Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Hofu ya Ebola yatanda Tanzania baada ya wawili kufariki Dar wakiwa na dalili za homa hiyo

    Hofu ya Ebola yatanda Tanzania baada ya wawili kufariki Dar wakiwa na dalili za homa hiyo

    Mar 21, 2016 03:54

    Hofu ya Ebola imetanda nchini Tanzania baada ya watu wawili kufariki dunia jijini Dar es Salaam wakiwa na dalili za homa hiyo hatari.

  • Hofu ya Ebola yatanda Tanzania baada ya wawili kufariki Dar wakiwa na dalili za homa hiyo

    Hofu ya Ebola yatanda Tanzania baada ya wawili kufariki Dar wakiwa na dalili za homa hiyo

    Mar 21, 2016 03:50

    Hofu ya Ebola imetanda nchini Tanzania baada ya watu wawili kufariki dunia jijini Dar es Salaam wakiwa na dalili za homa hiyo hatari.

  • Uchaguzi wa marudio Zanzibar unafanyika kesho Jumapili

    Uchaguzi wa marudio Zanzibar unafanyika kesho Jumapili

    Mar 19, 2016 13:13

    Uchaguzi uliofutwa mwaka jana katika visiwa vya Zanzibar ambayo ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unatarajiwa kufanyika Jumapili ya kesho huku Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikitangaza kuwa, maandalizi yote kwa ajili ya uchaguzi huo yamekamilika.

  • CCM: Uchaguzi ni suluhu ya mzozo wa Zanzibar

    CCM: Uchaguzi ni suluhu ya mzozo wa Zanzibar

    Mar 19, 2016 04:13

    Wananchi wa Zanzibar kesho Jumapili wanatazamiwa kuelekea kwenye masanduku ya kupiga kura katika uchaguzi wa marudio visiwani humo, ambao utashirikisha wagombea wa urais na wagombea wa ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka vyama mbalimbali.

  • Viongozi wa dini: Wazanzibar waachwe wajiamulie wenyewe

    Viongozi wa dini: Wazanzibar waachwe wajiamulie wenyewe

    Mar 14, 2016 04:50

    Viongozi wa kidini wa Tanzania Bara na Visiwani wamekutana huko Zanzibar na kusisitiza juu ya hali ya amani visiwani humo. Aidha viongozi hao wametaka kupewa uhuru wa kuchagua wakazi wa visiwa hivyo katika uchaguzi wa marudio ujao ambapo wamesema kuwa ni jambo lisilo na mantiki kuwalazimisha wale wasiotaka kupiga kura kushiriki zoezi hilo.

  • Waziri Mkuu wa Tanzania: Dola bilioni 80 zinahitajika kwa ajili ya ujenzi miundombinu EAC

    Waziri Mkuu wa Tanzania: Dola bilioni 80 zinahitajika kwa ajili ya ujenzi miundombinu EAC

    Mar 09, 2016 11:59

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa, zaidi ya dola za Kimarekani bilioni 80 zinahitajika katika kukamilisha ujenzi wa miundombinu kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

  • CUF yakanusha kuwa Maalim Seif yuko kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi

    CUF yakanusha kuwa Maalim Seif yuko kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi

    Mar 08, 2016 04:05

    Chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania kimekanusha taarifa zilizoenezwa kwenye mitandao ya kijamii na kuripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad amelazwa kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam.

  • Sakata la uchaguzi wa Meya jijini Dar es Salaam, Tanzania + Sauti

    Sakata la uchaguzi wa Meya jijini Dar es Salaam, Tanzania + Sauti

    Mar 06, 2016 14:39

    Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wameitaka mamlaka inayohusika kusimamia uchaguzi wa meya wa jiji hilo unaokwama kufanyika kutokana na kuahirishwa mara kwa mara, kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi huo ili jiji hilo limpate kiongozi wake.

  • Katibu Mkuu mstaafu wa EAC ataka wananchi wamuunge mkono Magufuli

    Katibu Mkuu mstaafu wa EAC ataka wananchi wamuunge mkono Magufuli

    Mar 05, 2016 04:06

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) aliyemaliza muda wake, Dk Richard Sezibera amewataka wananchi kuunga mkono jitihada za kupambana na rushwa zinazofanywa na viongozi wa jumuiya hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wake wa sasa, Rais John Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • Maafisa wa jeshi la wanamaji la Tanzania kupatiwa mafunzo Iran

    Maafisa wa jeshi la wanamaji la Tanzania kupatiwa mafunzo Iran

    Mar 05, 2016 00:03

    Balozi wa Iran nchini Tanzania amesema maafisa wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wamekubaliana kuendelea kufanywa kwa utaratibu maalumu safari za manowari za operesheni na za utoaji mafunzo za Iran huko nchini Tanzania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS