Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tehran

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Makombora ya Iran ni dhihirisho la nguvu za taifa

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Makombora ya Iran ni dhihirisho la nguvu za taifa

    Feb 03, 2017 14:05

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema majaribio ya makombora yaliyofanywa hivi karibuni na majeshi ya Iran ni maonyesho ya nguvu za taifa hilo duniani.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa awasili Tehran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa awasili Tehran

    Jan 31, 2017 07:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amewasili mjini Tehran akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi kwa shabaha ya kukutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ayatullah Siddiqi: Utawala wa kifalme Bahrain umepoteza uhalali wake

    Ayatullah Siddiqi: Utawala wa kifalme Bahrain umepoteza uhalali wake

    Jan 20, 2017 16:04

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, kunyongwa vijana watatu Waislamu wa Kishia nchini Bahrain kumeufanya utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa Aal Khalifa upoteze uhalali wake.

  • Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Jan 17, 2017 03:04

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) hapa Tehran amesema kuwa njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kuendeleza muqawama na kwamba ishara ya wazi zaidi ya mapambano hayo ni Intifadha.

  • Ayatullah Khatami: Harakati ya Dei 19 ilikuwa nembo ya umoja wa taifa la Iran

    Ayatullah Khatami: Harakati ya Dei 19 ilikuwa nembo ya umoja wa taifa la Iran

    Jan 06, 2017 14:14

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, harakati ya Dei 19 iliyosadifiana na Januari 9 mwaka 1978 ulikuwa mwanzo wa hatua ya pili ya mapinduzi ya Kiislamu na nembo ya umoja wa taifa la Iran.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran aonya kuhusu jinai za Saudia, Bahrain

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran aonya kuhusu jinai za Saudia, Bahrain

    Dec 30, 2016 15:59

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran ameonya kuhusu mauaji na ukandamizaji unaofanywa na tawala za kikoo za Saudi Arabia na Bahrain dhidi ya mataifa ya Waislamu na kusema tawala hizo zinaelekea kusambaratika kutokana na jinai zao hizo.

  • Rais Rouhani: Kuwa na uhusiano wa karibu na majirani ni misingi ya sera za nje za Iran

    Rais Rouhani: Kuwa na uhusiano wa karibu na majirani ni misingi ya sera za nje za Iran

    Dec 24, 2016 03:08

    Rais Hassan Rouhani amesema moja ya misingi ya sera za nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuwa na uhusiano wa karibu na majirani hususan nchi za Asia ya Katina eneo la Kaukasia.

  • Ayatullah Siddiqi: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Waislamu wote duniani

    Ayatullah Siddiqi: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Waislamu wote duniani

    Dec 23, 2016 16:25

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amepongeza wanajeshi wa Syria na vikosi vya vya kujitolea vya wananchi kwa kuukomboa mji wa Aleppo (Halab) uliokuwa ukishikiliwa na magaidi huko kaskazini mwa Syria, na kubainisha kuwa, ushindi huo sio tu wa taifa la Syria bali ni ushindi pia kwa Waislamu wote duniani.

  • Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu waanza Tehran

    Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu waanza Tehran

    Dec 15, 2016 08:06

    Mkutano wa Kimataifa wa 30 wa Umoja kati ya Waislamu umeanza mapema leo mjini Tehran kwa kaulimbiu ya udharura wa kupambana na makundi ya kitakfiri.

  • Mkutano wa kimataifa wa  Umoja wa Kiislamu umeanza leo mjini Tehran

    Mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza leo mjini Tehran

    Dec 15, 2016 05:29

    Duru ya 31 ya mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na shakhsia, wanazuoni na wanafikra kutoka nchi mbalimbali duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS