Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • UN yaiomba Tanzania iwape hifadhi raia wa Msumbiji wa Cabo Delgado wanaokimbia mapigano

    UN yaiomba Tanzania iwape hifadhi raia wa Msumbiji wa Cabo Delgado wanaokimbia mapigano

    May 19, 2021 06:28

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UBHCR limesema lina wasiwasi mkubwa na taarifa zinazoendelea za watu wanaokimbia jimboni Cabo Delgado nchini Msumbiji kurudishwa kwa nguvu baada ya kuvuka mpaka kuelekea nchi jirani ya Tanzania.

  • BAKWATA na Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania zaungana kimsimamo kuhusu Mashekhe wanaosota magerezani

    BAKWATA na Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania zaungana kimsimamo kuhusu Mashekhe wanaosota magerezani

    May 15, 2021 14:13

    Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Ponda Issa Ponda, ameungana na Baraza Kuu la Waislamu nchini humo BAKWATA kutaka kesi zinazowakabili mashekhe ziendeshwe haraka.

  • Tanzania yaonya kuhusu Corona ya India, spishi hiyo yaripotiwa Kenya na Uganda

    Tanzania yaonya kuhusu Corona ya India, spishi hiyo yaripotiwa Kenya na Uganda

    May 07, 2021 07:59

    Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimetadharisha juu ya kuibuka na kuenea kwa spishi mpya ya ugonjwa wa Covid-19 ya India katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Tanzania, Kenya zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi

    Tanzania, Kenya zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi

    May 04, 2021 15:00

    Kenya na Tanzania zimefikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi aina ya LPG kutoka Dar es Salaam kwenda Mombasa.

  • Mei Mosi: Janga la Corona limeathiri sekta ya ajira Afrika Mashariki

    Mei Mosi: Janga la Corona limeathiri sekta ya ajira Afrika Mashariki

    May 01, 2021 13:25

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema licha ya matamanio yake ya kuongeza mishahara, Serikali haiwezi kufanya hivyo kwa sasa kutokana na changamoto kadhaa ikiwemo mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.

  • Samia Suluhu achaguliwa kuwa mwenyekiti wa kwanza mwanamke wa chama tawala Tanzania, CCM

    Samia Suluhu achaguliwa kuwa mwenyekiti wa kwanza mwanamke wa chama tawala Tanzania, CCM

    Apr 30, 2021 15:16

    Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kupata kura zote 1,862, sawa na asilimia 100 ya kura zilizopigwa katika Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM unaoendelea kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

  • Guterres: Magufuli atakumbukwa kwa kurejesha maadili ya utumishi wa umma, kupambana na rushwa

    Guterres: Magufuli atakumbukwa kwa kurejesha maadili ya utumishi wa umma, kupambana na rushwa

    Apr 17, 2021 07:57

    Baadhi ya viongozi walioshiriki katika kikao cha 75 cha mkutano wa 59 wa Umoja wa Mataifa (UN) uliofanyika jana Ijumaa mjini New York wamebainisha alama za uongozi za rais wa awamu ya tano wa Tanzania, John Magufuli wakishauri kuendelezwa mema aliyoyatenda na kuahidi kushirikiana na Rais wa sasa wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan.

  • Ali Hassan Mwinyi: Rais Samia ameanza vizuri, kila mtu ana furaha

    Ali Hassan Mwinyi: Rais Samia ameanza vizuri, kila mtu ana furaha

    Apr 12, 2021 12:11

    Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili nchini Tanzania, Dkt. Ali Hassan Mwinyi leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambaye amempongeza kwa kuanza vizuri majukumu yake ya kuongoza nchi.

  • Rais wa Tanzania kuunda kamati ya Corona, ataka vyombo vya habari vifunguliwe

    Rais wa Tanzania kuunda kamati ya Corona, ataka vyombo vya habari vifunguliwe

    Apr 06, 2021 13:49

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ataunda kamati ya wataalamu watakaochambua kwa kina ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona na kuishauri Serikali hatua za kuchukua.

  • Wakazi wa Kanda ya Ziwa Tanzania wamuaga Magufuli, Majaliwa asema ameacha alama kote nchini

    Wakazi wa Kanda ya Ziwa Tanzania wamuaga Magufuli, Majaliwa asema ameacha alama kote nchini

    Mar 24, 2021 14:24

    Wananchi wa Mwanza na mikoa jirani ya Kanda ya Ziwa nchini Tanzania wamejitokeza kwa wingi kwenye barabara na mitaa ya Mwanza kumuaga aliyekua Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS