Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Radiamali za nchi zilizowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Radiamali za nchi zilizowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Feb 02, 2020 04:04

    Serikali ya Eritrea imekosoa vikali hatua ya Washington ya kuwawekea vizingiti raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika wanaotaka kwenda Marekani ikisisitiza kuwa, vikwazo hivyo vya usafiri havikubaliki.

  • Makumi wapoteza maisha wakigombania 'mafuta ya upako' Tanzania + Sauti

    Makumi wapoteza maisha wakigombania 'mafuta ya upako' Tanzania + Sauti

    Feb 02, 2020 00:13

    Kwa akali watu 20 wameaga dunia katika mkanyagano wa harakati za kutaka kukanyaga 'mafuta ya upako' kwenye kongamano la 'Mtume' Boniface Mwaiposa lililofanyika uwanja wa Majengo mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, kaskazini mashariki mwa Tanzania jioni ya jana Jumamosi.

  • Baada ya Lugola kupigwa kalamu nyekundu, Rais Magufuli amemteua Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania

    Baada ya Lugola kupigwa kalamu nyekundu, Rais Magufuli amemteua Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania

    Jan 23, 2020 12:30

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Kangi Lugola mbunge wa Mwibara (CCM). Hayo yameelezwa jioni ya leo na katibu mkuu kiongozi, Balozi John Kijazi.

  • Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Jan 22, 2020 08:37

    Marekani ina mpango wa kuziongeza nchi nyingine saba zikiwemo Tanzania na Nigeria kwenye orodha ya nchi ambazo raia wake wanatarajiwa kuwekewa vikwazo na vizingiti vya kuingia nchini humo.

  • Magufuli awaambia polisi: Wakamateni wale wote wanaovihusisha vyombo vya usalama na matukio ya kupotea watu

    Magufuli awaambia polisi: Wakamateni wale wote wanaovihusisha vyombo vya usalama na matukio ya kupotea watu

    Jan 13, 2020 04:47

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amelitaka jeshi la polisi kuwakamata na kuwachukulia hatua kali za kisheria watu wanaovihusisha vyombo vya ulinzi na usalama ikiwamo Idara ya Usalama wa Taifa (Tiss), na matukio ya kupotea na kutekwa nyara watu.

  • Wazanzibar: Miaka 56 baadaye, malengo ya Mapinduzi hayajafikiwa

    Wazanzibar: Miaka 56 baadaye, malengo ya Mapinduzi hayajafikiwa

    Jan 12, 2020 13:14

    Sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo Jumapili katika Uwanja wa Abeid Aman Karume kisiwani Unguja.

  • Mkuu wa Mkoa wa Tabora afuta mapumziko ya Mwaka Mpya; watu wakalime pamba + Sauti

    Mkuu wa Mkoa wa Tabora afuta mapumziko ya Mwaka Mpya; watu wakalime pamba + Sauti

    Dec 15, 2019 12:50

    Nchini Tanzania, Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, ameagiza kuakhirishwa likizo ya A-Mass na mwaka mpya kwa maafisa wa kilimo na maafisa wote katika kipindi hiki cha mvua, ili watoke waende vijijini wakawahimize wananchi kulima pamba kwa ubora unaotakiwa. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam, Tanzania

  • SAUTI, Usikose kutegea sikio ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia Tanzania hadi nchini Kenya

    SAUTI, Usikose kutegea sikio ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia Tanzania hadi nchini Kenya

    Dec 13, 2019 13:09

    Ripoti hii ya matukio ya Kiislamu imesheheni habari za Ijtimai iliyofanyika visiwani Zanzibar, ukaguzi wa msikiti mkubwa zaidi eneo la jangwa la sahara unaojengwa na Mfalme wa Sita wa Morocco nchini Tanzania, safari ya Mufti wa Tanzania Abubakar Zuberi nchini Morocco kuhudhuria kongamano la Kiislamu na hadi mjini Nyeri nchini Kenya.

  • Wanyamapori waua watu 96 nchini Tanzania

    Wanyamapori waua watu 96 nchini Tanzania

    Dec 09, 2019 04:38

    Watu zaidi ya 96 wameuawa na wengine 90 wamejeruhiwa kutokana na wanyamapori waliovamia mashamba na maeneo ya makazi nchini Tanzania tangu Julai mwaka 2018 hadi Julai mwaka 2019.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania ajitoa Chadema + Video

    Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania ajitoa Chadema + Video

    Dec 04, 2019 08:14

    Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Frederick Tluway Sumaye ameng'oka rasmi kwenye chama cha upinzani cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS