Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Rais wa Tanzania amfuta kazi afisa wa serikali aliyeichana Qurani

    Rais wa Tanzania amfuta kazi afisa wa serikali aliyeichana Qurani

    Feb 11, 2020 12:54

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo, kuhakikisha anamuandikia barua ya kumfukuza kazi mfanyakazi wa wizara hiyo aliyechana na kuitemea mate Qurani Takatifu mkoani Morogoro.

  • Membe: Nimefurahi sana kuhojiwa na Kamati ya CCM, sehemu ya niliyoulizwa itakuwa ikitoka kidogokidogo

    Membe: Nimefurahi sana kuhojiwa na Kamati ya CCM, sehemu ya niliyoulizwa itakuwa ikitoka kidogokidogo

    Feb 06, 2020 16:12

    Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje nchini Tanzania, Bernard Membe amesema kuwa safari yake ya kwenda Dodoma ilikuwa  ya manufaa makubwa sana kwake, kwa chama cha Mapinduzi CCM na kwa Taifa na kwamba masuala mengine aliyohojiwa na kamati ya chama hicho yataendelea kutoka kidogokidogo hapo baadaye.

  • Wanajeshi 10 wa Tanzania wapoteza maisha wakati wakifanya mazoezi

    Wanajeshi 10 wa Tanzania wapoteza maisha wakati wakifanya mazoezi

    Feb 03, 2020 14:09

    Jeshi la Ulinzi la Tanzania limetangaza kuwa askari 10 wa jeshi hilo wamepoteza maisha wakati wakifanya mazoezi.

  • Radiamali za nchi zilizowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Radiamali za nchi zilizowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Feb 02, 2020 07:34

    Serikali ya Eritrea imekosoa vikali hatua ya Washington ya kuwawekea vizingiti raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika wanaotaka kwenda Marekani ikisisitiza kuwa, vikwazo hivyo vya usafiri havikubaliki.

  • Makumi wapoteza maisha wakigombania 'mafuta ya upako' Tanzania + Sauti

    Makumi wapoteza maisha wakigombania 'mafuta ya upako' Tanzania + Sauti

    Feb 02, 2020 03:43

    Kwa akali watu 20 wameaga dunia katika mkanyagano wa harakati za kutaka kukanyaga 'mafuta ya upako' kwenye kongamano la 'Mtume' Boniface Mwaiposa lililofanyika uwanja wa Majengo mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, kaskazini mashariki mwa Tanzania jioni ya jana Jumamosi.

  • Baada ya Lugola kupigwa kalamu nyekundu, Rais Magufuli amemteua Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania

    Baada ya Lugola kupigwa kalamu nyekundu, Rais Magufuli amemteua Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania

    Jan 23, 2020 16:00

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Kangi Lugola mbunge wa Mwibara (CCM). Hayo yameelezwa jioni ya leo na katibu mkuu kiongozi, Balozi John Kijazi.

  • Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Jan 22, 2020 12:07

    Marekani ina mpango wa kuziongeza nchi nyingine saba zikiwemo Tanzania na Nigeria kwenye orodha ya nchi ambazo raia wake wanatarajiwa kuwekewa vikwazo na vizingiti vya kuingia nchini humo.

  • Magufuli awaambia polisi: Wakamateni wale wote wanaovihusisha vyombo vya usalama na matukio ya kupotea watu

    Magufuli awaambia polisi: Wakamateni wale wote wanaovihusisha vyombo vya usalama na matukio ya kupotea watu

    Jan 13, 2020 08:17

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amelitaka jeshi la polisi kuwakamata na kuwachukulia hatua kali za kisheria watu wanaovihusisha vyombo vya ulinzi na usalama ikiwamo Idara ya Usalama wa Taifa (Tiss), na matukio ya kupotea na kutekwa nyara watu.

  • Wazanzibar: Miaka 56 baadaye, malengo ya Mapinduzi hayajafikiwa

    Wazanzibar: Miaka 56 baadaye, malengo ya Mapinduzi hayajafikiwa

    Jan 12, 2020 16:44

    Sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo Jumapili katika Uwanja wa Abeid Aman Karume kisiwani Unguja.

  • Mkuu wa Mkoa wa Tabora afuta mapumziko ya Mwaka Mpya; watu wakalime pamba + Sauti

    Mkuu wa Mkoa wa Tabora afuta mapumziko ya Mwaka Mpya; watu wakalime pamba + Sauti

    Dec 15, 2019 16:20

    Nchini Tanzania, Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, ameagiza kuakhirishwa likizo ya A-Mass na mwaka mpya kwa maafisa wa kilimo na maafisa wote katika kipindi hiki cha mvua, ili watoke waende vijijini wakawahimize wananchi kulima pamba kwa ubora unaotakiwa. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam, Tanzania

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS