba atawaondoa askari wa nchi hiyo walioko Syria na Afghanistan, hata hivyo hadi sasa amehalifu ahadi yake hiyo.
-
Sisitizo la Rais wa Afghanistan la kufanyika mazungumzo ya ana kwa ana na kundi la Taliban tena bila masharti
Jul 13, 2019 07:49Rais Muhammad Ashraf Ghani wa afghanistan amesisitiza juu ya ulazima wa kuweko mazungumzo ya ana kwa ana baina ya serikali ya Kabul na kundi la wanamgambo wa Taliba na tena bila masharti.