Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Kwa nini jamii ya kimataifa haitaki kuitambua rasmi serikali ya Taliban?

    Kwa nini jamii ya kimataifa haitaki kuitambua rasmi serikali ya Taliban?

    Jul 24, 2022 02:24

    Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Afghanistan anasema: Hivi sasa, jamii ya kimataifa inaafikiana katika suala la kutoitambua rasmi serikali ya Taliban.

  • Taliban yaitaka Marekani iachie fedha za Afghanistan baada ya tetemeko la ardhi lililoua 950

    Taliban yaitaka Marekani iachie fedha za Afghanistan baada ya tetemeko la ardhi lililoua 950

    Jun 24, 2022 01:17

    Kufuatia tetemeko la ardhi lililoua mamia ya watu nchini Afghanistan, serikali ya Taliban nchini humo imeitaka Marekani iachie mabilioni ya dola za Waafghani inazozuilia.

  • Taliban kuanzisha skuli za Jihadi na kuwafanya mashekhe wa Afghanistan wahadhiri katika vyuo vikuu

    Taliban kuanzisha skuli za Jihadi na kuwafanya mashekhe wa Afghanistan wahadhiri katika vyuo vikuu

    Jun 21, 2022 13:36

    Kiongozi Mkuu wa Taliban Mulla Haibatullah Akhunzadah ametoa agizo la kuanzishwa skuli za jihadi na kuwafanya mashekhe wa kila eneo wahadhiri wa mitaala itakayopitishwa kwa ajili ya vyuo vikuu vya eneo hilo.

  • Taliban: Skuli za wasichana zimefunguliwa katika mikoa 10 ya Afghanistan

    Taliban: Skuli za wasichana zimefunguliwa katika mikoa 10 ya Afghanistan

    May 29, 2022 12:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya muda ya Taliban Afghanistan amesema, skuli za wasichana katika ngazi zote zimefunguliwa katika mikoa kumi ya nchi hiyo.

  • Watangazaji wanawake Afghanistan wafunika nyuso baada ya kukaidi agizo la Taliban kwa siku moja

    Watangazaji wanawake Afghanistan wafunika nyuso baada ya kukaidi agizo la Taliban kwa siku moja

    May 23, 2022 03:44

    Watangazaji wanawake wa televisheni nchini Afghanistan wameridhia kutangaza wakiwa wamefunika nyuso zao kulingana na agizo lililotolewa na serikali ya Taliban, baada ya kukaidi kufanya hivyo kwa muda wa siku moja.

  • Taliban: Watangazaji wanawake wanapotangaza katika televisheni wafunike nyuso zao

    Taliban: Watangazaji wanawake wanapotangaza katika televisheni wafunike nyuso zao

    May 20, 2022 07:43

    Serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan imetoa amri kwa watangazaji wanawake wanaofanya kazi katika chaneli za televisheni za nchi hiyo wafunike sura zao wakati wanapotangaza.

  • Kiongozi wa Taliban atoa agizo jipya kuhusu Hijabu kwa wanawake wa Afghanistan

    Kiongozi wa Taliban atoa agizo jipya kuhusu Hijabu kwa wanawake wa Afghanistan

    May 08, 2022 12:16

    Kiongozi Mkuu wa Taliban nchini Afghanistan Haibatullah Akhunzada ametoa agizo lenye vipengee vinne la sheria mpya kuhusu mipaka ya vazi la Hijabu kwa wanawake wa nchi hiyo.

  • Misimamo ya Taliban mkabala wa mlipuko wa kigaidi huko Kabul

    Misimamo ya Taliban mkabala wa mlipuko wa kigaidi huko Kabul

    May 01, 2022 14:31

    Msemaji wa serikali ya Taliban amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti mmoja katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul siku ya Ijumaa iliyopita. Kundi la Taliban limelitaja shambulizi hilo ambalo liliua na kujeruhi makumi ya waumini, kuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu.

  • Iran: Tuko tayari kuisaidia Afghanistan kulima mazao ya chakula badala ya mihadarati

    Iran: Tuko tayari kuisaidia Afghanistan kulima mazao ya chakula badala ya mihadarati

    Apr 06, 2022 02:51

    Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Afghanistan umesema kuwa, Tehran iko tayari kuisaidia Afghanistan kulima mazao ya chakula badala ya mmea wa mpopi unaozalisha mihadarati na madawa haramu ya kulevya.

  • Taliban yapiga marufuku uzalishaji wa mihadarati nchini Afghanistan

    Taliban yapiga marufuku uzalishaji wa mihadarati nchini Afghanistan

    Apr 04, 2022 02:34

    Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imepasisha sheria ya kupiga marufuku kilimo cha mipopi na uzalishaji wa aina nyingine zote za dawa za kulevya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS