-
Nchi za Kiislamu zatakiwa kuwaunga mkono wafungwa wa Palestina
Apr 27, 2017 02:46Balozi wa Palestina mjini Tehran amesema Palestina itaweza kusaidika iwapo kutakuwa na umoja katika ulimwengu wa Kiislamu huku akitoa wito kwa nchi za Kiislamu kuwaunga mkono wafungwa wa Palestina.
-
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho yaanza Tehran
Apr 19, 2017 02:30Duru ya pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Walemavu wa Macho yanaanza leo mjini Tehran yakiwashirikisha wawakilishi wa nchi 23.
-
Mkutano wa kusaka amani Syria unafanyika Tehran
Apr 18, 2017 03:52Mkutano wa wataalamu kuhusu mazungumzo ya amani Syria unafanyika leo mjini Tehran, Iran katika fremu ya mchakato wa amani wa Astana, Kazakhstan.
-
Kongamano la Kimataifa la Haki za Binadamu lafunguliwa Tehran
Apr 15, 2017 07:31Kongamano la Kimataifa la Kiislamu kuhusu Haki za Binadamu linafanyika hapa nchini Iran katika Chuo Kikuu cha Tehran.
-
Ayatullah Siddiqi: Hujuma ya Marekani huko Syria, ni kinyume cha sheria za kimataifa
Apr 14, 2017 15:05Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa, shambulizi la Marekani nchini Syria siku ya Ijumaa iliyopita, linakinzana na sheria zote za kimataifa.
-
Ayatullah Kashani: Waungaji mkono wa magaidi, ndio waliotekeleza mashambulizi ya kemikali huko Syria
Apr 07, 2017 13:02Imamu wa Muda wa Sala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani na waungaji mkono wa magaidi katika eneo wanayapatia silaha na mada za kemikali makundi ya kigaidi huko Syria.
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran awataka wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi ujao
Mar 24, 2017 16:24Imamu wa Muda wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesisitiza udharura wa wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi ujao wa Rais na mabaraza ya miji ya vijiji uliopangwa kufanyika tarehe 19 mwezi Mei mwaka huu na kueleza kuwa, kushiriki idadi kubwa ya wananchi katika uchaguzi ujao kutaimarisha utambulisho wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Ayatullah Kermani: Kimya cha taasisi za kimataifa mbele ya ukiukwaji wa haki za binadamu kimeharibu hadhi ya taasisi hizo
Mar 17, 2017 16:24Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika jiji la Tehran amesema kuwa kimya cha taasisi za kimataifa mkabala na mauaji ya Waislamu duniani yakiwemo mauaji ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar na jinai za Saudi Arabia huko Yemen, kimezifanya taasisi hizo za kimataifa eti za kutetea haki za binadamu zipoteza heshima na hadhi yao.
-
Ayatullah Kermani: Kadhia ya Palestina; kipaumbele cha Iran na Ulimwengu wa Kiislamu
Feb 24, 2017 14:07Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo katika mji wa Tehran amesema kuwa kadhia ya Palestina inapewa uzito katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ni kipaumbele cha Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Balozi wa Palestina Tehran: Tunaishukuru sana Iran kwa kuiunga mkono Paletina
Feb 23, 2017 13:37Balozi wa Palestina mjini Tehran sambamba na kuashiria umuhimu wa mkutano wa 6 wa kimataifa kwa ajili ya kuunga mkono Intifadha ya Palestina uliofanyika hapa mjini Tehran Jumanne na jana Jumatano, ambao uliionyesha dunia dhulma na ukatili wanaofanyiwa Wapalestina, amesema kuwa mkutano huo ulikuwa muhimu sana katika kufichua njama chafu za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.