Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Manowari za Jeshi la Iran zatia nanga bandari ya Dar es Salaam, Tanzania

    Manowari za Jeshi la Iran zatia nanga bandari ya Dar es Salaam, Tanzania

    Mar 01, 2016 12:16

    Manowari ndogo kadhaa za jeshi la wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zilizobeba ujumbe wa amani na urafiki zimetia nanga katika bandari ya mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam.

  • Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba

    Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba

    Feb 27, 2016 22:59

    Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki watakutana Arusha, Tanzania Jumatano ijayo kujadili upigaji marufuku uingizaji wa nguo zilizotumika au mitumba, magari yaliyotumika na bidhaa za ngozi kutoka nje ya eneo eneo hilo.

  • Gesi zaidi yagunduliwa katika pwani ya Tanzania

    Gesi zaidi yagunduliwa katika pwani ya Tanzania

    Feb 26, 2016 04:21

    Tanzania imegundua takribani futi za ujazo trillioni 2.17 za Gesi katika eneo la Ruvu lililoko katika Mkoa wa Pwani kilomita chache kutoka katika jiji la Dar es Salaam.

  • Lipumba: Rais Magufuli atangaze mshahara wake kwa Watanzania

    Lipumba: Rais Magufuli atangaze mshahara wake kwa Watanzania

    Feb 23, 2016 10:30

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemtaka Rais John Pombe Magufuli atangaze mshahara na marupurupu yake, kwa kile alichokisema kuwa ni rais huyo kujivisha joho la kuwa rais wa wanyonge.

  • Rwanda na Tanzania zaahidi kuboresha uhusiano

    Rwanda na Tanzania zaahidi kuboresha uhusiano

    Feb 19, 2016 04:11

    Serikali za Rwanda zimetangaza azma ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa pande mbili, kikanda na kimataifa na kuweka kando hitilafu zilizolemaza muamala wa pande mbili hizo katika miaka ya hivi karibuni.

  • Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki

    Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki

    Feb 17, 2016 03:55

    Raia wa Nchi za Afrika Mashariki wataanza kutumia paspoti za kielektroniki ambazo zitatumika kurahisisha usafiri kwa wananchi wa eneo hilo.

  • Balozi Seif: Hakuna tena mwanya wa mazungumzo Zanzibar

    Balozi Seif: Hakuna tena mwanya wa mazungumzo Zanzibar

    Feb 15, 2016 04:28

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema kuwa, hakuna sababu za msingi za kurejewa mazungumzo ya kutafuta mwafaka wa mkwamo wa uchaguzi mkuu wakati tayari tume ya uchaguzi visiwani humo imekwishaitangaza tarehe 20 ya mwezi ujao kuwa ndi siku ya kurejewa uchaguzi huo.

  • Chama cha CUF nchini Tanzania chakubali kurudi kwenye mazungumzo lakini…

    Chama cha CUF nchini Tanzania chakubali kurudi kwenye mazungumzo lakini…

    Feb 12, 2016 23:53

    Chama cha Wananchi CUF cha nchini Tanzania kimekubali kurudi kwenye mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi wa amani mkwamo wa kisiasa visiwani Zanzibar, kwa sharti kwamba, mchakato wa uchaguzi wa marudio usimamishwe.

  • Ajali ya Tanzania yaua 13, mwandishi wa Radio Tehran apoteza mke na mtoto

    Ajali ya Tanzania yaua 13, mwandishi wa Radio Tehran apoteza mke na mtoto

    Feb 11, 2016 23:52

    Watu 11 wamefariki dunia leo huku wengine 29 wamejeruhiwa baada ya Basi la Simba Mtoto kugongana uso kwa uso na lori huko Muheza katika mkoa wa Tanga nchini Tanzania.

  • Rais wa Tanzania atimiza siku 100 akiwa madarakani (Sauti)

    Rais wa Tanzania atimiza siku 100 akiwa madarakani (Sauti)

    Feb 11, 2016 14:53

    Wakati siku mia moja za rais mpya wa Tanzania DK, John Pombe Magufuli madarakani zikitimia,Watanzania wamemtaka rais huyo kuongeza kasi ya kuwabana mafisadi wanaohujumu uchumi wa nchi hiyo bila kuwaonea huruma.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS