-
Amnesty International: Uamuzi wa Tanzania katika Mahakama ya Afrika utazidisha ukandamizaji
Dec 03, 2019 10:49Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International, limesema uamuzi wa Tanzania kujitoa katika kifungu kinachowawezesha raia na mashirika yasiyo ya kiserikali kuishtaki serikali katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu yenye makao yake katika mji wa Arusha unahatarisha ongezeko la ukandamizaji nchini humo.
-
Tundu Lissu: Ninaogopa kurudi Tanzania halafu nipigwe tena risasi
Nov 29, 2019 08:59Aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki kupitia tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) nchini Tanzania, Tundu Lissu amesema kwamba, atarejea nchini humo baada ya marafiki zake kumhakikishia usalama wake.
-
SAUTI, Mfumo wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania waja na mpango wa kifurushi uliokosolewa na wanasiasa
Nov 28, 2019 13:04Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini Tanzania (NHIF) umekuja na njia ambayo imetajwa kuwa ni suluhisho la wananchi wengi wenye hali ngumu kukosa huduma hiyo.
-
Chama Tawala Tanzania: Kiongozi wa serikali atakayeshirikiana na mashirika ya kimataifa nchini atapoteza kazi
Nov 28, 2019 11:22Katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Dk Bashiru Ally amewaonya mawaziri na watendaji wa chama hicho tawala nchini humo kwa kuwataka waache kushirikiana na asasi na mashirika ya kimataifa yasiyoshirikiana na serikali na kusisitiza kuwa yeyote atakayebainika kufanya hivyo basi atapoteza kazi yake.
-
Mvua, radi na mafuriko yaua watu 10 nchini Tanzania
Nov 25, 2019 08:53Watu tisa wa familia mbili wamefariki dunia katika wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza nchini Tanzania, baada ya nyumba zao kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali duniani.
-
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wafanyika leo Tanzania ukisusiwa na vyama muhimu vya upinzani
Nov 24, 2019 12:05Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umefanyika leo nchini Tanzania ukisusiwa na vyama vingi kikiwemo chama kikuu cha upinzani, CHADEMA.
-
Watanzania kuwachagua kesho viongozi wa serikali za mtaa katika uchaguzi uliosusiwa na wapinzani
Nov 23, 2019 13:36Kesho Watanzania watawachagua viongozi wa serikali za mitaa katika uchaguzi ambao umesusiwa na vyama muhimu vya upinzani nchini humo.
-
Mahakama imeakhirisha kwa mara ya nane kusikiliza kesi inayomkabili mwandishi habari Kabendera
Nov 20, 2019 09:49Mahakama nchini Tanzania leo imeakhirisha kwa mara ya nane kusikiliza kesi inayomkabili mwandishi habari mashuhuri wa nchi hiyo aliyekamatwa mwezi Julai mwaka huu.
-
Hali ya kisiasa Tanzania kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa
Nov 17, 2019 23:17Huku zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufanyika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania, chama cha Mapinduzi (CCM) ambacho ndio chama tawala kimetoa taarifa ya kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Novemba 24 mwaka huu.
-
Chama kingine cha siasa Tanzania chajitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM: Haturudi nyuma
Nov 14, 2019 04:41Wimbi la vyama vya siasa nchini Tanzania kujiengua katika uchaguzi wa serikali za mitaa limeendelea kushuhudiwa baada ya chama cha NLD nacho kuungana na vyama vingine sita vilivyochukua hatua hiyo.