-
Manowari za Jeshi la Iran zatia nanga bandari ya Dar es Salaam, Tanzania
Mar 01, 2016 12:16Manowari ndogo kadhaa za jeshi la wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zilizobeba ujumbe wa amani na urafiki zimetia nanga katika bandari ya mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam.
-
Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba
Feb 27, 2016 22:59Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki watakutana Arusha, Tanzania Jumatano ijayo kujadili upigaji marufuku uingizaji wa nguo zilizotumika au mitumba, magari yaliyotumika na bidhaa za ngozi kutoka nje ya eneo eneo hilo.
-
Gesi zaidi yagunduliwa katika pwani ya Tanzania
Feb 26, 2016 04:21Tanzania imegundua takribani futi za ujazo trillioni 2.17 za Gesi katika eneo la Ruvu lililoko katika Mkoa wa Pwani kilomita chache kutoka katika jiji la Dar es Salaam.
-
Lipumba: Rais Magufuli atangaze mshahara wake kwa Watanzania
Feb 23, 2016 10:30Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemtaka Rais John Pombe Magufuli atangaze mshahara na marupurupu yake, kwa kile alichokisema kuwa ni rais huyo kujivisha joho la kuwa rais wa wanyonge.
-
Rwanda na Tanzania zaahidi kuboresha uhusiano
Feb 19, 2016 04:11Serikali za Rwanda zimetangaza azma ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa pande mbili, kikanda na kimataifa na kuweka kando hitilafu zilizolemaza muamala wa pande mbili hizo katika miaka ya hivi karibuni.
-
Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki
Feb 17, 2016 03:55Raia wa Nchi za Afrika Mashariki wataanza kutumia paspoti za kielektroniki ambazo zitatumika kurahisisha usafiri kwa wananchi wa eneo hilo.
-
Balozi Seif: Hakuna tena mwanya wa mazungumzo Zanzibar
Feb 15, 2016 04:28Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema kuwa, hakuna sababu za msingi za kurejewa mazungumzo ya kutafuta mwafaka wa mkwamo wa uchaguzi mkuu wakati tayari tume ya uchaguzi visiwani humo imekwishaitangaza tarehe 20 ya mwezi ujao kuwa ndi siku ya kurejewa uchaguzi huo.
-
Chama cha CUF nchini Tanzania chakubali kurudi kwenye mazungumzo lakini…
Feb 12, 2016 23:53Chama cha Wananchi CUF cha nchini Tanzania kimekubali kurudi kwenye mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi wa amani mkwamo wa kisiasa visiwani Zanzibar, kwa sharti kwamba, mchakato wa uchaguzi wa marudio usimamishwe.
-
Ajali ya Tanzania yaua 13, mwandishi wa Radio Tehran apoteza mke na mtoto
Feb 11, 2016 23:52Watu 11 wamefariki dunia leo huku wengine 29 wamejeruhiwa baada ya Basi la Simba Mtoto kugongana uso kwa uso na lori huko Muheza katika mkoa wa Tanga nchini Tanzania.
-
Rais wa Tanzania atimiza siku 100 akiwa madarakani (Sauti)
Feb 11, 2016 14:53Wakati siku mia moja za rais mpya wa Tanzania DK, John Pombe Magufuli madarakani zikitimia,Watanzania wamemtaka rais huyo kuongeza kasi ya kuwabana mafisadi wanaohujumu uchumi wa nchi hiyo bila kuwaonea huruma.