Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Iran: Uhusiano wetu na Tanzania unazidi kustawi na kuimarika

    Iran: Uhusiano wetu na Tanzania unazidi kustawi na kuimarika

    Aug 27, 2022 11:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kuwa, uhusiano wa Tehran na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unazidi kuwa imara.

  • Rais wa Tanzania akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

    Rais wa Tanzania akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

    Aug 27, 2022 03:59

    Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amir-Abdollahian mjini Dodoma.

  • Zanzibar: Tuna hamu ya kupanua uhusiano wetu na Iran

    Zanzibar: Tuna hamu ya kupanua uhusiano wetu na Iran

    Aug 26, 2022 07:29

    Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Zanzibar amesema anatumai kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitaimarisha na kupanua uhusiano wao wa pande mbili.

  • Amir-Abdollahian: Afrika ni moja ya vipaumbele vikuu vya diplomasia ya kiuchumi ya Iran

    Amir-Abdollahian: Afrika ni moja ya vipaumbele vikuu vya diplomasia ya kiuchumi ya Iran

    Aug 25, 2022 11:24

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyeko ziarani nchini Tanzania amesema kuwa, bara la Afrika ni moja ya vipaumbele vikuu vya diplomasia ya kiuchumi ya Iran.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Tanzania akitokea nchini Mali

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Tanzania akitokea nchini Mali

    Aug 24, 2022 14:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumatano ameelekea nchini Tanzania baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi katika nchi ya Mali ya Magharibi mwa Afrika.

  • Baada ya Ndui ya Nyani, Marburg na Ebola katika nchi kadhaa za Afrika, homa ya Mgunda yathibitishwa Tanzania

    Baada ya Ndui ya Nyani, Marburg na Ebola katika nchi kadhaa za Afrika, homa ya Mgunda yathibitishwa Tanzania

    Jul 18, 2022 11:07

    Wizara ya Afya ya Tanzania imetangaza uwepo wa mlipuko mpya wa ugonjwa wa Homa ya Mgunda unaosababisha wananchi kutoka damu puani na kuishiwa nguvu na hata kufariki dunia.

  • Amnesty yamwandikia barua Rais wa Tanzania kupinga kesi ya mauaji inayowakabili Wamaasai 25

    Amnesty yamwandikia barua Rais wa Tanzania kupinga kesi ya mauaji inayowakabili Wamaasai 25

    Jul 17, 2022 11:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limemwandikia barua Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutaka operesheni maalumu ya kuwahamaisha watu wa jamii ya Maasai kutoka Loliondo katika mbuga ya taifa ya Serengeti, isitishwe mara moja.

  • Mabadilishano ya kibiashara baina ya Iran na Tanzania yameongezeka kwa 120%

    Mabadilishano ya kibiashara baina ya Iran na Tanzania yameongezeka kwa 120%

    Jul 02, 2022 11:49

    Balozi mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania amesema, mabadilishano ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili katika mwaka uliopita yaliongezeka kwa asilimia 120.

  • Ajali za barabarani zaua watu 25 Tanzania ndani ya saa 24

    Ajali za barabarani zaua watu 25 Tanzania ndani ya saa 24

    Jun 11, 2022 11:18

    Watu watano wamepoteza maisha na wengine tisa wamejeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Coaster waliyokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka nchini Tanzania.

  • Jumanne tarehe 26 Aprili 2022

    Jumanne tarehe 26 Aprili 2022

    Apr 26, 2022 02:39

    Leo ni Jumanne tarehe 24 mwezi mtukufu wa Ramadhani 1443 Hijria sawa na tarehe 26 Aprili mwaka 2022.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS